Kahama VS Njombe/Mafinga

Eh eh hiv Kati ya njombe , sumbawanga na mbeya na bukoba ni wap lami iliwahi kujengwa


Nyie Hadi leo mnaangaika na barabara za wilaya 2021?



Halafu mtakuwa watu wafupi maneno mengi but nothing nothing
Wewe ndio utwambie ni kukumbushe kuwa barabara ya Dar-Njombe-Songea ni kongwe sana
 
Hiv ukikanyaga hii vumbi unaoga Mara ngap vile View attachment 1928224View attachment 1928225
Mara mia , nyingine hii hapa πŸ‘‡
Hii nchi kubwa hivi afu unasema imejaa? Kuchukua adjucent areas kutoka Halmashauri zingine kuna shida gani?

Kwa hizo excuses mtaishia kuwa hovyo hivyo hivyo.Mwanza imechukua Kisesa kutoka Magu na kuifanya sehemu ya Jiji na kuwa Manispaa kabisaa.

Sasa biashara zitakua vipi kwa mtindo huo?
 
Subiri nitafute picha za kahama huko kusini hakuna mji wa kuusogelea
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Wenzako walitafuta hizo picha toka nimeanzisha Uzi hawajawahi Zions zaidi ya machimbo na vigest houses kadhaa.

Ni hivi huko hakuna kitu
 
Miji uliyotaja hapo sio mbeya,iringa sijui Nini

Slums tupo.



Vijijini Sasa
Kuna wachawi watupu
Tzn hii wapi sio slums? Mkibanwa kende mnalia Sana vumilieni dozi iingie πŸ’‰πŸ’‰.

Wacha maneno weka picha πŸ˜€πŸ˜€
 
Na miji ya kusini yote imetandikwa vibaya mno na mji mmoja tu wa bukoba.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Unachekesha mwenzio kaaga eti anaenda kutafuta picha za Kahama baada ya kuishiwa za Bukoba 😝😝.

Sijamaliza naendelea kuwachapa na Sumbawanga town.Ukipata stand na mitaa kama hii huko Bukoba village town nitag πŸ‘‡πŸ‘‡















 
Kwa kweli hakuna cha kumpeleka zaidi ya kula vumbi tu.
Tatizo umechelewa Sana kuja kusaidia ndugu zako tunavyowapa kichapo kwa miji ya Kusini.

Kama kawaida yenu mnakuja na mdomo na maneno mengi bila picha za kuonyesha.

Any way you have nothing to show, Poverty zone yote ukipata pics kama hizi nitag.Mafinga town πŸ‘‡



































 

Tusiulizane tena kwa nini SGR inapelekwa Mwanza badala ya Kigoma. Hii ni agenda ya kitaifa. Ilihasisiwa na Benjamini William Mkapa, wacheni kumsingizia mwendazake kuwa anaipendelea Kanda ya ziwa.

Hata kama ikienda Kigoma, bado Kigoma ni Lake zone, ndio mjue potential ilyopo huku lake zone
 
Unapost Vituo vya mafuta na makanisa

Rais wa nchi yuko kanda ya ziwa saizi, hii ni mara ya tatu ndani ya miezi mitano, kumbuka huyu Rais hapendi kabisa vumbi kwa hiyo nyie wa huko mavumbini subirini kwanza.
 
Ila bado hamuwezi kufikia Bukoba na wala sio leo.
Hivi ukizungumzia mzunguko wa fedha wa kahama na njombe unalingana ?kahama imepewa hadhi ya mkoa TRA kahama ni mkoa wa madini kuna soko kubwa la madini kahama wanaingiza bilion 3 ushuru zao la mpunga kutoka mashine za malunga na kagongwa kahama wana NMB business bank tofauti na ile ya watumishi wanayochukulia mishahara na bank kama hii huko kwenu utaikuta mbeya tu na kanda ya ziwa iko mwanza na kahama tu kuhusu mzunguko wa fedha kanda ya ziwa hamjaweza kuizidi na haitatokea pia kahama peke yake ina matawi 14 ya bank inashindana na jiji la mbeya ukisema sababu ya madini kwani geita hayapo mbona bank hizo hazipo mbona mererani na tarime hazipo
 
Rais anarudiarudia kwenda sehemu mbili tu, pwani na lake zone, hapendi vijijini na mavumbini
 
Unapost Vituo vya mafuta na makanisa

Rais wa nchi yuko kanda ya ziwa saizi, hii ni mara ya tatu ndani ya miezi mitano, kumbuka huyu Rais hapendi kabisa vumbi kwa hiyo nyie wa huko mavumbini subirini kwanza.
Aahahaaaa, hivi tokea awe Raisi aliisha kanyaga Southern highland kweli????
 


Matajiri wa Southern Highland, huu ubunifu sio wa nchi hii
 
Rais anarudiarudia kwenda sehemu mbili tu, pwani na lake zone, hapendi vijijini na mavumbini
Huko kuna manyumbu wazuri wakati wa kupiga kura πŸ€­πŸ€­πŸƒπŸƒ πŸ˜†πŸ˜‚ Hata nikiwa mimi narudia hivyo hivyo.

Kwenye elite class huwezi mkuta kwa sababu hatuna ujinga sisi.
 
Huko kuna manyumbu wazuri wakati wa kupiga kura πŸ€­πŸ€­πŸƒπŸƒ πŸ˜†πŸ˜‚ Hata nikiwa mimi narudia hivyo hivyo.

Kwenye elite class huwezi mkuta kwa sababu hatuna ujinga sisi.
Mbunge wawapi huyu?
 
Huko kuna manyumbu wazuri wakati wa kupiga kura
Hata nikiwa mimi narudia hivyo hivyo.

Kwenye elite class huwezi mkuta kwa sababu hatuna ujinga sisi.
Mavumbini kusini kumetengwa
, miradi mikubwa kanda ya ziwa na pwani, mkuu wa nchi anarudiarudia kanda ya ziwa na pwani, mavumbini kusini kwake mwiko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…