Mapank
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 4,157
- 6,163
Weka Nulfin HotelParokia ya itahwa huko bukoba vijijini.View attachment 1916301
Weka Nulfin HotelParokia ya itahwa huko bukoba vijijini.View attachment 1916301
Jamani nyie watu. Barabara nzr lakin cheki pembeni nyumba aisee check nyumbaUwe unagoogle taarifa current ,hii taarifa yako ni zamani sana inazungumzia Ludewa ya Iringa wakati toka 2012 Ludewa haiko Iringa tena iko mkoa wa Njombe.Nikukumbushe Barabara ya Zege kilomita Hamsini amabayo pengine ndefu zaidi kwa kiwango hicho East na Central Africa.Iko Njombe Wilaya ya Ludewa.na sasa imebaki kama kilomita 15 kuisha.Unapogoogle tafuta latest information najua wewe bado hujasaranda sehemu nyingi za nchi hii.
View attachment 1916245
View attachment 1916247








Naam Mr Mapank.Weka Nulfin Hotel
Kwa unataka kusema mmeendelea Sana baada ya miaka hii kumi yote
Tanzania hii
Tanzania umaskini bado ni mkubwa Sana
Tena huko kusini ndo balaa.
Mimi hotel hazijaisha huku bukoba.
Wahaya wanajitahidi Sana kuwekeza kwao
Royal fountain hotel bukobaView attachment 1916253View attachment 1916254View attachment 1916255View attachment 1916256View attachment 1916257
Hii ndo hospital mnaona kubwa kusiniikonda hosptal MAKETE-NJOMBE
View attachment 1916381
View attachment 1916383
View attachment 1916385
View attachment 1916388


Nasubiri uwanja wa golfUwemba-Njombe
View attachment 1916397

Uwemba-Njombe
View attachment 1916397
Naona unapost makanisa tu hapa.View attachment 1916366
View attachment 1916367
View attachment 1916368
View attachment 1916369
usifikiri ni Njombe mjini huku ni ludewa Vijijini kabisa kuna mambo makubwa kama haya
Hii ilitokana na kukosekana kwa barabara za uhakika kwa sasa barabara iko tayari hadi Njombe mjni na ujenzi unaendelea kuunganisha na Mbeya.Makete ni moja ya wilaya kwenye mkoa wenye per capita ya 3000
Halafu huko si ndo kwa wakinga
Kagera kitakwimu inaonekana maskini lakin kuuhalisia haijafikia hali hii.
View attachment 1916222View attachment 1916223View attachment 1916224View attachment 1916225View attachment 1916226View attachment 1916227
Hizo Wilaya zote unazozitaja hazikuwa kabisa na barabara za kutoa rasilimali huko Vichakani given jografia ya milima na mabonde kwa Mkoa wetu.Pamoja na wilaya ya biharamulo ( ambayo ndo maskini Sana mkoa wa kagera) kuwa maskini lakin haijafikia hatua hii.
Ludewa ndani ya mkoa wenye per capita kubwa nchini njombeView attachment 1916236View attachment 1916237
Kwamba kagera 2025 itakuwa imelala sio.Hii ilitokana na kukosekana kwa barabara za uhakika kwa sasa barabara iko tayari hadi Njombe mjni na ujenzi unaendelea kuunganisha na Mbeya.
Na tulivyo wachapa Kazi,hilo gazeti lije tena 2025 kuandika huo ujinga.
Mungekuwa mumemaliza msingekuwa mnaongoza kwa umaskini Tzn hii,kima weweMkoa wa kagera hizo barabara za wilaya tushamaliza zamani
Tupo barabara za vijijini.
Mimi napenda takwimu ziendelee kutuonyesha maskini ili wahaya wazidi kuwekeza kwao sana .
View attachment 1916262View attachment 1916263
Kwamba watu wameamia Sasa hivHizo Wilaya zote unazozitaja hazikuwa kabisa na barabara za kutoa rasilimali huko Vichakani given jografia ya milima na mabonde kwa Mkoa wetu.
As we speak barabara ya lami kwenda Ludewa hadi Mbamba Bay inaendelea kujengwa.
Na ndio maana ilibidi tugawane mikoa maana Iringa walikuwa wanajipendelea kwao tuu .
Ila ukweli mchungu ni kwamba idadi ya maskini kama hao unaookoteza wewe jamaa ni wengi Sana huko Kagera kuliko Njombe.



Hebu Tuonyeshe huo umaskiniMungekuwa mumemaliza msingekuwa mnaongoza kwa umaskini Tzn hii,kima wewe


Hebu Tuonyeshe huo umaskini uko wap?Mungekuwa mumemaliza msingekuwa mnaongoza kwa umaskini Tzn hii,kima wewe
Nani kasema hii ndio hopstal kubwa?Ziko kubwa kama Njombe referal,Mbeya referal hospital nk...Lakini Ikonda kuna huduma bora na ukarimu wa hali ya juu.Njombe inahospital Nyingi sana mkuu Kuna NJOMBE TOWN COUNCIL HOSPITAL,IKONDA HOSPITAL,IKELU HOSPITAL,NJOMBE REGIONAL HOSPITAL,LUGARAWA HOSPITAL,ILEMBULA HOSPITAL, LUDEWA District Hospital,, achilia mbali health Centre kubwa kama Anglican Health Centre,Tanwat health Centre,NJOMBE HEALTH CENTRE NK..Tunaposema tuna GDP kubwa ndio uelewe kuwa tumepiga hatua kubwa.Hii ndo hospital mnaona kubwa kusini![]()
Sema mna ushamba fulani na hamtembei.tembeiNani kasema hii ndio hopstal kubwa?Ziko kubwa kama Njombe referal,Mbeya referal hospital nk...Lakini Ikonda kuna huduma bora na ukarimu wa hali ya juu.Njombe inahospital Nyingi sana mkuu Kuna NJOMBE TOWN COUNCIL HOSPITAL,IKONDA HOSPITAL,IKELU HOSPITAL,NJOMBE REGIONAL HOSPITAL,LUGARAWA HOSPITAL,ILEMBULA HOSPITAL, LUDEWA District Hospital,, achilia mbali health Centre kubwa kama Anglican Health Centre,Tanwat health Centre,NJOMBE HEALTH CENTRE NK..Tunaposema tuna GDP kubwa ndio uelewe kuwa tumepiga hatua kubwa.
Acha upumbavu mkuu hii haitabidikisha ukweli kwamba huko kumetamalaki umaskini.Hebu Tuonyeshe huo umaskini uko wap?
Nyie mko Kama Kenya GDP kubwa lakin umaskini Kama kawaida.