TEMLO DA VINCA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 3,087
- 3,392
Njombe hapo kweli, kuna watu wanahela utadhani wanachotA ka mchanga
Njombe hapo kweli, kuna watu wanahela utadhani wanachotA ka mchanga
Umekuja kusawazisha dakika ya 60 muda bado lakini😂😂😂
Watakuambia Hangaya ni Msukuma, vijana wa kusini wana maneno sanaKesho Rais Samia aka Chief Hangaya kwa mara nyingine atakuwa ndani ya jiji la Mwanza. Makazi yake rasmi ni pale Dodoma, yeye hupendelea kutembelea majiji mawili tu makuu hapa nchini, yaani Mwanza na Dar. Ana allergy na vijijini ndo maana hapendelei kwenda huko, na ndo maana hadi sasa toka aingie madarakani hajakanyaga vijijini kule kusini ambako vinapatikana vijiji vya Mbeya, Iringa, Njombe, Rukwa, nk wakati huohuo keshaenda Dar na Mwanza mara nne na zaidi.
Anawinda kura za 2021 kwa wingi wenu na kwa kuwa huko mnafurahia ujio wake na sio analeta nini hata mimi ninvekuja Sana mnishangilie na kunipa kura.Pia Kanda ya ziwa inahitaji extra care maana hamjiwezi kabisa kimaendeleo😀😀😀Kesho Rais Samia aka Chief Hangaya kwa mara nyingine atakuwa ndani ya jiji la Mwanza. Makazi yake rasmi ni pale Dodoma, yeye hupendelea kutembelea majiji mawili tu makuu hapa nchini, yaani Mwanza na Dar. Ana allergy na vijijini ndo maana hapendelei kwenda huko, na ndo maana hadi sasa toka aingie madarakani hajakanyaga vijijini kule kusini ambako vinapatikana vijiji vya Mbeya, Iringa, Njombe, Rukwa, nk wakati huohuo keshaenda Dar na Mwanza mara nne na zaidi.
Umekuja kusawazisha dakika ya 60 muda bado lakini![]()



hii inaitwa jino-kwa-jino!!Ungejua Mwanza ndo jiji linalokuzwa na wananchi wenyewe serikali ilichangia kidogo sanaAnawinda kura za 2021 kwa wingi wenu na kwa kuwa huko mnafurahia ujio wake na sio analeta nini hata mimi ninvekuja Sana mnishangilie na kunipa kura.Pia Kanda ya ziwa inahitaji extra care maana hamjiwezi kabisa kimaendeleo😀😀😀
Ndiyoo, kura za mjini ni za kuwinda na lazima aziwinde kwelikweli, sio kama za huko vijijini kusini zinajileta zenyewe bila hata kuzitafutaAnawinda kura za 2021 kwa wingi wenu na kwa kuwa huko mnafurahia ujio wake na sio analeta nini hata mimi ninvekuja Sana mnishangilie na kunipa kura.Pia Kanda ya ziwa inahitaji extra care maana hamjiwezi kabisa kimaendeleo![]()


Sasa kwa nini awawazie nyie huko wakati kura zipo za bwelele
.

, mmetengwa lakini mnapiga kura za ndiyo bila hata kuzisaka
, Deo sanga anasema huyu Rais kaletwa na Mungu mwenyewe

Opportunity Cost yuko wapi?! Isije kuwa ndo yule mpuuzi aliyelawiti kitimoto kule njombe! Na sasa yuko nyuma ya nondo hawezi kupost hapa!



Alikula ban yule bwege.Opportunity Cost yuko wapi?! Isije kuwa ndo yule mpuuzi aliyelawiti kitimoto kule njombe! Na sasa yuko nyuma ya nondo hawezi kupost hapa!
Una habari kuwa kigoma imeizidi kagera kwa GDP?Kuna mtu kutoka Kigoma anaitwa Zito kabwe eti nae alitaka kujipima na Wahayawakati uvinza mpaka huko kakonko ukijenga hii nyumba unarogwa bila kuchelewa
![]()
Kanda ya ziwa mnahitaji msaada,imagine hadi Leo Kanda ya ziwa wakiongozwa na wasukuma bado wanaamini utajiri unaletwa na kumuozesha binti.Wakati southern Highland tukisomesha na kutoa mitaji kwa akina Mama na mabinti jamaa bado wanasubiri binti aolewe ndio familia ipate nafuu.Imagine wanakomaa na mahali wako tayari binti asiolewe kisa mahali haitoshi.Jamii hii haiwezi kushindana southern highlandNdiyoo, kura za mjini ni za kuwinda na lazima aziwinde kwelikweli, sio kama za huko vijijini kusini zinajileta zenyewe bila hata kuzitafutaSasa kwa nini awawazie nyie huko wakati kura zipo za bwelele
.
1.SGR imeanzia dar na Mwanza, kura zinasakwa.
2.madaraja mareeefu ni Mwanza na Dar, kura hizo.
3.Stand za kisasa Mwanza na Dar, kura zinatafutwa.
4. Yaani kila kitu cha maana ni dar na Mwanza tu.
Lakini vijijini kusini Saasa, mmetengwa lakini mnapiga kura za ndiyo bila hata kuzisaka
, Deo sanga anasema huyu Rais kaletwa na Mungu mwenyewe
![]()
Kanda ya ziwa mnahitaji msaada,imagine hadi Leo Kanda ya ziwa wakiongozwa na wasukumu bado wanaamini utajiri unaletwa na kumuozesha binti.Wakati southern Highland tukisomesha na kutoa mitaji kwa akina Mama na mabinti jamaa bado wanasubiri binti aolewe ndio familia ipate nafuu.Imagine wanakomaa na mahali wako tayari binti asiolewe kisa mahali haitoshi.Jamii hii haiwezi kushindana southern highland


Naona unarukaruka kama bisi kikaangoni! Kanda ya ziwa ni kanda ya kazikazi, hata marais waliotoka kanda ya ziwa walikuwa ni watu wa kazi, Mwalimu alihamasisha kilimo Cha kufa na kupona, kilimo ni uti wa mgongo na Magugufuli ilikuwa 'hapa kazi tu'.Kigoma hawa tunaowapokea huku Karagwe wamepauka wanakimbia kwao huko wanasingizia eti ni wanyangara. Hata Shinyanga ina GDP kubwa kuliko KilimanjaroUna habari kuwa kigoma imeizidi kagera kwa GDP?