instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,543
- 19,489
Unataka tulime viazi na kukusanya mapato miaka yote Kama huko njombeNdio mnawaza white color job ndio maana mumekimbia kwenu na hakuna uwekezaji wowote mnafanya huko kwenu.

Unataka tulime viazi na kukusanya mapato miaka yote Kama huko njombeNdio mnawaza white color job ndio maana mumekimbia kwenu na hakuna uwekezaji wowote mnafanya huko kwenu.

Hebu fatilia matokeo uone mkoa wenu unashika ungap usituletee mambo ya historia za wazeeNi upumbavu na ujinga kuwekeza kwenye vitu Kama maghorofa na sio watu.
Hapo ndo watu wa bukoba wanapowazidia.
Wahaya wanawekeza katika elimu ili kizazi Cha kihaya kisikae kizembe milele na milele.
Ukiliangalia mji wa bukoba una shule Kama zote kuzunguka mji na zinaongoza kitaifa kila mwaka
Wilaya Kama muleba Ina shule nyingi kuliko wilaya za dar kwa sababu wahaya wamewekeza kwenye elimu sio upumbavu wa vitu ambavyo unaweza kufilisika.
.
Kijana unaongelea ufaulu wa shule za secondary? Ambayo kagera haujawahi kosa top ten.
Tazama wingi wa wasomi,tazama muamuko wa elimu wa katika jamii.
Huko kusini mnalima viazi tu
Fanya tathimini upya usituletee historia za kizamani hapa said kila Kona Kuna wasomi Tena wanaojitambua sio Kama wa bukoba ambao wameacha mji wao unazidi kudumaa.
Kijana unaongelea ufaulu wa shule za secondary? Ambayo kagera haujawahi kosa top ten.
Tazama wingi wa wasomi,tazama muamuko wa elimu wa katika jamii.
Huko kusini mnalima viazi tu
Hao maprofesa wameusaidia nn mkoa wa hizo ndo sifa za kijinga huo ni usomi uchwaraNishaacha ujinga wa kulinganisha vyuo vikuu
Kuwa na vyuo vikuu sio maendeleo. Maendeleo ni kuwa na wasomi kibao.
Jengeni vyuo uko njombe lakin baada ya watu wa njombe kusoma watawashangaa wahaya,wasukuma na wachaga wakijaza vyuo Kama ilivyo sasa kwenye vyuo vingi nchini.
Wasomi wa kagera mkoa mmoja ni wengi kuliko kusini nzima.just imagine wilaya ya misenyi Ina maprofesa 102
Fanya tathimini upya usituletee historia za kizamani hapa said kila Kona Kuna wasomi Tena wanaojitambua sio Kama wa bukoba ambao wameacha mji wao unazidi kudumaa
Sijui hauoni aibuHebu fatilia matokeo uone mkoa wenu unashika ungap usituletee mambo ya historia za wazee View attachment 1914823
View attachment 1914828
Bora wao Wana usomi uchwara kuliko kutokuwa na usomi kabisa Kama huko njombe kazi kulima viazi tu na kukusanya mapatoHao maprofesa wameusaidia nn mkoa wa hizo ndo sifa za kijinga huo ni usomi uchwara
Leta ya ujumla ya kimkoa we vp
Mnajitambua halafu mmeshindwa kucontrol ukimwi? !!! Kama walivyofanya kagera..Fanya tathimini upya usituletee historia za kizamani hapa said kila Kona Kuna wasomi Tena wanaojitambua sio Kama wa bukoba ambao wameacha mji wao unazidi kudumaa
Sasa mbona unapost picha za mwaka 2004View attachment 1914886View attachment 1914888View attachment 1914890View attachment 1914893tunavo sema mji umedumaa mnabisha hahaha mtu akuja kuongelea habari ya maprofesa ambao wako dar badilishen mji wenu ni aibu hii
View attachment 1914887



Sasa kwa taarifa yako hata makamu mkuu wa udsm ni wa njombe endelea kujipa mahope ya kizamani hayoBora wao Wana usomi uchwara kuliko kutokuwa na usomi kabisa Kama huko njombe kazi kulima viazi tu na kukusanya mapato
Unaona ulivyo na akili finyu .Leta ya ujumla ya kimkoa we vp
Utopolo huo ndo uje ujilinganishe na miji ya kusini bado SanaMnajitambua halafu mmeshindwa kucontrol ukimwi? !!! Kama walivyofanya kagera..
Kuhusu mji wa bukoba Kama haujawahi fika Bora ukakaa kimya.
Kusini nzima hakuna mji wenye quality ya bukoba
Mbona udsm wahaya wamedominate kibao kuanzia makamu aliyestaafu Kama professor Rwekaza mkandala.Sasa kwa taarifa yako hata makamu mkuu wa udsm ni wa njombe endelea kujipa mahope ya kizamani hayo


We ndo unaakili finyu tathimini huwa hatuchukui shule tatu tu ndo tuseme mkoa upo vizuri kielimu lazima tuangalie kwa ujumlaUnaona ulivyo na akili finyu .
Haha ulivokalili yunus mgaya ni wawapiMbona udsm wahaya wamedominate kibao kuanzia makamu aliyestaafu Kama professor Rwekaza mkandala.
Halafu huyu anangisye ni mnyakyusa wa mbeya acha uongo kijana.
Hebu taja maprofesa hata 10 tu wa njombe![]()
Hebu kabla hatujaenda kwenye mkoa mzima ambayo najua kagera inawachapa.Leta ya ujumla ya kimkoa we vp
Me nacho jua wasomi ni wengi saiz ko Sina muda wa kuanza kuhesabu mkoa mzima alafu kuwa na maprofesa wengi sio kipimo Cha maendeleoMbona udsm wahaya wamedominate kibao kuanzia makamu aliyestaafu Kama professor Rwekaza mkandala.
Halafu huyu anangisye ni mnyakyusa wa mbeya acha uongo kijana.
Hebu taja maprofesa hata 10 tu wa njombe![]()
Katika top 10 Kanda ya ziwa imeingiza 8


, hata hili jamvi naona tunadiscuss vitu vya msingi watu wenye akili na vilaza wa Southern hukoooUnaona ulivyo mpumbavu na sidhani Kama chuo kikuu umefika wew.Haha ulivokalili yunus mgaya ni wawapi