Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Usisahau kwamba Hali halisi yenu ni

View attachment 1978938
Naona Rukwa iliongoza hapo kwa miaka hiyo, kwa Sasa njombe ndo inaongoza namba 1, Njombe ni masikini, hawali wakashiba, wamedumaa akili na afya. Data za motomoto sio tu za mwaka huu bali ni za jana tu
Screenshot_2021-10-18-11-27-29-41.jpg
Screenshot_2021-10-18-11-13-14-73.jpg
 
Achaga upimbi
Jinga mmoja ww
We unajikuta unajua kila kitu ?
Mwanaume gani unatapa tapa
Leo upo njombe,mara mbeya,songwe,lindi,ruvuma na sasa upo arusha
Hizo ni tabia za kimalaya
Badilika
Mwanaume wa Southern Highlands,hiyo mikoa yote ni ya kwetu na Niko hapa kutetea Kanda Yangu..

Arusha ni my favorite Regio,nitaweka makazi yangu ya kudumu Arusha..

Baada ya kusema hayo nasikitika kukuambia kwamba umaskini umezidi kukita mizizi huko Lake zone maana population growth rate ni kubwa kuliko GDP growth,yaani kiufupi mafanikio yenu ni kuongeza idadi ya Maskini 😄😄
 
Mwanaume wa Southern Highlands,hiyo mikoa yote ni ya kwetu na Niko hapa kutetea Kanda Yangu..

Arusha ni my favorite Regio,nitaweka makazi yangu ya kudumu Arusha..

Baada ya kusema hayo nasikitika kukuambia kwamba umaskini umezidi kukita mizizi huko Lake zone maana population growth rate ni kubwa kuliko GDP growth,yaani kiufupi mafanikio yenu ni kuongeza idadi ya Maskini 😄😄
Screenshot_20211017-123853_Telegram.jpg
 
Unascreenshot tweet ya mhaya mmoja hivi afu unakuja nayo hapa kujifariji, serikali imesema njombe inaongoza nchini kwa udumavu wa akili na afya.
Sijui huyu jamaa huwa ana akili gani yaan analeta tweet ya mtu mmoja aliyekula maharage na kuvimbiwa, kwani na mimi nikitweet kuwa wasukuma wanangoza kwa utajiri ndo itakuwa official?
 
Mwanza jamaaaniiiiii, ndugu yenu anailinganisha na Arusha yaaani
😛😛😛😛
 
Kama GDP ya Mwanza kwa sasa ni hiyo na bado miradi mikubwa ya kuinua uchumi wa Mwanza bado haijakamilika kama vile, daraja la kigongo busisi, sgr, bandari ya nchi kavu fella, ujenzi wa meli wa mv Mwanza hapa kazi tu, ujenzi wa jengo la abiria la Mwanza airport, gold refinery, ujenzi wa soko kuu Mwanza, ujenzi wa stendi kubwa ya Nyamhongolo pale Ilemela, ujenzi wa stendi ya Nyegezi na hotel ya nyota tano pale capripoint je hivi vikikamilika Mwanza itakuwa wapi??
 
Kama GDP ya Mwanza kwa sasa ni hiyo na bado miradi mikubwa ya kuinua uchumi wa Mwanza bado haijakamilika kama vile, daraja la kigongo busisi, sgr, bandari ya nchi kavu fella, ujenzi wa meli wa mv Mwanza hapa kazi tu, ujenzi wa jengo la abiria la Mwanza airport, gold refinery, ujenzi wa soko kuu Mwanza, ujenzi wa stendi kubwa ya Nyamhongolo pale Ilemela, ujenzi wa stendi ya Nyegezi na hotel ya nyota tano pale capripoint je hivi vikikamilika Mwanza itakuwa wapi??
Kuna mgodi mpya wa dhahabu Sengerema, haujaanza uzalishaji. Yaaani hiyo Trillion 17 ya Dar tunaisawazisha ndani ya miaka mitano ijayo

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom