The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,516
- 14,183
Vyuma vya Nyanda za Juu Kusini..New force & Golden Deer.
Kutoka mkoa was mwisho kwa GDPNeema kwa Njombe na Nyanda za Juu Kusini zinazidi kufunguka, baada ya Soko la Ulaya,South Africa na China Sasa ni Ulaya
View attachment 2098709
Maisha ya wakazi katika mkoa wa mwisho kwa GDP nchini...
Bajeti za Halmashaur
Unaokoteza vipicha vya watu wachache wenye nafuu..Kutoka mkoa was mwisho kwa GDP
View attachment 2099419View attachment 2099420View attachment 2099421View attachment 2099422
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo unafurahia umasikini wa watanzania wenzako?Unaokoteza vipicha vya watu wachache wenye nafuu..
Swala ni kwamba majority are poor
Wahaya si wapenda sifa? Acha wapauke 😃😃Kwahiyo unafurahia umasikini wa watanzania wenzako?
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
So unaenjoy kuona wanapauka?Wahaya si wapenda sifa? Acha wapauke![]()
Tunataka makusanyo halisi ya Halmashauri sio bajeti za Halmashauri ambazo sehemu kubwa ni ruzuku ya serikali kuu..Bajeti za Halmashauri zetu 2022/23
1. Ilemela billion 77
View attachment 2099446
2. Kahama billion 47.5
Kinoko kwa lipi? Kahama ina watu wengi tuu nothing else..Hiyo miji iko vizuri ila kahama ni kiboko
Dogo nimeishi kote huko ila kahama iko vizuri sanaKinoko kwa lipi? Kahama ina watu wengi tuu nothing else..
Ona ulinganisho wa mapato hapa
View attachment 2099489
View attachment 2099490
View attachment 2099491
View attachment 2099492
Huyo hata usihangaike naye..naona wasukuma wa kahama walimfirimba kimasihara hadi leo haamini...so alichobakiza ni ubishi ili ajifariji.Dogo nimeishi kote huko ila kahama iko vizuri sana
ila kama unataka kubishana mi sina muda wa kubishana
Kwenye makusanyo ya jumla ya halmashauri zote kuanzia Majiji/ Manispaa/ Miji/ Wilaya, Kahama ipo kwenye Top 10, wapi Njombe mji???😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀Huyo hata usihangaike naye..naona wasukuma wa kahama walimfirimba kimasihara hadi leo haamini...so alichobakiza ni ubishi ili ajifariji.
Mana hata uzi wenyewe wameunganisha wilaya zao mbili na bado zinapwaya..naomba waje waunganishe mikoa ya nyanda za juu kusini ndio aishindanishe na kahama.
Uzuri takwimu zinajieleza..wala hatuna ubishi kahama inasonga mbele kila uchwao.
Dogo amekalia kulialia tu..hana hoja.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkeo ndio dogo.Nani ambae hajaishi? Afu kama uliishi Njombe enzi hizo unajidanganya Rudi kaishi upya afu ulinganisho na huko uswahilini..Dogo nimeishi kote huko ila kahama iko vizuri sana
ila kama unataka kubishana mi sina muda wa kubishana.
Yaani wewe ni mjinga na unafilimbwa,wapi walipounganisha Halmashauri mbili?Huyo hata usihangaike naye..naona wasukuma wa kahama walimfirimba kimasihara hadi leo haamini...so alichobakiza ni ubishi ili ajifariji.
Mana hata uzi wenyewe wameunganisha wilaya zao mbili na bado zinapwaya..naomba waje waunganishe mikoa ya nyanda za juu kusini ndio aishindanishe na kahama.
Uzuri takwimu zinajieleza..wala hatuna ubishi kahama inasonga mbele kila uchwao.
Dogo amekalia kulialia tu..hana hoja.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujakosea ila difference ni mil.600 tuu 😝😝..Kwenye makusanyo ya jumla ya halmashauri zote kuanzia Majiji/ Manispaa/ Miji/ Wilaya, Kahama ipo kwenye Top 10, wapi Njombe mji???😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Unapuyanga Sana,Njombe DC no.24 hapo👇Huyo hata usihangaike naye..naona wasukuma wa kahama walimfirimba kimasihara hadi leo haamini...so alichobakiza ni ubishi ili ajifariji.
Mana hata uzi wenyewe wameunganisha wilaya zao mbili na bado zinapwaya..naomba waje waunganishe mikoa ya nyanda za juu kusini ndio aishindanishe na kahama.
Uzuri takwimu zinajieleza..wala hatuna ubishi kahama inasonga mbele kila uchwao.
Dogo amekalia kulialia tu..hana hoja.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app