Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Na bukoba mara mbili kwa siku...just imagine kila siku kwa mji kama bukoba..

Na hapo kuna precision air na auric
Kwa hiyo hicho kijiji cha Bukoba kina biashara kuzidi Mbeya sio? 😁😁😁😁..

Sababu ni ile ile mko kwenye makwapa ya Tanzania so usafiri wa ahueni ni ndege na sio mabasi mnayokaa njiani siku 2..

Mwanza ukitoka saa 12 unafika Dar saa 7 usiku sasa nani atataka kukaa masaa yote hayo?
 

Attachments

  • 20220805_091844.jpg
    20220805_091844.jpg
    129.5 KB · Views: 16
  • 20220805_213916.jpg
    20220805_213916.jpg
    71.9 KB · Views: 16
  • Screenshot_20220806-091235.png
    Screenshot_20220806-091235.png
    230.1 KB · Views: 15
Kwa hiyo hicho kijiji cha Bukoba kina biashara kuzidi Mbeya sio? ..

Sababu ni ile ile mko kwenye makwapa ya Tanzania so usafiri wa ahueni ni ndege na sio mabasi mnayokaa njiani siku 2..

Mwanza ukitoka saa 12 unafika Dar saa 7 usiku sasa nani atataka kukaa masaa yote hayo?
Hii ilikuwa ya mwaka 2015 ..
Ongezea
Tungis ,tanzanite,,abood,fresters ,kvc,n.k na hizi kampuni Zina gari zaidi ya 3
Screenshot_20220807-081932.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20220807-081227.png
    Screenshot_20220807-081227.png
    149.8 KB · Views: 16
  • 20220807_081236.jpg
    20220807_081236.jpg
    274.9 KB · Views: 14
  • 20220807_081239.jpg
    20220807_081239.jpg
    384 KB · Views: 13
  • 20220807_081231.jpg
    20220807_081231.jpg
    307.9 KB · Views: 14
  • 20220807_081234.jpg
    20220807_081234.jpg
    307.2 KB · Views: 15
Huko kwenu anakuja kwa sababu Kuna lundo la matatizo ambayo huku hayapo..

Mathalani ziara yake huku Mbeya imekuwa ni full shangwe kwa utekelezaji wa miradi na amewasifia watendaji wake,huko Mwanza keshapangua ma RC mara 3..

Mfano mwingine,Biteko Amesema Wilya ya Chunya imeizidi Kahama na ni ya pili Kwa kuzalisha dhahabu nyingi nyuma ya Geita,ni full shangwe..

Waziri wa Viwanda na Uwekezaji Amesema Mbeya ni ya pili Kwa kuwa na viwanda vingi nyuma ya Pwani na vingine.vingi vinakuja wametoa leseni kama zote..

Na RC amesisitiza tena leo kwamba Mbeya imekusanya Bil.45 na kuvuka malengo kwa hiyo Bashungwa katoa taarifa ya uongo..

Mwisho siku ya 8/8 Rais anazindua miradi 21 ya umwagiliaji Kati ya hiyo 13 iko Mkoa wa Mbeya..

Ndio maana kila siku nawaambia Mbeya hatuhitaji push ya serikali huku tayari watu wanajua wanachofanya sio kama huko msikojielewa.
Angalia Wafanyabiashara wa Dhahabu Chunya ni watu wa wapi wengi... na kule Igawa Mbarali wameshatimba tayari...

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Angalia Wafanyabiashara wa Dhahabu Chunya ni watu wa wapi wengi... na kule Igawa Mbarali wameshatimba tayari...

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Sisi tunataka pesa,sura za watu hazituhusu..

Ukitaka tuangalie sura unazingua maana Mwenyekiti wa wachimbaji wadogo ni mkinga wa Makete..

Wanunuzi wengi wakubwa wa madini ni Wajinga ila manamba wengi ni Wasukuma kama kawaida yao..

Mwisho Pesa inabakia Mbeya hayo mengine ni ya kwako.
 
Sisi tunataka pesa,sura za watu hazituhusu..

Ukitaka tuangalie sura unazingua maana Mwenyekiti wa wachimbaji wadogo ni mkinga wa Makete..

Wanunuzi wengi wakubwa wa madini ni Wajinga ila manamba wengi ni Wasukuma kama kawaida yao..

Mwisho Pesa inabakia Mbeya hayo mengine ni ya kwako.
acha uongo, pale Mbeya mjini kuna dealer wangapi...?! Chunya ndio center angalia ma dealer wa pale, jamaa wanachimba wananunua pia... hakuna manamba tu... nenda kwenye Elution za pale uone...

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Sauli ndio mabasi mengi...?!

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo japo umeona Sauli tuu?

Hizi ni baadhi tuu ya kampuni za Dar-Mbeya tena zina gari zaidi ya moja.

1.Sauli,
2.Newforce,
3.Happy Nation,
4.Majinja,
5.Green Line,
6.Tanzanite,
7.Dar lux,
8.Kilimanjaro Express
9.Master,
10.Imani,
11.Rungwe,
12.Platnumz,
13.Mbeya Express,
14.Jacob Express,
15.Selous/Superfeo,
16.AL Hushoon,
17.Al Saedy,
18.Abood,
19.JM Luxury,
20.New Galaxy.
 

Attachments

  • Screenshot_20220807-092608.png
    Screenshot_20220807-092608.png
    229.4 KB · Views: 11
  • Screenshot_20220807-092345.png
    Screenshot_20220807-092345.png
    154 KB · Views: 15
  • Screenshot_20220807-092231.png
    Screenshot_20220807-092231.png
    271.7 KB · Views: 13
  • Screenshot_20220807-092414.png
    Screenshot_20220807-092414.png
    162.6 KB · Views: 12
  • Screenshot_20220807-092135.png
    Screenshot_20220807-092135.png
    163.7 KB · Views: 12
  • Screenshot_20220807-095418.png
    Screenshot_20220807-095418.png
    149.5 KB · Views: 11
  • Screenshot_20220807-094139.png
    Screenshot_20220807-094139.png
    136.6 KB · Views: 13
  • 20220807_095333.jpg
    20220807_095333.jpg
    48 KB · Views: 14
acha uongo, pale Mbeya mjini kuna dealer wangapi...?! Chunya ndio center angalia ma dealer wa pale, jamaa wanachimba wananunua pia... hakuna manamba tu... nenda kwenye Elution za pale uone...

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Uongo gani?

Mbeya Mjini wawepo wa nini wakati Soko limeshajengwa Chunya?

Waziri Biteko kasema kuna dealers zaidi ya 60 Chunya na Mbeya Mjini wako kadhaa..

Mzee saizi Chunya ni namba 2 Kwa kuzalisha Dhahabu nyuma ya Geita.
 
Uongo gani?

Mbeya Mjini wawepo wa nini wakati Soko limeshajengwa Chunya?

Waziri Biteko kasema kuna dealers zaidi ya 60 Chunya na Mbeya Mjini wako kadhaa..

Mzee saizi Chunya ni namba 2 Kwa kuzalisha Dhahabu nyuma ya Geita.
Chunya iwe namba mbili Mara Tarime iwe namba ngapi????
 
Uongo gani?

Mbeya Mjini wawepo wa nini wakati Soko limeshajengwa Chunya?

Waziri Biteko kasema kuna dealers zaidi ya 60 Chunya na Mbeya Mjini wako kadhaa..

Mzee saizi Chunya ni namba 2 Kwa kuzalisha Dhahabu nyuma ya Geita.
pale Tume ya Madini kuna dealer mmoja kwa sasa, ukienda Chunya wachimbaji wengi ni wa kanda ya Ziwa...

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom