Mapank
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 4,157
- 6,163
Dogo hana exposure, halafu mbishi sana,Mwanza Ina runway ya hvyo kitambo tu ..dreamliner inatua mwanza ..ila huwezi Iona mbeya..View attachment 2334344View attachment 2334345
Dogo hana exposure, halafu mbishi sana,Mwanza Ina runway ya hvyo kitambo tu ..dreamliner inatua mwanza ..ila huwezi Iona mbeya..View attachment 2334344View attachment 2334345
Fala wewe nani dogo..Mwanza ni Kijiji cha hovyo tuu.Dogo hana exposure, halafu mbishi sana,
Usitulazimishe, hata serikali yenyewe haitambui kauli yako ya kichawi iliyojaa chuki dhidi ya Lake zone. Nali report kutoka Chekereni Arusha, njoo uniue.Fala wewe nani dogo..Mwanza ni Kijiji cha hovyo tuu.
We si ulitaka basi la Katoro to Dar makasiriko ya nn🤣🤣Hii ya wapi mbona Hatuoni huko mbele inakoenda?
Bila shaka litakuwa ni Geita Katoro humo utakuta mbuzi,michembe,Yale mashuka yanayonuka,mafimbo,madumu ya maziwa,ngozi za ng'ombe nk 😆😆
Ukipata jengo kama Hili Kanda ya Ziwa yote unitag..
Hospital ya Rufaa ya Mbeya,Idara ya mama na mtoto.. Modern and classic sio kama hayo mabweni mnajenga mnaita hospital 👇
Kwani hili jengo si ni sawa na Mabweni ya shule ya Chato aliyojenga Mseven🤣🤣Ukipata jengo kama Hili Kanda ya Ziwa yote unitag..
Hospital ya Rufaa ya Mbeya,Idara ya mama na mtoto.. Modern and classic sio kama hayo mabweni mnajenga mnaita hospital 👇
Wivu utakuua..
Hospital ya Rufaa ya Kanda,Mbeya 👇
Lasima udate 🔥🔥
Mzumbe University Mbeya Campus kama mbele yaani pande za Ankara 👇
Hakina tofauti na Bwiru boysLasima udate 🔥🔥
Mzumbe University Mbeya Campus kama mbele yaani pande za Ankara 👇
Picha ndio zinaongea sio mdomo 😆😆Hakina tofauti na Bwiru boys
Sasa kama Mwanza Kijiji unamaanisha Mbeya kitongojiFala wewe nani dogo..Mwanza ni Kijiji cha hovyo tuu.
Utajua mwenyewe ila Mwanza ni hovyo ndio maana inatuaibisha kuitwa second City kwa Tanzania..Sasa kama Mwanza Kijiji unamaanisha Mbeya kitongoji
Punguza chuki dhidi ya mwanza, basi fanya hivi Arusha na dodoma ni majiji ya pili hapa Tanzania, na mwanza ivuliwe hadhi ya jiji ibaki kuwa kijiji nadhani hapo utakuwa na amani.Utajua mwenyewe ila Mwanza ni hovyo ndio maana inatuaibisha kuitwa second City kwa Tanzania..
Jiji la pili linazidiwa na Arusha na Dom? Hovyo kabisa huko.
Acha kujifariji Hiyo Dodoma zaidi ya izo Nyumba za gvt na Barabara zinazojengwa hakuna kitu, nimeishi Dodoma 2yrs. Mji una eneo la zaidi ya 2000km² 85% ni grassland hakuna makazi ya watu, nimekaa Miyuji maeneo mengi hayana watuUtajua mwenyewe ila Mwanza ni hovyo ndio maana inatuaibisha kuitwa second City kwa Tanzania..
Jiji la pili linazidiwa na Arusha na Dom? Hovyo kabisa huko.
Hiyo investment ya Gvt isiwape kiwewe kama kweli wanajiamini ebu wapanue barabara ya Kenyatta na Nyerere, wajenge barabara ya Airport-kayenze vitu vingine wawaachie wenye Mwanza yao uone kama Dodoma na Arusha zitagusa puaPunguza chuki dhidi ya mwanza, basi fanya hivi Arusha na dodoma ni majiji ya pili hapa Tanzania, na mwanza ivuliwe hadhi ya jiji ibaki kuwa kijiji nadhani hapo utakuwa na amani.
Kwanza kwanini walitutolea Gabriel?Utajua mwenyewe ila Mwanza ni hovyo ndio maana inatuaibisha kuitwa second City kwa Tanzania..
Jiji la pili linazidiwa na Arusha na Dom? Hovyo kabisa huko.
Wanajua jinsi lake zone wanafanya kaziUtajua mwenyewe ila Mwanza ni hovyo ndio maana inatuaibisha kuitwa second City kwa Tanzania..
Jiji la pili linazidiwa na Arusha na Dom? Hovyo kabisa huko.
Kila mtu mkazi wa Mwanza alisikitishwa sana na huyu Mwamba kutolewa Mwanza dah!Kwanza kwanini walitutolea Gabriel?
Ni lini Kahama itafika hapa? 👇Wanajua jinsi lake zone wanafanya kazi
Zama z sukuma gang zimeisha.Kwanza kwanini walitutolea Gabriel?