The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,516
- 14,183
We endelea kubwabaja ...... mwanza sio size yenu... usitake nikuletee mapicha picha hyo sio kazi yangu....Mwanza yote kampuni za maana za basi ni hizi hapa tuu![]()



Kampuni chache sana na Nimekupa ushahidi..We endelea kubwabaja ...... mwanza sio size yenu... usitake nikuletee mapicha picha hyo sio kazi yangu....
Mwanza ya leo sio jana ...
Maboresho ya miundombinu Kila Kona
View attachment 2366764 nyegezi stendi ya 2019 vs nyegezi stendi ya 2022View attachment 2366760View attachment 2366761View attachment 2366762View attachment 2366765View attachment 2366766View attachment 2366767
Mzee chomoka hko utembee uone utabaki mdomo waz mambo yalisha badilika kitambo Sana nyumba zimejengwa za maana usibaki na story za kusimuliwa tembelea sitePicha ziko wap...
Tena katika mikoa ambayo wazawa wake hawajengi vijiji vyao ni njombe...
Hao wakinga...huku mjini wana hela ila kwao wanaogopa kurogwa
Hiv hapo unaona umaskini wowote ?Kwenu Halisi kunafanana hivi Sasa na hizi ndio nyumba zenu
![]()
Toka Bajeti ya Tarura iongezeke na barabara ya Njombe Makete kufunguka mapato ya Halmashauri yameongezeka kutoka bil.2.5 hadi Bil.4 mwaka huu..
Tena sio Udsm pekee yake...( ambayo wanajenga campus kubwa zaidi ukitoa ya mlimani)...Sasa kama Kagera huko kila mtu ni profesa na Mwanasheria lakini bado mnaogelea kwenye umaskini,Udsm itazidi kuongeza tatizo maana nyie elimu haiwasaidii inawafanya mazezeta tuu![]()
Sasa huo kuwa hio ni nyumba ya mwalimu...Njombe ya wapi hiyo? Kwa hiyo nyie hizi nyumba hapa ndio mumejenga Vijijini huko Misenyi?![]()
Kwa hiyo hilo Banda ndio nyumba za walimu wa huko kwenu na unajivunia? Si ajabu mnaongoza kwa umaskini Tanzania nzima 😬😬😬😬Sasa huo kuwa hio ni nyumba ya mwalimu...
We kivevele utakuwa na akili lini...
Kama mnajiita Wasomi since long time ago na bado mnaongoza kwa umaskini sasa hivyo Vyuo vitawasaidia nini ikiwa elimu haibadili Hali yenu ya Maisha?Tena sio Udsm pekee yake...( ambayo wanajenga campus kubwa zaidi ukitoa ya mlimani)...
NIT...wanajenga brunch yao pia Bukoba ilipokuwa Chuo cha josiah kibira...
Nelson Mandela university ile ya arusha wanafungua branch yao pia Bukoba maeneo ya kashura....
UTAKUWA MJINGA KAMA UNAONA ELIMU HAINA MSAADA...hizo zitakuwa chuki zako lakini jamii ya kihaya ni moja ya jamii yenye maisha bora nchini...Tazama hata mhaya mmoja mtaani kwako..najua hakosi..