Busan
JF-Expert Member
- Aug 19, 2022
- 644
- 736
Ni ya kawaida ukilinganisha na wapi🤣🤣Hivi ni ushamba au nini mbona hayo majengo sijui hotel hiyo ni ya kawaida sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ya kawaida ukilinganisha na wapi🤣🤣Hivi ni ushamba au nini mbona hayo majengo sijui hotel hiyo ni ya kawaida sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
AseeNi ya kawaida ukilinganisha na wapi![]()

asee hivi sijategemea kuwa na mjadala kama huo. Kulingana na huyo niliyem quote amesema kusini. Kwamba kusini kukosekane hotel kama hiyo?Uwe unajua kusoma basi...nimesema location ...kama location kama hyo ipo ilete tukae kimyaAseeasee hivi sijategemea kuwa na mjadala kama huo. Kulingana na huyo niliyem quote amesema kusini. Kwamba kusini kukosekane hotel kama hiyo?
Wakuu hebu tembeeni bhana hotel ya kawaida sana hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanza Ina runway ya hvyo kitambo tu ..dreamliner inatua mwanza ..ila huwezi Iona mbeya..Siku Mwanza poverty city ikipata Airport yenye runway ndefu over 3300m kama hii ya Songwe Mbeya mni tag![]()
Acha porojo za kijinga, weka facts..Mwanza Ina runway ya hvyo kitambo tu ..dreamliner inatua mwanza ..ila huwezi Iona mbeya..View attachment 2334344View attachment 2334345
No street no planning full uswazi,hovyo kabisa huko MwanzaMaeneo kama haya yapo Capetown na Rio de Janeiro..na pale Greece..
Leta mitaa yenu yote kuanzia forest,gangilonga,mji mwema, Nazareth,na uzunguni ,uhindini.hapa hamfui dafy
Hii ni nyamagana Babu....View attachment 2334352View attachment 2334353View attachment 2334354View attachment 2334355View attachment 2334356View attachment 2334357
siku nikiona ndege ya kimataifa imetua hapo songweni ..ndio nitauita airport..ila sasa acha uitwe airstrip..Acha porojo za kijinga, weka facts..
Kamwe Mwanza haitakuja kufikia viwango Hivi vya uwanja wa Songwe,the bright future is awaiting Mbeya na Nyanda za Juu![]()
siku nikiona ndege ya kimataifa imetua hapo songweni ..ndio nitauita airport..ila sasa acha uitwe airstrip..
Terminal one ujenzi unaendelea..bado terminal 2 . feasibility study inamalizikia.
Kwa hyo umekubali mwanza airport ni international na songwe bado haijawa international ?....then keep quite.fikeni level ya rwandair kutua hapo au dreamliner ya ATCL ndio uje uongeeUlitaka itue wakati uwanja ulikuwa hauna vigezo vya ndege za Kimataifa kutua?
Zitatua za kuzidi tuu baada ya kupata safety certificate,ujenzi uko 88%
Tulia dozi ikuingie wewUmeshindwa kuleta data,naomba data zinazoonesha Mwanza airport Ina runway ya zaidi ya mita 3300 ndio tuendelee na mengine,kama huna shut up your mouth Songwe sio level ya Mwanza.
Usirudiw tena kulinganisha international airport na uwanja wa Mkoa 😬😬Tulia dozi ikuingie wew
Mwanza ni uwanja wa Mkoa, international airports hapa Tzn ni Dar,Kia,Aman Karume,Songwe na Msalato ambazo ni under constructionKwa hyo umekubali mwanza airport ni international na songwe bado haijawa international ?....then keep quite.fikeni level ya rwandair kutua hapo au dreamliner ya ATCL ndio uje uongee
Mwanza ni uwanja wa Mkoa, international airports hapa Tzn ni Dar,Kia,Aman Karume,Songwe na Msalato ambazo ni under construction







Hiyo km 3 + iko wapi hapo 😜😜😜😜.Mwanza tayari Ina urefu wa km 3 + .na ujenzi unaendelea..
Hii ni hub ya makampuni ya ndege...ni shirika Gani la ndege hub yake ipo songwe.
View attachment 2334560
View attachment 2334561
Wivu 🤣🤣
Hizo international route mtazisikia kwenye mabomba tu ... mwanza tayari tuna international route we unatapika nini hapaHiyo km 3 + iko wapi hapo.
Huo ni uwanja wa Mkoa,hata uwe na abiria mil.1 na Songwe ikapata international route 10 tuu kwa mwaka pesa yake ni kubwa kuliko huo uwanja was mkoa..
Subiria ukamilike na upate certification, unadhani Serikali inajifurahisha kwa kujenga kule au? Au hata video hujaisika kwa sababu huna pesa ya Bando nikutumie?


