instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,540
- 19,485
Mji hauna street lights? We ulisikia wap.Hii village town ya Bukoba ni hovyo kabisa kimji hakina street lights ikifika usiku watu wote wanashindana kuwanga na kufanya katerero tuu![]()
Mji uwe na airport ya kisasa,bandari na barabara ikose vitu minor Kama hivyo? Kweli we mshamba.
Streets lights zimekuwepo bukoba toka miaka ya tisini huko
Tena Sasa ndo wanazifumua na kuweka mpya
