Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Hizo nyumba zimetapakaa Kila Kona mzee tembea uonet
Kumbuka hapo ni vijijini interior kabisa mzee....acha kutaja visenta center ....namaanisha kijijini...


Kwa Tanzania hii sehemu zenye vijiji vilivyo na nyumba kali na nzr ni kagera na Kilimanjaro na kidogoo kwa wanyakyusa huko mbeya...

Sehemu nyingine ukitoa centres huko pengine hali ni tete...

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Mnaishi vichakani kama waganga wa kienyeji
Migomba imekuwa vichaka sio...

Huo ndo utamaduni wa watu...wanaishi kwenye vivuli...

Hivyo unvyoita vichaka ndo vinatoa ndizi zilizozagaa tz nzima maarufu kama ndizi Bukoba....ambazo huwezi maliza week bila kuzionja..

NB.75 YA NDIZI ZOTE NCHINI ZINATOKA KAGERA

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Migomba imekuwa vichaka sio...

Huo ndo utamaduni wa watu...wanaishi kwenye vivuli...

Hivyo unvyoita vichaka ndo vinatoa ndizi zilizozagaa tz nzima maarufu kama ndizi Bukoba....ambazo huwezi maliza week bila kuzionja..

NB.75 YA NDIZI ZOTE NCHINI ZINATOKA KAGERA

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Mjini kunafanana hivi 👇
 

Attachments

  • IMG_20220922_200731_368.jpg
    IMG_20220922_200731_368.jpg
    377 KB · Views: 12
  • IMG_20220922_200730_618.jpg
    IMG_20220922_200730_618.jpg
    501 KB · Views: 10
Na hiyo ni cbd? Cbd utazani upo sijui sehemu city centre is unplanned, majumba ya kizamani tena ya tope yamerundikana katitati ya mji, hakuna barabara za kuingia na kutoka mitaani, walkside zote ni vumbi je huko kwenye makazi ya watu patakuaje? Serikali majiji kama haya yanatakiwa kuwa sehemu ya mashamba kwa ajili ya kulisha watanzania si kila sehemu zinastahili kuwa majiji.
Mbeya ni kama Dar kuna CBD 2 ya Mwanjelwa na Sokomatola.

Fire 🔥🔥🔥👇
 

Attachments

  • IMG_20211222_093034_617.jpg
    IMG_20211222_093034_617.jpg
    1.1 MB · Views: 8
  • 1686207111210218141315019345917_13.jpg
    1686207111210218141315019345917_13.jpg
    86.8 KB · Views: 11
Huwezi Kuta barabara kali kama hizi Lake zone yote 👇
 

Attachments

  • 20220921_202604.jpg
    20220921_202604.jpg
    210.4 KB · Views: 11
  • 20220921_202740.jpg
    20220921_202740.jpg
    298.5 KB · Views: 12
Njombe-Dar kuna kampuni nyingi Sana kushinda Kahama ,yet bado mnashindana na Njombe..

Njombe Express,
Sweet Africa,
Jacob Express,
Super feo express,
Luwinzo Express,
ABC Upper Class,
Budget Movers,
Japanese Express,
New force,
Tuvavile Express,
Nyagawa Safaris,
Deluxe Tours,
Upendo Travellers,
Galaxy Royal Class

👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220924-084042.png
    Screenshot_20220924-084042.png
    97.5 KB · Views: 10
  • Screenshot_20220924-084755.png
    Screenshot_20220924-084755.png
    75.3 KB · Views: 11
  • 20220924_095454.jpg
    20220924_095454.jpg
    127.4 KB · Views: 11
  • 20220924_095913.jpg
    20220924_095913.jpg
    128.5 KB · Views: 11
  • Screenshot_20220924-095325.png
    Screenshot_20220924-095325.png
    140.5 KB · Views: 10
  • Screenshot_20220924-162119.png
    Screenshot_20220924-162119.png
    145.5 KB · Views: 10
  • 20220925_090857.jpg
    20220925_090857.jpg
    56.1 KB · Views: 10
  • Screenshot_20220924-160340.png
    Screenshot_20220924-160340.png
    124 KB · Views: 7
Miji ya Nyanda za Juu Kusini inazidi kukua siku hadi siku..

Kutoak Dar-Ubaruku .

Galaxy Royal Class,
Luwinzo Express👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220924-083657.png
    Screenshot_20220924-083657.png
    135.4 KB · Views: 11
  • 20220924_095524.jpg
    20220924_095524.jpg
    160.9 KB · Views: 10
Back
Top Bottom