Kwa hiyo hivyo ndivyo havipo kwingine? Dhahabu imejaa Chunya na Hamza ni shahidi.
Mji wa Tunduma unafanya uko karibu na Nchi za Zambia,DRC na Malawi na unafanya biashara Sana za mipakani kuliko Kahama.
Sema hivi Kahama imechukua nafasi ya Miji kama Bukoba,Shinyanga,Musoma na Geita ambayo ilistahili ndio iwe Miji mikubwa kutokana na hadhi zao lakini ndio hivyo wachuuzi wamewazidi.
Sisi Kusini hakuna Mji unauzidi Mji mkuu wa Mkoa ,haupo labda Makambako ije kuizidi Njombe siku za baadae but sioni hicho kikitokea kwa sababu Njombe ina nguvu ya uchumi kuliko Makambako.