Kahama VS Njombe/Mafinga

Anakuja mpumbavu mmoja anafananisha na sehemu fukara kama shinyanga.
Mind you miaka 10 ijayo mikoa ya nyanda za juu kusini itakuwa mbali sana sababu ya mapinduzi makubwa yanayofanyika kwenye kilimo
Bukoba mjini.

Hii ndo kagera

Foleni za magari wakirudi vijijini kwao .

Bukoba mjini asubuhi watu huingia mjini na jioni watu hutoka mjini na kurudi vijijiniView attachment 1930719
 
Sasa hiyo ni lami au kituko?

Sasa kama hicho kimji kinaitwa Manispaa hapa Tunduma itakuwa Jiji au? Compare and contrast



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…