Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

We ndezi amka toka usingizi utajikojolea kitqndani.😬😬

Huu ni mwaka 2022 wewe unaleta hadithi za 2013 kujifariji..

Saizi Makete kuna barabara za lami na baada ya Hiyo lami ya kutoka Njombe tumeongeza mapato ndani ya Miaka 2 iliyopita kutoka wastani wa 2.2bln Hadi kufikia 3.8 bln na tumekuwa wa 57 Nchi nzima kwa mapato.

Na ndio maana mwandishi akasema Wilaya Tajiri.Sasa barabara hiyo hiyo ikifunguka upande wa Mbeya tutakuwa tunacheza kwenye figures za 6bln huko..

The same to Ludewa,inatatizwa na barabara tuu ila Njombe hakuna Wilaya Maskini Hata Moja.👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220816-073345.png
    Screenshot_20220816-073345.png
    41.2 KB · Views: 10

Attachments

  • images - 2022-05-08T055810.706.jpeg
    images - 2022-05-08T055810.706.jpeg
    38 KB · Views: 9
  • images - 2022-05-08T055824.545.jpeg
    images - 2022-05-08T055824.545.jpeg
    50.5 KB · Views: 10
  • images - 2022-05-08T055546.156.jpeg
    images - 2022-05-08T055546.156.jpeg
    46.2 KB · Views: 7
Wakati unajiandaa kuacha kuchangia mada..leo nafanya attacking system.counteroffesive...nimeacha defense system
Mwendo wa kuattack njombe na Kanda nzima ya nyanda za juu
Njombe halisi ni hii...uchafu mwanzo mwisho mji upo kama haupo View attachment 2324858View attachment 2324859
Pamoja na kwamba hii picha ni ya zamani yet hizo nyumba sio tembe Wala mabanda kama yale ya Kahama na Mwanza,zimejengwa kwa tofari na zimeezekwa bati na Wala haziko uswazini..

Njombe mpya Ona video,dkk ya 4 kuna shoppers mpya 👇
 

Attachments

  • Njombe street view, Tanzania ( 240 X 426 ).mp4
    11.2 MB
Am confident kwamba tukisema tuweke Orodha ya mabasi ya Usafiri Kati ya Dar-Njombe na Dar-Kahama lazima tuwakalishe..

New baby has arrived in Njombe, ABC Upper class 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220816-082625.png
    Screenshot_20220816-082625.png
    144.5 KB · Views: 10
  • 20220816_081441.jpg
    20220816_081441.jpg
    40.6 KB · Views: 9
  • 20220816_081320.jpg
    20220816_081320.jpg
    91.7 KB · Views: 10
Baada ya Njombe,piss kali imemwagwa na Mbeya..

Twende Kazi 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220816-083853.png
    Screenshot_20220816-083853.png
    241.4 KB · Views: 8
  • Screenshot_20220816-083818.png
    Screenshot_20220816-083818.png
    151.6 KB · Views: 8
  • Screenshot_20220816-083620.png
    Screenshot_20220816-083620.png
    150 KB · Views: 9
  • 20220816_083602.jpg
    20220816_083602.jpg
    80.1 KB · Views: 9
  • 20220816_082202.jpg
    20220816_082202.jpg
    50.9 KB · Views: 8
  • 20220816_083728.jpg
    20220816_083728.jpg
    63.3 KB · Views: 8
Hili pipa limeamsha vibe kama lote route ya Mbeya 👇
 

Attachments

  • 20220816_082257.jpg
    20220816_082257.jpg
    402.4 KB · Views: 7
  • 20220816_082655.jpg
    20220816_082655.jpg
    75.7 KB · Views: 9
  • 20220816_083722.jpg
    20220816_083722.jpg
    40.8 KB · Views: 11
  • 20220816_082855.jpg
    20220816_082855.jpg
    495.5 KB · Views: 9
  • 20220816_081939.jpg
    20220816_081939.jpg
    198.5 KB · Views: 7
Watu wa Kahama lazima mpasuke kwa vivu,tuliwaambia Njombe ni level zingine..

Baada ya ABC Upper class,chuma cha maana kingine kimeingia mjini..

Dar-Njombe na Njombe Express VIP Class 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220816-082345.png
    Screenshot_20220816-082345.png
    109.8 KB · Views: 8
  • Screenshot_20220816-082540.png
    Screenshot_20220816-082540.png
    151.9 KB · Views: 9
  • Screenshot_20220816-082452.png
    Screenshot_20220816-082452.png
    129.4 KB · Views: 7
  • 20220816_082352.jpg
    20220816_082352.jpg
    151.1 KB · Views: 8
  • 20220816_082545.jpg
    20220816_082545.jpg
    57.2 KB · Views: 8
  • 20220816_082459.jpg
    20220816_082459.jpg
    144.4 KB · Views: 8
Kazi imeanza nyamhongolo ...Mbeya mjiandae kupigwa chini mapato na ilemela ...vyanzo vimeanza kufunguliwa View attachment 2325172View attachment 2325173View attachment 2325174View attachment 2325175View attachment 2325176
Kwamba kule Buzuruga magari yalikuwa yanashusha/pakia abiria bure si ndio? 😜😜😜😜.

Mkuu unajifariji tuu,mwaka huu parking zimerudi Halmashauri sasa wapi kuna magari mengi Kati ya Mwanza na Mbeya? Malori tuu yanawakalisha.
 
Kwamba kule Buzuruga magari yalikuwa yanashusha/pakia abiria bure si ndio? .

Mkuu unajifariji tuu,mwaka huu parking zimerudi Halmashauri sasa wapi kuna magari mengi Kati ya Mwanza na Mbeya? Malori tuu yanawakalisha.
...We ndo unasema kati ya mwanza na mbeya ....Mbeya ndio kuna magari mengi ...Wew ni takataka kwelk
 
Kwamba kule Buzuruga magari yalikuwa yanashusha/pakia abiria bure si ndio? .

Mkuu unajifariji tuu,mwaka huu parking zimerudi Halmashauri sasa wapi kuna magari mengi Kati ya Mwanza na Mbeya? Malori tuu yanawakalisha.
Buzuruga stendi Haikuwa fees kama hzi..
20220815_142357.jpg
 
Back
Top Bottom