Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 8,996
- 6,921
Stay tuned kwenye Star TV baada ya taarifa utakuta tangazo la Vanilla kama kawaida,ingekuwa ni ponz scheme wala wasingetangaza..Kumekuchaaaaa, twendeni Njombe tukatapeliweee Kimeumana Vanilla Njombe. Ni utapeli mtupu
Huo mradi hata wabunge waliwahi utembelea na wakawataka watu wachangamkie fursa the same year.






