The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,516
- 14,183
Wanyama wakali kutoka Nyanda za Juu Kusini .
Hii inapatikana Nyanda za Juu Kusini tuu
Hii inapatikana Nyanda za Juu Kusini tuu
cc Istanbul.Hivi ule Mkoa una laana gani hasa maana Hali ya hewa ni nzuri,una wasomi wa kutosha na upo mpakani shida nini hasa?
What a view 🔥🔥🔥🔥Mkeka wa Zege wa kutoka Njombe to Ludewa
View attachment 2085768
View attachment 2085769
View attachment 2085772
Hii kitu kinakosesha mapato nchi nzima swala la kufunga mipaka....
Wamefunga mipaka yote...wananchi hawarusiwi kufanya trade na nchi za jirani...cc Istanbul.Hivi ule Mkoa una laana gani hasa maana Hali ya hewa ni nzuri,una wasomi wa kutosha na upo mpakani shida nini hasa?
Kwani population ni laana? Population ni faida,in fact hiyo population ingekuwepo Mbeya tungeshawapiga teke Mwanza kitambo Sana,unless population yenu ni ya wavivu tuu.Wamefunga mipaka yote...wananchi hawarusiwi kufanya trade na nchi za jirani...
Kitu kingine population ya mkoa ni kubwa sana yaan mara Tano ya mkoa wa njombe kagera Sasa ina 3.5million.....
Kitu kingine uhamiaji haramu ni mkubwa sana Kwa Sasa asilimia 30 ya wakazi wa mkoa huu ni warwanda ..Hawa watu wanavamia na wanaanzisha vijijini hasa zile sehemu zenye population density ndogo tofauti na uhayani
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Mbona mpaka na Kenya,Zambia,Malawi,DRC haijafungwa? Kwa nini huko wafunge?Hii kitu kinakosesha mapato nchi nzima swala la kufunga mipaka....
Sio swala la kucheka ...nchi nzima Inadidimia Kwa kukosa mapato ya trade za mipakani Wala hawaumizi wahaya tu.... Wahaya watajiendeleza wenyew Kila mtu kivyake lakin mkoa na nchi itazidi kudidimia
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Kijana hebu panua uwezo wako wa kufikiria kidogo ....Kwani population ni laana? Population ni faida,in fact hiyo population ingekuwepo Mbeya tungeshawapiga teke Mwanza kitambo Sana,unless population yenu ni ya wavivu tuu.
Pili hilo la mipaka,mipaka ipi imefungwa? Ya Rwanda au Uganda? Na kwa nini wafunge? Kwamba saizi hakuna usafiri baina ya hizo Nchi?.
Sasa kama wahamiaji haramu wako wengi mnashindwa nini kuwatoa? Mamlaka zinasemaje? Huko kuna Kambi za Jeshi nk ..Mwisho kwani wakiingia wanavuna mali na kurudisha kwao au wanawake huko huko?
Tafuteni sababu za msingi,mada wenu Kazi yao ni umalaya tuu kuanzia Mwanza,Dar hadi Sumbawanga afu unaleta visingizio vya kitoto hapa![]()
Jibu hoja zangu acha kujikoshaKijana hebu panua uwezo wako wa kufikiria kidogo ....
Acha kuwa inferior na kuishia kutukana makabila ya watu baada ya kutoa hoja za msingi
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Hoja zako za kitotoJibu hoja zangu acha kujikosha
Kwa akili hizi acha misalie huko huko kwenye buttucks kunusa ushuzi.
SawaKwa akili hizi acha misalie huko huko kwenye buttucks kunusa ushuzi.
Pia new force za kwenda kahama zipo nshaipandaWanyama wakali kutoka Nyanda za Juu Kusini .
Hii inapatikana Nyanda za Juu Kusini tuu
View attachment 2079493