Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 8,996
- 6,922
Kamji kenyewe chenga tupu sasa unategemea maendeleo yatoke wapi?Ukiona mkoa una mji mmoja tu ujue huo mkoa hauna ushindani na huo ndo mkoa wa kagera ebu angalieni mikoa yenye miji miwili ndani yake ilivo na ushindani mkubwa wa miji yao kukua kwa kasi mfano njombe Ina njombe tc na makambako tc , shinyanga mc na kahama mc , ruvuma songea mc na mbinga tc ,iringa mc na mafinga tc ,Moro mc na ifakara tc, Dom cc na kondoa tc, mtwara mc ,masasi tc na nanyamba tc , musoma mc na tarime tc kuwa na miji miwili ndani ya mkoa mmoja kunaleta ushindani mkubwa Sana wa kimaendeleo tofauti na mji ukiwa mmoja mnajibweteka mji unazidi kudumaa Kama kageraππππ
Visingizio as usual , maendeleo yako centred mijini huko Vijijini ni mashambani unaweza ishia kuumwa na nyoka na mbu wenye makazi yao.Nyie ni washamba
Unafikiri kuwa na rural urban migration kubwa ni sifa. Hujui kwamba ni indicator ya poverty huko vijijini na inaongeza matatizo lukuki kwa miji inayokuwa?!!
Mkoa wa kagera asilimia ya vijiji vyake viko vzr kimaendeleo ndo maana watu hawajisumbui kuamia vijijini.( Watu hutoka vijijini asubuhi na kuja mjini bukoba kufanya shughuli zao na hurudi vijijini jioni ndo maana mji wa bukoba unafolen asubuhi na jion)
Acheni ujinga wa miji bakini katika vijiji vyenu na mviendeleze.
Nchi za wazungu zilizoendelea watu wa vijijini Wana income kubwa kuliko watu wa mijini
Halafu ulidanganywa na nani kuwa kagera Kuna mji mmoja[emoji23][emoji23]
Kwa hali ya maisha huko vijijini .
Kuna haja gani ya kuhamia mijiniView attachment 1925663View attachment 1925664View attachment 1925665View attachment 1925666View attachment 1925667View attachment 1925668View attachment 1925669View attachment 1925671
Miaka kadhaa itaungana na Makambako kama Njombe inavyokaribia kuungana na Mtwango.Hapa ni igwachanya full taa za barabaran na road za kitaa full lami na mijengo ikizidi kunyanyuka ni kutoka makambako tc Hadi happy ni km 40 full kujengeka
View attachment 1925761View attachment 1925764
Kama huna macho tukusaidiaje? ππ Endelea kujifariji.Endelea kujifariji tu mmejazana kwenye vimiji uchwara vyenu hivo vijiji vipo hoi. Kilimanjaro walijipima ubavu ila hawakuona ndani tena angalau walileta tupicha ila nyie ni maneno tu
Kupanuka kupi mnaingizwa na hadi Katoro nyie? Mungekuwa Mji mkubwa hivyo si tungewaona hata kwenye list ya Miji yenye mzunguko wa pesa? Labda mnapanuka kwenye poverty rates πππHiyo uliyotaja hapo ni miji au mukusanyiko wa nyumba zilizojengwa hovyo hovyo[emoji23]
Eti makambako,sijui njombe,tarime,masasi,ifakara,nk hiyo ni miji [emoji23][emoji23]
Huo uswazi tu Wala haina haja ya kuwa mji.
Eti bukoba mji umelala? Bukoba imepanuka Hadi Sasa inaungana na mji mdogo wa kemondo km 20 away from bukoba
Fungua pdf hapa chini uone ramani nzuri ya Njombe na mtandao wa barabara kuu.Ndoo maana tulikwambia hata mkoa wa njombe huu ujui vizuri ebu tukusaidie data vizuri ndo ujue tunavo kwambia mkoa umejengeka ukitoka idofi makambako tc Hadi njombe tc ni km 69 ni full makazi Tena ya kisasa unakuja idofi makambako tc Hadi ilembula mpakani na mbeya full makazi km45 bado unakuja njombe tc Hadi makete dc full makazi zaidi ya km 100 ,na hizo ni main road bado road zinazo unganisha miji na vijiji hatujaongelea .acha kufa na historia ya zamani mambo yalisha badilika mzee
ππππLami kuelekea kamachumu muleba vijijiniView attachment 1925086
Nipe mfano wa Kijiji chenye nyumba za Tembe NjombeYaani huko nyanda za juu kusini napafahamu vizuri bila kusimuliwa bado mnajenga tembe mbaya zaidi mtu akipata pesa anakimbilia mjini, pengine na imani potofu zinachangia
Nyumba Kama hiiVisingizio as usual , maendeleo yako centred mijini huko Vijijini ni mashambani unaweza ishia kuumwa na nyoka na mbu wenye makazi yao.
Hao unaposema wamejenga Vijijini mostly wanakuja kusalimia kutoka town na kusepa huko wameacha wazee na mabeki tatu.Uishi kijijini una akili timamu? Utapata wapi pesa?
Mbona wewe hauko kijijini? Bata utoe wapi? Tatizo la huko mashambani kwenu hakuna miji wala ligi kila mtu yuko kwenye vichaka vya migomba.
Sijawahi kuona mnapost vijiji vya njombe na huko kusini.Kama huna macho tukusaidiaje? [emoji13][emoji13] Endelea kujifariji.
Hizi sio picha ni nini? [emoji116][emoji116]
View attachment 1925792
View attachment 1925793
View attachment 1925794
View attachment 1925795
View attachment 1925796
View attachment 1925797
View attachment 1925798
Unaona mulivyo wapumbavu na makusanyo yenu[emoji23][emoji23]Fungua pdf hapa chini uone ramani nzuri ya Njombe na mtandao wa barabara kuu.
Ukishaona Mji hauna junction kuja kukua ni kitendawaili
Nyie mnaogopa kurogwa mkijenga vijijini kwenu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kuna haja gan ya kuishi mjini Sasa.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Vijijini huko mulebaFungua pdf hapa chini uone ramani nzuri ya Njombe na mtandao wa barabara kuu.
Ukishaona Mji hauna junction kuja kukua ni kitendawaili
Kanyigo misenyiKama huna macho tukusaidiaje? [emoji13][emoji13] Endelea kujifariji.
Hizi sio picha ni nini? [emoji116][emoji116]
View attachment 1925792
View attachment 1925793
View attachment 1925794
View attachment 1925795
View attachment 1925796
View attachment 1925797
View attachment 1925798
Bukoba vijijiniKama huna macho tukusaidiaje? [emoji13][emoji13] Endelea kujifariji.
Hizi sio picha ni nini? [emoji116][emoji116]
View attachment 1925792
View attachment 1925793
View attachment 1925794
View attachment 1925795
View attachment 1925796
View attachment 1925797
View attachment 1925798
π π ukweli fulani mchungu sana. Isingekuwa awamu ya 5, Kahama ingekuwa mbali sana by nowMbona Shinyanga mjini ni makao makuu ya mkoa lakini Kahama iko speed kuliko Shy Town?
Sasa ka mradi kamoja kelele kibao mkoa was njombe una zaidi ya miradi minne ya umemeBado kuna mradi wa umeme wa maji Rusumo na Murongo/ Kikagate Uganda
Kitu gani kilikuwepo awamu ya 5 hakipo leo Kama sio upendeleo wa kuandishia hadhi bila vigezoπ π ukweli fulani mchungu sana. Isingekuwa awamu ya 5, Kahama ingekuwa mbali sana by now