The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,516
- 14,183
Hii exports imechangiwa pia na wapambanaji kutoka Njombe👇
Kumbe wakinga ni wachawi na washirikina


Wewe umesoma kichwa tu unatoka nduki eti wakinga wachawi.Basi wewe ni mchawi pia.
Mlioshindwa mna maneno mengi kama spika
Yaan makabila yote zaidi ya 120.... Wakinga ndo wamechaguliwa topic...Wewe umesoma kichwa tu unatoka nduki eti wakinga wachawi.Basi wewe ni mchawi pia.
Kwa sababu ni top kwenye biasharaYaan makabila yote zaidi ya 120.... Wakinga ndo wamechaguliwa topic...
Hata kama watakanusha lakin jamii ishaamini hivyo
Tumeshindwa wap Mzee??Mlioshindwa mna maneno mengi kama spika
Biashara za uchawi labda....Kwa sababu ni top kwenye biashara
Wao wamekatazwa kutumia uchawi? Ndo mushashindwa hivyo mnapiga maneno tuu yasiyo na maanaTumeshindwa wap Mzee??
Kama mnatumia uchawi wasiwaseme?
Ushawahi sikia mganga kutoka bukoba? Sijui uchawi
Hizo hizo tunawanyoooshaBiashara za uchawi labda....
Watu hawawaelewi
Fanyeni mambo ya msingi....
Sisi huko hatupo kwenye uchawi kabisaa....Wao wamekatazwa kutumia uchawi? Ndo mushashindwa hivyo mnapiga maneno tuu yasiyo na maana
Una matatizo kama sio kuchanganyikiwa ,kwamba dual carriage ya zaidi ya km 200 sio jambo la msingi?Fanyeni mambo ya msingi....View attachment 2071643
Maendeleo gani mliyonayo,saizi mnapigwa na wajinga mnabakia kuleta excuses za kijinga.Sisi huko hatupo kwenye uchawi kabisaa....
Sisi tunaadvance kwenye elimu na maendeleo.
Wahaya wengi wanafungua makapuni ya ukoo ambayo yanakuwa na nyanja zote za elimu.
Mfano Koo maarufu zenye makampuni Yao..Kairuki,luganuza,Rugemalilas, Barongo,Rabininsia,abemulo,biotech na mushumbusis....
Mambo ya uchuuzi fanyeni nyie na uchawi wenu
Tunajivunia maendeleo ya vijiji vyetu....Maendeleo gani mliyonayo,saizi mnapigwa na wajinga mnabakia kuleta excuses za kijinga.
View attachment 2071655
Mungekuwa na maendeleo msingeongoza kwa umaskini 😆😆..Tunajivunia maendeleo ya vijiji vyetu....View attachment 2071687View attachment 2071688View attachment 2071689
Reports za 2017Wazee wa kuchamba ziwani,ndio maana kansa haziwezi kuwaisha.
Kagera na Lake zone Mbatia aibu Sana Tzn hapa
View attachment 2076749


, udumavu ni tatizo huko kwenu, mpaka kichwani yaaniNaona umekurupuka kutoka kwenye wodi za wagonjwa wa kansa😁😁Reports za 2017, udumavu ni tatizo huko kwenu, mpaka kichwani yaani