Sisi Njombe tunamgodi ambao ukianza tu nchi yote ya Tanzania inapataa neema na mwanzo mpya .MCHUCHUMA na LIGANGA🙂🙂🙂🙂🙂 Kama si ndugu yenu kuzuia sasa hivi tungekua tunazalisha chuma.
Kuna mgodi mpya wa dhahabu Sengerema, haujaanza uzalishaji. Yaaani hiyo Trillion 17 ya Dar tunaisawazisha ndani ya miaka mitano ijayo
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile






