Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Nyumba za kuishi wilaya ya njombe bukoba ni hotel kwel maisha yanaenda speed
 
Mwalimu Nyerere mwanakanda ya ziwa alijenga reli kwenda Zambia wala hakuwalenga nyie, hapo kwenu ilipita tu sababu hakukuwa na namna. Bila Zambia reli mngekuwa mnaziona kwenye tv tu hususani star tv ya kanda ya ziwa make nyie huko hamna tv station.
Wakati unaandika hili ume shirikisha moyo na ubongo au umetumia kamasi kufikiri ....
 
Nyumba za kuishi wilaya ya njombe bukoba ni hotel kwel maisha yanaenda speed
Njombe ya jf labda

Muwe mnapaka rangi mabati
images%20(5).jpg
images%20(7).jpg
images%20(6).jpg
images%20(9).jpg
 
HIZ


Hizo ni Old Pictures nenda kapige picha leo.Watu wamejenga vigorofa kwenye mashamba ya parachichi.Hatushindani na watu wenye GDP ya 1.1 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Eti GDP.


hata huelewi unaandika Nini.


Tanzania hii bado maskini yote.
Tena huko kusini ndo balaa kabisa


Wakulima ndo maskini wa kutupwa. Wanazalisha Sana but faida kidogo ndo kinachowakuta watu wa kusini.

Bora sisi tupo kwa elimu sana
 
HIZ


Hizo ni Old Pictures nenda kapige picha leo.Watu wamejenga vigorofa kwenye mashamba ya parachichi.Hatushindani na watu wenye GDP ya 1.1 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Mkulima wa bongo atabaki maskini milele sera za nchi zisipobadilika.


Wakulima wa bongo huzalisha Sana lakin kwa sababu ya sera mbovu za nchi mikoa yao inaonekana Ina GDP kubwa but hali ya maisha ni ajabu kweli kweli
 
HIZ


Hizo ni Old Pictures nenda kapige picha leo.Watu wamejenga vigorofa kwenye mashamba ya parachichi.Hatushindani na watu wenye GDP ya 1.1 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Njombe ni nouma Sana imechapa Khm sasa Bukoba imekuja kusuport.

Njombe Vs Kahama/Bukoba.Tunashindana na Manispaa
Makete ni moja ya wilaya kwenye mkoa wenye per capita ya 3000






Halafu huko si ndo kwa wakinga



Kagera kitakwimu inaonekana maskini lakin kuuhalisia haijafikia hali hii.
2887585_Screenshot_2021-08-19-15-04-41-28.jpg
images%20(94).jpg
images%20(95).jpg
images%20(96).jpg
images%20(97).jpg
images%20(98).jpg
 
Picha ya kwanza na ya pili hapo juu inaonesha how Mighty Njombe is..
HIZ


Hizo ni Old Pictures nenda kapige picha leo.Watu wamejenga vigorofa kwenye mashamba ya parachichi.Hatushindani na watu wenye GDP ya 1.1 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Pamoja na wilaya ya biharamulo ( ambayo ndo maskini Sana mkoa wa kagera) kuwa maskini lakin haijafikia hatua hii.


Ludewa ndani ya mkoa wenye per capita kubwa nchini njombe
Screenshot_20210830-111744.jpg
Screenshot_20210830-111756.jpg
 
Pamoja na wilaya ya biharamulo ( ambayo ndo maskini Sana mkoa wa kagera) kuwa maskini lakin haijafikia hatua hii.


Ludewa ndani ya mkoa wenye per capita kubwa nchini njombe View attachment 1916236View attachment 1916237
Uwe unagoogle taarifa current ,hii taarifa yako ni zamani sana inazungumzia Ludewa ya Iringa wakati toka 2012 Ludewa haiko Iringa tena iko mkoa wa Njombe.Nikukumbushe Barabara ya Zege kilomita Hamsini amabayo pengine ndefu zaidi kwa kiwango hicho East na Central Africa.Iko Njombe Wilaya ya Ludewa.na sasa imebaki kama kilomita 15 kuisha.Unapogoogle tafuta latest information najua wewe bado hujasaranda sehemu nyingi za nchi hii.
1630312200781.png


1630312235843.png
 
Uwe unagoogle taarifa current ,hii taarifa yako ni zamani sana inazungumzia Ludewa ya Iringa wakati toka 2012 Ludewa haiko Iringa tena iko mkoa wa Njombe.Nikukumbushe Barabara ya Zege kilomita Hamsini amabayo pengine ndefu zaidi kwa kiwango hicho East na Central Africa.Iko Njombe Wilaya ya Ludewa.na sasa imebaki kama kilomita 15 kuisha.Unapogoogle tafuta latest information najua wewe bado hujasaranda sehemu nyingi za nchi hii.
View attachment 1916243
Kwa unataka kusema mmeendelea Sana baada ya miaka hii kumi yote


Tanzania hii




Tanzania umaskini bado ni mkubwa Sana


Tena huko kusini ndo balaa.





Mimi hotel hazijaisha huku bukoba.

Wahaya wanajitahidi Sana kuwekeza kwao

Royal fountain hotel bukoba
images%20(99).jpg
1.JPG
4c.JPG
DSC06110.JPG
8b.jpg
 
Uwe unagoogle taarifa current ,hii taarifa yako ni zamani sana inazungumzia Ludewa ya Iringa wakati toka 2012 Ludewa haiko Iringa tena iko mkoa wa Njombe.Nikukumbushe Barabara ya Zege kilomita Hamsini amabayo pengine ndefu zaidi kwa kiwango hicho East na Central Africa.Iko Njombe Wilaya ya Ludewa.na sasa imebaki kama kilomita 15 kuisha.Unapogoogle tafuta latest information najua wewe bado hujasaranda sehemu nyingi za nchi hii.
View attachment 1916245

View attachment 1916247
Mkoa wa kagera hizo barabara za wilaya tushamaliza zamani


Tupo barabara za vijijini.

Mimi napenda takwimu ziendelee kutuonyesha maskini ili wahaya wazidi kuwekeza kwao sana .

JamiiForums-272181783.jpg
JamiiForums1103817465.jpg
 
HIZ


Hizo ni Old Pictures nenda kapige picha leo.Watu wamejenga vigorofa kwenye mashamba ya parachichi.Hatushindani na watu wenye GDP ya 1.1 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Nani alisema maprofesa hawaijengi bukoba.


Nyumba ya mama professor Anna tibaijuka bukoba


Mama wa mboga
259.jpg
download%20(2).jpg
 
HIZ


Hizo ni Old Pictures nenda kapige picha leo.Watu wamejenga vigorofa kwenye mashamba ya parachichi.Hatushindani na watu wenye GDP ya 1.1 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Hebu twende muleba Sasa .wilaya yenye hospital zaidi ya tano.


Wilaya ya pili kwa shule nyingi nchini.
Wilaya ambayo bado kata mbili tu ambazo hazina lami
JamiiForums692014557.jpg
JamiiForums-1435817192.jpg
JamiiForums851342340.jpg
JamiiForums1474342229.jpg
JamiiForums-1051737225.jpg
JamiiForums-1539819156.jpg
JamiiForums1751499196.jpg
JamiiForums-1435817192.jpg
 
HIZ


Hizo ni Old Pictures nenda kapige picha leo.Watu wamejenga vigorofa kwenye mashamba ya parachichi.Hatushindani na watu wenye GDP ya 1.1 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Parokia ya itahwa huko bukoba vijijini.
JamiiForums577217769.jpg
 
Back
Top Bottom