The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,516
- 14,183
We jamaa ,,hujisomi Kwa nani anayetoa second city Status ..zaidi ya vigezo na ubora wa mji ...kaa ukijua mwanza ni second city Kwa vigezo na sio siasa kama ilivyopew hadhi mbeya kuwa jiji wakati hata sifa hainaUtajua mwenyewe ila Mwanza ni hovyo ndio maana inatuaibisha kuitwa second City kwa Tanzania..
Jiji la pili linazidiwa na Arusha na Dom? Hovyo kabisa huko.
Usiwaze kabisa .. kuhusu barabara tayari feasibility ishakamilika ....kuanzia 2024 maji watayaita mmaHiyo investment ya Gvt isiwape kiwewe kama kweli wanajiamini ebu wapanue barabara ya Kenyatta na Nyerere, wajenge barabara ya Airport-kayenze vitu vingine wawaachie wenye Mwanza yao uone kama Dodoma na Arusha zitagusa pua
Nyamagana on

Tanzania tunasafari ndefu sana kama huu utopolo niwakujisifu mbona ni hatari😂😂😂😂
Sasa hapo kuna nini cha kusifia...
Tulia dozi ikuingie we dingi..Sasa hapo kuna nini cha kusifia...
Lack of exposure inasumbua watu wengi..
Utopolo wa katoro hàmja letaTanzania tunasafari ndefu sana kama huu utopolo niwakujisifu mbona ni hatari😂😂😂😂
Jamaa walisema wanaenda kuleta picha , mwezi umepita sasa hakuna cha kuonyesha 😂😂😂😂Utopolo wa katoro hàmja leta
Kumbe uwanja wa kaitaba Bukoba unakarabatiwa na hawasemi...Jamaa walisema wanaenda kuleta picha , mwezi umepita sasa hakuna cha kuonyesha![]()


Kumbe uwanja wa kaitaba Bukoba unakarabatiwa na hawasemi...
Wanaongeza majukwaa, taa, na marekebisho mengine makubwa...
Hiv nyanda za juu kusini kuna uwanja hata mmoja unaoweza kufikia level za kaitaba