Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Unalinganisha nyasi bandia na na huo uchafu kweli, TFF kushirikiana na azam soon watafunga taa ili mechi zichezwe na usik
Uchafu hako ka ground ka watoto,nyasi bandia zinawekwa hata kwenye urembo wa maduka..

Onyesha taa zinazowezesha kuchezwa mechi usiku au unateseka?
 
Uchafu hako ka ground ka watoto,nyasi bandia zinawekwa hata kwenye urembo wa maduka..

Onyesha taa zinazowezesha kuchezwa mechi usiku au unateseka?
Kama huna taarifa taa zitafungwa viwanja vinne tz nzima ila huko kusini hamna hata kimoja, kaitaba cha Bukoba, cha Dodoma, Kasim majaliwa cha Lindi na mkwakwani Tanga
 
Kuifananisha Njombe na Kahama ni utovu wa nidhamu, Kahama mji mkubwa sana hapa Tanzania na una mchanganyiko wa watu wengi, una biashara nyingi tofauti na madini, ni Mji ambao ni kiungo cha nchi zinazopakana na Tanzania upande wa Magharibi.

Njombe ni mji mdogo ambao unategemea zaidi Wakinga na Wabena wapande Miti ili kupata mbao ambapo hapo unaongelea miaka 7-10 ukianza hicho kilimo tarehe ya leo. Na mjue miti ina risky za kuchomwa moto nk.
Eri miti ina risk ya kuchomwa moto halafu unakuta mradi umeusubiri kwa miaka 7-10 wakati huku kahama Kama una mtaji wako ni miezi 4 tu unapata mamilioni au bilion kadhaa Sasa kwenye mbao bilion unaipata kwa kulima heka ngapi za miti
 
Sasa Kahama utaitenganishaje na usukuma ushamba na umasikini
Ulizia upate takwimu za mauzo ya Kila siku kwenye soko la dhahabu kutoka kwa wachimbaji wadogo halafu ndo utajua ni masikini au ubwege wa kutokuwa na takwimu ndo unakusumbua na ushamba na ubishi na kutokuwa na elimu.
 
Yaani pesa za dhahabu ufananishe na pesa za mbao we kweli unachekesha, mbao hadi mpande miti mje mvune ni lini
We akili huna,kwa hiyo dhahabu ukifika unaokota tuu? We kajinga Sana 😀😀😀😀..

Pesa ya mbao na Mazao yake ni kubwa kuliko za hako kamgodi kwa taarifa yako,na inaenda kwa mkulima directly sio nyie pesa anapata mzungu afu wewe unachekelea na umaskini wako..
 
Eri miti ina risk ya kuchomwa moto halafu unakuta mradi umeusubiri kwa miaka 7-10 wakati huku kahama Kama una mtaji wako ni miezi 4 tu unapata mamilioni au bilion kadhaa Sasa kwenye mbao bilion unaipata kwa kulima heka ngapi za miti
Kama ni rahisi hivyo mbona manaongoza kwa umaskini? Kwamba Kahama sasa inaongoza kwa mamilionea kwa sababu Wana mitaji ya 400k..😀😀😝😝..

Kituko cha mwaka ,we jamaa umewahi shika hata mil.10 maana unavyoongea na mashaka na wewe.
 
Ulizia upate takwimu za mauzo ya Kila siku kwenye soko la dhahabu kutoka kwa wachimbaji wadogo halafu ndo utajua ni masikini au ubwege wa kutokuwa na takwimu ndo unakusumbua na ushamba na ubishi na kutokuwa na elimu.
Hao ni maskini wa kutupwa,mauzo ghafi ni makubwa kuliko faida , biashara gani ambayo unawekeza mtaji mkubwa afu return yake hailingani na uwekezaji..

Mbona hatusikii mamilionea kila siku Kahama wakati wenzio wanaanza shule ile akimaliza chuo anakuja kuvuna miti tayari milionea .
 
Bwege wewe watu masikini wakati soko la dhahabu Kila siku mauzo ya mabilioni kutoka kwa wachimbaji wadogo
Mauzo yanayowafaidisha middlemen wewe matako yanakusaidiaje wewe manamba mbena sululu? Unajua migodini kunaongoza kwa umaskini?

Mamilionea wanapatikana kwenye kilimo kama hivi 👇

Screenshot_20211004-215255.png


Screenshot_20211004-215319.png


Screenshot_20211004-215703.png
 
Kama ni rahisi hivyo mbona manaongoza kwa umaskini? Kwamba Kahama sasa inaongoza kwa mamilionea kwa sababu Wana mitaji ya 400k....

Kituko cha mwaka ,we jamaa umewahi shika hata mil.10 maana unavyoongea na mashaka na wewe.
Nitumiwe no.ya whasap nikuoneshe uone Sasa hv nafanya nn nasubiri niuze dhahabu yangu ya gram 1200
 
Jihusiaheni na Mkoa wa kimkakati wa Njombe muanze kukumbukwa Ili muondokane na umaskini..

Hapa Kampuni ya Israel ndani ya Njombe ila msijali na nyie Lake zone tumewakimbuka👇

Screenshot_20210928-175128.png


Screenshot_20210928-175118.png


Screenshot_20210928-175058.png
 
Nitumiwe no.ya whasap nikuoneshe uone Sasa hv nafanya nn nasubiri niuze dhahabu yangu ya gram 1200
Nataka namba ya mamilionea mnaotoboa kila mwaka ..

By the way unajua kwamba mwenyekiti wa wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu Tzn ni Mtabe kutoka Njombe?

Hata wanunuzi wengi ni WA Kusini ,angalia tuu hapo kwenye masoko yenu.
 
Back
Top Bottom