Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 8,996
- 6,921
Nilisema unipe Takwimu za GDP za Simiyu hadi leo hujaleta,tuko vizuri sana kwenye pesa hizo zingine ni porojo, tunafanya vizuri kwenye elimu na uchumi sasa hata wewe unalijua hili ila unajitoa ufahamu..Mikoa ya kusini kabla ya kupambana na mikoa ya kanda ya ziwa pambaneni kwanza na viribatumbo, kwashiokor pamoja na udumavu wa kimwili mkimaliza hayoa njooni tuendelee na mpambano wa kiuchumi.
Kusini kungekuwa sawa na hizo Takwimu zenu uchwara Mbeya isingekuwa na vyuo vikuu vingi kuzidi Mwanza,Mbeya isingewazidi Mwanza mapato 🤣🤣



