Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

PASS inavyowezesha Kilimo biashara Mbeya 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220924-081427.png
    Screenshot_20220924-081427.png
    168.3 KB · Views: 9
  • Screenshot_20220924-081339.png
    Screenshot_20220924-081339.png
    141.5 KB · Views: 11
Mwanza yote kampuni za maana za basi ni hizi hapa tuu 👇
 

Attachments

  • 20220924_160618.jpg
    20220924_160618.jpg
    65.4 KB · Views: 11
  • 20220924_094213.jpg
    20220924_094213.jpg
    186 KB · Views: 12
Mwanza yote kampuni za maana za basi ni hizi hapa tuu
We endelea kubwabaja ...... mwanza sio size yenu... usitake nikuletee mapicha picha hyo sio kazi yangu....
Mwanza ya leo sio jana ...
Maboresho ya miundombinu Kila Kona
20220915_164833.jpg
nyegezi stendi ya 2019 vs nyegezi stendi ya 2022
20220924_182433.jpg
20220924_182510.jpg
20220924_182536.jpg
20220916_220422.jpg
20220915_164910.jpg
20220915_164856.jpg
 

Attachments

  • 20220915_164910.jpg
    20220915_164910.jpg
    49.9 KB · Views: 10
We endelea kubwabaja ...... mwanza sio size yenu... usitake nikuletee mapicha picha hyo sio kazi yangu....
Mwanza ya leo sio jana ...
Maboresho ya miundombinu Kila Kona
View attachment 2366764 nyegezi stendi ya 2019 vs nyegezi stendi ya 2022 View attachment 2366760View attachment 2366761View attachment 2366762View attachment 2366765View attachment 2366766View attachment 2366767
Kampuni chache sana na Nimekupa ushahidi..

Route ya Mbeya na Arusha ndio favourite na hivi barabara zimeboteshwa ndio kabisaa tuyawajambia..

Kahama huko ndio Kijijini kabisaa.
 
Picha ziko wap...
Tena katika mikoa ambayo wazawa wake hawajengi vijiji vyao ni njombe...

Hao wakinga...huku mjini wana hela ila kwao wanaogopa kurogwa
Mzee chomoka hko utembee uone utabaki mdomo waz mambo yalisha badilika kitambo Sana nyumba zimejengwa za maana usibaki na story za kusimuliwa tembelea site
 
Kwenu Halisi kunafanana hivi Sasa na hizi ndio nyumba zenu
Hiv hapo unaona umaskini wowote ?
Kwanza tazama hao wanafunzi walivyovaa smart...no umaskini kabisa...ingawa wilaya hio imejaa waganda

Pili misenyi ukiondoa Tarafa ya kiziba kwenye wahaya ( waliosoma kuliko wahaya wote) sehemu nyingine kuna mashamba ya miwa ya Kagera sugar, mashamba ya alizeti, na misitu ya minziro iliyokuwa playground ya vita ya kagera...

Hiv kwa akili yako huo udongo mweupe unaweza support migomba?
 
Toka Bajeti ya Tarura iongezeke na barabara ya Njombe Makete kufunguka mapato ya Halmashauri yameongezeka kutoka bil.2.5 hadi Bil.4 mwaka huu..

Kadiri Miundombinu inavyofunguka mapesa yatazidi kuvunwa hasa barabara ya upande wa Mbeya ikikamilika..

Hivyo hivyo na Ludewa inatataizika sababu ya Miundombinu duni.
 
Sasa kama Kagera huko kila mtu ni profesa na Mwanasheria lakini bado mnaogelea kwenye umaskini,Udsm itazidi kuongeza tatizo maana nyie elimu haiwasaidii inawafanya mazezeta tuu
Tena sio Udsm pekee yake...( ambayo wanajenga campus kubwa zaidi ukitoa ya mlimani)...

NIT...wanajenga brunch yao pia Bukoba ilipokuwa Chuo cha josiah kibira...

Nelson Mandela university ile ya arusha wanafungua branch yao pia Bukoba maeneo ya kashura....




UTAKUWA MJINGA KAMA UNAONA ELIMU HAINA MSAADA...hizo zitakuwa chuki zako lakini jamii ya kihaya ni moja ya jamii yenye maisha bora nchini...Tazama hata mhaya mmoja mtaani kwako..najua hakosi..
 
Tena sio Udsm pekee yake...( ambayo wanajenga campus kubwa zaidi ukitoa ya mlimani)...

NIT...wanajenga brunch yao pia Bukoba ilipokuwa Chuo cha josiah kibira...

Nelson Mandela university ile ya arusha wanafungua branch yao pia Bukoba maeneo ya kashura....




UTAKUWA MJINGA KAMA UNAONA ELIMU HAINA MSAADA...hizo zitakuwa chuki zako lakini jamii ya kihaya ni moja ya jamii yenye maisha bora nchini...Tazama hata mhaya mmoja mtaani kwako..najua hakosi..
Kama mnajiita Wasomi since long time ago na bado mnaongoza kwa umaskini sasa hivyo Vyuo vitawasaidia nini ikiwa elimu haibadili Hali yenu ya Maisha?

😆😆😆😆 Kagera imeendelea kishika mkia na kuwa Mkoa wenye maskini wengi Tanzania..👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220924-215605.png
    Screenshot_20220924-215605.png
    59.5 KB · Views: 8
Sumbawanga Town at night 👇
 

Attachments

  • IMG_20220924_192716_279.jpg
    IMG_20220924_192716_279.jpg
    432.4 KB · Views: 9
  • IMG_20220924_192636_632.jpg
    IMG_20220924_192636_632.jpg
    462.3 KB · Views: 7
  • IMG_20220924_192218_641.jpg
    IMG_20220924_192218_641.jpg
    281.7 KB · Views: 7
  • IMG_20220924_191943_146.jpg
    IMG_20220924_191943_146.jpg
    288.6 KB · Views: 8
  • IMG_20220924_191212_228.jpg
    IMG_20220924_191212_228.jpg
    303.1 KB · Views: 9
Back
Top Bottom