Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Kumbuka hapo ni vijijini interior kabisa mzee....acha kutaja visenta center ....namaanisha kijijini...


Kwa Tanzania hii sehemu zenye vijiji vilivyo na nyumba kali na nzr ni kagera na Kilimanjaro na kidogoo kwa wanyakyusa huko mbeya...

Sehemu nyingine ukitoa centres huko pengine hali ni tete...

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Hahaha we jamaa ndo maana tunasema umejifungia tembea uone watu wanajenga nyumba mzee vijiji hizo saiz kwa njombe Ni Hali ya kawaida Sana Tena sana
 
Migomba imekuwa vichaka sio...

Huo ndo utamaduni wa watu...wanaishi kwenye vivuli...

Hivyo unvyoita vichaka ndo vinatoa ndizi zilizozagaa tz nzima maarufu kama ndizi Bukoba....ambazo huwezi maliza week bila kuzionja..

NB.75 YA NDIZI ZOTE NCHINI ZINATOKA KAGERA

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Hahaha we jamaa hizo ndizi nyanda za juu kusin hazijawai kuja tunazozipata huku zinatoka mbeya tukuyu lupembe njombe na songea
 
Hahaha we jamaa ndo maana tunasema umejifungia tembea uone watu wanajenga nyumba mzee vijiji hizo saiz kwa njombe Ni Hali ya kawaida Sana Tena sana
Picha ziko wap...
Tena katika mikoa ambayo wazawa wake hawajengi vijiji vyao ni njombe...

Hao wakinga...huku mjini wana hela ila kwao wanaogopa kurogwa
 
Njombe 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220924-095325.png
    Screenshot_20220924-095325.png
    140.5 KB · Views: 11
Sasa kama Kagera huko kila mtu ni profesa na Mwanasheria lakini bado mnaogelea kwenye umaskini,Udsm itazidi kuongeza tatizo maana nyie elimu haiwasaidii inawafanya mazezeta tuu 😁😁👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220924-154037.png
    Screenshot_20220924-154037.png
    112.8 KB · Views: 11
Picha ziko wap...
Tena katika mikoa ambayo wazawa wake hawajengi vijiji vyao ni njombe...

Hao wakinga...huku mjini wana hela ila kwao wanaogopa kurogwa
Njombe ya wapi hiyo? Kwa hiyo nyie hizi nyumba hapa ndio mumejenga Vijijini huko Misenyi? 😁😁😁👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220924-154259.png
    Screenshot_20220924-154259.png
    149.1 KB · Views: 9
Barabara kama hizi zinapatikana Nyanda za Juu Kusini tuu kwa hapa Tanzania 👇
 

Attachments

  • 20220924_162131.jpg
    20220924_162131.jpg
    69.6 KB · Views: 8
  • 20220924_161919.jpg
    20220924_161919.jpg
    51.7 KB · Views: 7
  • 20220924_161046.jpg
    20220924_161046.jpg
    80 KB · Views: 8
  • 20220924_161433.jpg
    20220924_161433.jpg
    86.4 KB · Views: 10
  • 20220924_160716.jpg
    20220924_160716.jpg
    100.8 KB · Views: 8
  • 20220924_084331.jpg
    20220924_084331.jpg
    330.4 KB · Views: 8
Naona ABC Upper Class ameamua kuteka Soko la Nyanda za Juu Kusini..

Dar-Mbeya,
Dar-Njombe,
Dar-Iringa,
Dar-Mafinga,
Dar-Songea.

Vyuma hivyo 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220925-085557.png
    Screenshot_20220925-085557.png
    54.9 KB · Views: 7
  • Screenshot_20220925-085204.png
    Screenshot_20220925-085204.png
    276.3 KB · Views: 8
  • Screenshot_20220925-084723.png
    Screenshot_20220925-084723.png
    142.3 KB · Views: 8
  • Screenshot_20220925-084241.png
    Screenshot_20220925-084241.png
    188.4 KB · Views: 8
  • 20220925_084709.jpg
    20220925_084709.jpg
    45.1 KB · Views: 4
  • 20220925_084442.jpg
    20220925_084442.jpg
    79.4 KB · Views: 6
  • 20220925_084058.jpg
    20220925_084058.jpg
    327.7 KB · Views: 6
  • 20220925_084023.jpg
    20220925_084023.jpg
    325 KB · Views: 6
  • 20220925_094217.jpg
    20220925_094217.jpg
    90.4 KB · Views: 5
  • 20220925_084012.jpg
    20220925_084012.jpg
    107 KB · Views: 5
Naona ABC Upper Class ameamua kuteka Soko la Nyanda za Juu Kusini..

