Kahama VS Njombe/Mafinga

Nkema wane, ole he?
 
Baada ya kamataka kamata na fungia ya akaunti, biashara za Kahama zilishuka sana. Vibrancy ya Kahama 2016 kurudi nyuma sio sawa na sasa hivi. Kwa aliyeishi pale atanielewa
Ni kote kote,nyie ndio mlituletea yule mtu
 
Wewe huenda una ile elimu yenu ya makaratasi ila huna elimu ya pesa na property value.

Sasa bora nikose hiyo elimu yako ila siwezi Jenga bangalow kijijini,huko najenga just simple decent house full stop.
Sema unaogopa kurogwa ukijenga kijijini
 
Nyie watu wa Kagera na Kigoma mmeshindwa kuwasaidia ndugu zenu wa Burundi hadi wanafika Njombe eti kwa wamesikia per capita income yetu ni kubwa😀😀😀

 
Ndizi na sukari ya Kagera havifi Njombe,Tuache kutumia mtibwa na Kilombero tukachukue kagera
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…