Kahama VS Njombe/Mafinga

Same pics always,
Huko kagera mna kijiji kimoja?
Yaan bukoba vijijini tukitoa migomba ile inakuwa bonge la jiji lenye magheto makali
Kuliko eneo lolote Tanzania.

Tazama mansions huko vijijini
 
Mmetapeliwa na hakuna kilichonyooka. Kwanza kuishi Njombe yataka moyo. Nani akaishi uswekeni huko kama nyani na miumande hiyo. Fyuuuu. Poleni sana.ndio maana mnakula mbwa.
Ni kweli tumetapeliwa ila kudhihirisha utapeli we fungua Star tv na ITV kuna matangazo ya utapeli yanaendelea..

Ni kweli kwa nini uishi Njombe? Wewe endelea kuishi huku Mlikoyengwa kulikojaa Laana ya cancer👇



 
Hivi huko Jiji uchwara la Mwanza na Manispaa ya manamba ya Kahama mnaoga kweli?

Kusini tunapeta tuu Hali iko hivi 👇

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…