Boss umetuletea habari za Njombe kuwa na mabasi mengi kuliko Kahama. Nimekuuliza hayo mabasi yanapeleka huko Njombe Makande? Logical population ina influence kubwa sana kwenye biashara ya mabasi. Ndio maana nchi hii huwezi kutaja biashara ya Mabasi bila kugusa mikoa yenye population nene. Dar/Mwz/Arusha/ Mbeya.
Kwa kanda ya ziwa baada ya Stand ya Nyegezi, stand inafuata kwa Ukubwa wa biashara ya Mabasi ni Kahama.
Sasa ukianza kutulutea suala la report za tamisemi na biashara ya Mabasi unatuchanganya. Nyie huko Njombe ni malori tu tena yanakuja kuchukua malighafi za mashambani. Ungesema hayo ndio yanayoboost mapato ya Njombe.
Wewe unatuletea hoja za idadi ya Mabasi na Ukubwa wa mji





.
Hata Kahama bado malori ni sehemu yake, kwa siku tu semi 300+ lazima zitue Kahama ziwe za kupita au kufika hapo hapo.