Dar-Mbeya,
Dar-Njombe,
Dar-Iringa
Naona huna content sa hv ..unarudia rudia mapicha picha ya mabus .. .nikukumbushe huku tuna miradi ya kuvunja record kimataifa...mradi mmoja ni sawa na vimiradi vyote vya mikoa yote ya kusini huku
The multibilion mega project... billion 700 ziko hapawivu ukuume Hadi ufe dadek
1664030970360.jpg
1664030933306.jpg
 
Uyole 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220924-091208.png
    Screenshot_20220924-091208.png
    97 KB · Views: 10
  • Screenshot_20220924-091155.png
    Screenshot_20220924-091155.png
    88.6 KB · Views: 7
  • Screenshot_20220924-091146.png
    Screenshot_20220924-091146.png
    96.8 KB · Views: 7
  • Screenshot_20220924-091108.png
    Screenshot_20220924-091108.png
    103.3 KB · Views: 9
Naona huna content sa hv ..unarudia rudia mapicha picha ya mabus .. .nikukumbushe huku tuna miradi ya kuvunja record kimataifa...mradi mmoja ni sawa na vimiradi vyote vya mikoa yote ya kusini huku
The multibilion mega project... billion 700 ziko hapawivu ukuume Hadi ufe dadekView attachment 2366718View attachment 2366719
Umeanza excuses 😆😆😆😆.

Nilisema kwamba Mbeya ina kampuni nyingi zaidi za mabasi za Dar kuzidi Mwanza na tumechapa..

Nikasema tena Njombe ina kampuni nyingi zaidi za mabusi ya Dar Nako tumewachapa..
 

Attachments

  • Screenshot_20220924-162149.png
    Screenshot_20220924-162149.png
    148.8 KB · Views: 7
  • Screenshot_20220924-160401.png
    Screenshot_20220924-160401.png
    183.6 KB · Views: 8
  • Screenshot_20220924-161513.png
    Screenshot_20220924-161513.png
    210.7 KB · Views: 9
  • Screenshot_20220924-161241.png
    Screenshot_20220924-161241.png
    174.9 KB · Views: 7
  • Screenshot_20220924-084156.png
    Screenshot_20220924-084156.png
    112.3 KB · Views: 10
  • 20221001_074324.jpg
    20221001_074324.jpg
    40.7 KB · Views: 6
Umeanza excuses .

Nilisema kwamba Mbeya ina kampuni nyingi zaidi za mabasi za Dar kuzidi Mwanza na tumechapa..

Nikasema tena Njombe ina kampuni nyingi zaidi za mabusi ya Dar Nako tumewachapa..
Hauna facts za kuprove Hilo .... Mwanza ni jiji kubwa na linaongoza Kwa route za safari Kwa njia zote isipokuwa treni nishakutajia mabus ya mwanza yako zaidi ya kampuni 20 ,,, Zinafanya safari Kila siku
Abood
Nyehunge
Alys
Phoenix
Zuberi & kisesa
Fresters
Tanzanite
Kvc safaris
Kibo
Super najmunisa
Kandahar
Tung's
travels
Happy national
Isamilo
Premier line
Fikoshi
Satco
Princes shabah
Bright line
N.k
 
Hauna facts za kuprove Hilo .... Mwanza ni jiji kubwa na linaongoza Kwa route za safari Kwa njia zote isipokuwa treni nishakutajia mabus ya mwanza yako zaidi ya kampuni 20 ,,, Zinafanya safari Kila siku
Abood
Nyehunge
Alys
Phoenix
Zuberi & kisesa
Fresters
Tanzanite
Kvc safaris
Kibo
Super najmunisa
Kandahar
Tung's
travels
Happy national
Isamilo
Premier line
Fikoshi
Satco
Princes shabah
Bright line
N.k
Wewe bwege kweli,nili prove kwa kutoa Orodha ya kampuni na picha,mkaanza kulia lia..

Mbeya ina Kampuni zaidi ya 25 na inaongoza ikifiatiwa na Arusha..

Hii ni 2014 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220924-100840.png
    Screenshot_20220924-100840.png
    29.5 KB · Views: 7
  • Screenshot_20220924-100911.png
    Screenshot_20220924-100911.png
    30.8 KB · Views: 7
  • Screenshot_20220924-100856.png
    Screenshot_20220924-100856.png
    32.5 KB · Views: 8
Back
Top Bottom