Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

View attachment 1904090View attachment 1904091View attachment 1904092View attachment 1904093
Muache kukalili Kanda ya ziwa haya mambo nyanda za juu kusin yalishafanyika muda mrefu mtu anajua reli ya tazara inasafirisha shaba tu na ngoja tukuletee zinazo beba content na magari
Mimi ninaongelea ndege wew unaleta hizo treni zilizochoka!!?

Kama na maendeleo ya usafirishaji miji Kama bukoba imekuwa na meli na bandari toka ukoloni uko 1930 .
Kumbuka bukoba ilikuwa mji mwaka 1890 nyie sijui mlikuwa wap...

images%20(41).jpg
images%20(38).jpg
images%20(39).jpg
 
Hii shule si ndio tulidhurumiwa rambirambi zetu
Hebu muache apumzike kwa amani.

Alidhurumu rambirambi lakin ameacha Alama bukoba Kama.
1.upanuzi wa bandari za bukoba na kemondo
2. Ujenzi wa chuo Cha veta 22bl
3.karudisha meli ya mv Victoria
4. Ameacha ujenzi wa meli kubwa ya mv mwanza itakayokuwa inakuja bukoba.
5. Kaacha ujenzi wa chuo kikuu tawi la udsm
5.kaacha mradi mkubwa wa usambazi wa maji kyaka misenyi
6.kaacha ujenzi wa daraja la kitengule.
7. Kaacha ujenzi wa barabara za vijijini Kama Rubya ( mujungi road), kamachumu nshamba nk
Na mengine mengi ingawa mji wa bukoba aliukwepa kisa ulikuwa upinzani
 
He

View attachment 1904257View attachment 1904258
Angalia mji mlio anzanao nyanda za juu kusini ulivowapiga gap endeleeni kunywa ubisi mkajifariji et mnaendelea mtasubiri sana
Iringa


Mji mdogo na umejaa slums kuanzia ipogoro Hadi Samora sema Kuna maghorofa yamebanana hapo mjini Kati.


Serikali inajitahidi Sana kupaendeleza iringa kwa stendi ya kisasa,barabara,masoko na vyuo lakin watu wake hawana vipato hata kidogo.


Kwenye huduma za kijamii na hali ya maisha bukoba inaipiga gape iringa kuanzia mjini mpaka vijiji


Vijijini Sasa huko kilolo sijui iringa vijijini na balaa tupu umaskini wa kutisha.


Kwanza hiyo picha uliopost ni slums tupu
 
Iringa


Mji mdogo na umejaa slums kuanzia ipogoro Hadi Samora sema Kuna maghorofa yamebanana hapo mjini Kati.


Serikali inajitahidi Sana kupaendeleza iringa kwa stendi ya kisasa,barabara,masoko na vyuo lakin watu wake hawana vipato hata kidogo.


Kwenye huduma za kijamii na hali ya maisha bukoba inaipiga gape iringa kuanzia mjini mpaka vijiji


Vijijini Sasa huko kilolo sijui iringa vijijini na balaa tupu umaskini wa kutisha.


Kwanza hiyo picha uliopost ni slums tupu
Hko ni kujifariji tu huwezi linganisha iringa na bukoba iringa IPO mbali Sana
FB_IMG_16296917880131031.jpg
FB_IMG_16296918647021399.jpg
FB_IMG_16296916774847013.jpg
 
View attachment 1904090View attachment 1904091View attachment 1904092View attachment 1904093
Muache kukalili Kanda ya ziwa haya mambo nyanda za juu kusin yalishafanyika muda mrefu mtu anajua reli ya tazara inasafirisha shaba tu na ngoja tukuletee zinazo beba content na magari
Mwalimu Nyerere mwanakanda ya ziwa alijenga reli kwenda Zambia wala hakuwalenga nyie, hapo kwenu ilipita tu sababu hakukuwa na namna. Bila Zambia reli mngekuwa mnaziona kwenye tv tu hususani star tv ya kanda ya ziwa make nyie huko hamna tv station.
 
Hko ni kujifariji tu huwezi linganisha iringa na bukoba iringa IPO mbali Sana View attachment 1904686View attachment 1904687View attachment 1904691
Hata watu wa masifa bukoba kweli mnajifananisha na iringa town kweli mtasubiri sana
View attachment 1904713View attachment 1904715
Mji wenu ni manzese iliyochangamka.

Napafahamu Sana iringa kuanzia kihesa,ipogolo,mkwawa nk nk


Maendeleo ya mji sio kuwa na maghorofa marefu mzee. Tazama miji ya ulaya .miji mingi ya ulaya hainaga maghorofa marefu lakin Ina huduma zote muhimu.


Hio ndo bukoba huduma zote muhimu zipo ( isipokuwa stendi tu ambayo nayo inajengwa) tukianzia hospital zaidi ya tano, airport, barabara,maji, bandari,viwanja vya mpira, umeme nk ni huwezi linganisha na iringa.


Mji mdogo Sana ule.


Kwanza huko safari za ndege zimefungwa hakuna abiria huko jinsi mji ulivyojaa maskini
 
Ndio mjue kwa nini SGR inaanzia Mwanza to Dar na sio Southern Highland. Hiyo bulk ni kwa Uganda tu
1629745404461.png


Mnaiona kwa mbali hiyo ni SGR na Mwanza zinapigwa daraja za juu kwa juu City Center kutengeneza mandhari ya Jiji. Msitapike Nyongo tu, kuna clip ya TRC nitaileta wanaelezea SGR Mwanza city center achilia mbali main station ya Fella
1629745511282.png



Pata vitu hapo
 
Miji na mikoa yote Tanzania ikajifunze Njombe namna ilivyowaondoa machinga na wajasiliamali wadogo barabarani na maeneo yasiyolasmi na kuwa weka kwenye masoko na maeneo ya biashara bila prukushani na mabomu.Heko sana kwa halimashauri ya mji Njombe naamini wengine watajifunza kwenu.Hakina nimejionea mwenyewe mji uko safi kabisa na DAR ES SALAAM hii ingekua safi kama Njombe bila biashara holela lingekua jiji la mfano kabisa.
 
Miji na mikoa yote Tanzania ikajifunze Njombe namna ilivyowaondoa machinga na wajasiliamali wadogo barabarani na maeneo yasiyolasmi na kuwa weka kwenye masoko na maeneo ya biashara bila prukushani na mabomu.Heko sana kwa halimashauri ya mji Njombe naamini wengine watajifunza kwenu.Hakina nimejionea mwenyewe mji uko safi kabisa na DAR ES SALAAM hii ingekua safi kama Njombe bila biashara holela lingekua jiji la mfano kabisa.
Yaani Njombe ya jamii forum ni Dubai ndogo, ni watu vile hawajui
 
Yaani Njombe ya jamii forum ni Dubai ndogo, ni watu vile hawajui
Ukweli ndio huo nimekwenda Njombe Jumanne hakika ni mji msafi,well cleaned hakuna watu wanapanga bidhaa barabara au kupika barabarani na mitaroni Kama Dsm na miji mingine kwa hilo sina cha kusema kongole kwa halimashauri.
 
Mji wenu ni manzese iliyochangamka.

Napafahamu Sana iringa kuanzia kihesa,ipogolo,mkwawa nk nk


Maendeleo ya mji sio kuwa na maghorofa marefu mzee. Tazama miji ya ulaya .miji mingi ya ulaya hainaga maghorofa marefu lakin Ina huduma zote muhimu.


Hio ndo bukoba huduma zote muhimu zipo ( isipokuwa stendi tu ambayo nayo inajengwa) tukianzia hospital zaidi ya tano, airport, barabara,maji, bandari,viwanja vya mpira, umeme nk ni huwezi linganisha na iringa.


Mji mdogo Sana ule.


Kwanza huko safari za ndege zimefungwa hakuna abiria huko jinsi mji ulivyojaa maskini
Ndo unavyojifariji sio 😁😁 Bila maghorofa hicho ni kijiji za ujamaa almaarufu village town
 
Iringa


Mji mdogo na umejaa slums kuanzia ipogoro Hadi Samora sema Kuna maghorofa yamebanana hapo mjini Kati.


Serikali inajitahidi Sana kupaendeleza iringa kwa stendi ya kisasa,barabara,masoko na vyuo lakin watu wake hawana vipato hata kidogo.


Kwenye huduma za kijamii na hali ya maisha bukoba inaipiga gape iringa kuanzia mjini mpaka vijiji


Vijijini Sasa huko kilolo sijui iringa vijijini na balaa tupu umaskini wa kutisha.


Kwanza hiyo picha uliopost ni slums tupu
Iringa Per Capita GDP 4,000 VS Kagera Per Capita GDP 1,1000 😂😂😁😁.

Umaskini wa kutopea huko Katerero Region sidhani kama mna jipya hapa Tzn👇👇

Screenshot_20210829-124453.png
 
Iringa Per Capita GDP 4,000 VS Kagera Per Capita GDP 1,1000 .

Umaskini wa kutopea huko Katerero Region sidhani kama mna jipya hapa Tzn

View attachment 1914407
mzee wa takwimu. Kwan per capita inahesabiwaje.
Population ya kagera ni kubwa sana mkoa una watu 3.2 million hebu weka iringa hapa.bado density pia ya kagera ni kubwa mno kulinganisha na iringa hivyo takwimu Lazima ziwe hivyo.


Ila kihualisia iringa watu wake hawana vipato kiviile kulinganisha na kagera.
Ndo maana abiria wa ndege wamekosa huko na wamefunga safari za huko.vijijini huko kilolo ni ajabu tupu.


Kwamba takwimu hixo kwa kipato hicho basi wanairinga wapo developed Sana


Anyway punguza stress kwa kutizama pisi Kali kutoka bukoba.
Huko kusini hivi Kuna mademu kweli

Screenshot_20210829-140346.jpg
Screenshot_20210829-141525.jpg
Screenshot_20210829-143917.jpg
Screenshot_20210829-141549.jpg
Screenshot_20210829-141508.jpg
 
Back
Top Bottom