Huyu mdatchu sijui ana akili ganiKatika top 10 Kanda ya ziwa imeingiza 8, hata hili jamvi naona tunadiscuss vitu vya msingi watu wenye akili na vilaza wa Southern hukooo



Unaona ulivyo popomaMnao ishi kwa kukalili hebu angalia hayo no matokeo ya form four et kagera kagera angalia mkoa was njombe ulivo waburuza
View attachment 1914919




.
Kwa hiyo kuwa na vyuo vingi ndo kipimo Cha maendeleo sioM
Me nacho jua wasomi ni wengi saiz ko Sina muda wa kuanza kuhesabu mkoa mzima alafu kuwa na maprofesa wengi sio kipimo Cha maendeleo





Huyu mdatchu sijui ana akili gani
Naona nabishana na popoma hapa.
Anapost mji wa bukoba wa mwaka 2002 huko![]()
![]()
![]()
Anasema professor mgaya ndo principal wa udsm.sijui mmemuokota wap huyu
Wazee wa masifa kila kitu mnapigwa mkajipange miaka elfu moja ndo mlete mada na nyanda za juu kusinUnaona ulivyo popoma
Hebu tazama idadi ya shule kwanza.
Kagera Ina shule 245 na bado ipo top five.
Halafu tazama idadi ya waliofaulu Kati ya mikoa miwili.
Halafu unaleta matokea ya mwaka mmoja.
Kwanza wew hujui chochote hata principal wa udsm hujui endelea kulima viazi mkuu![]()
Nyumba ya mkulima wa viaz njombe Hana na kumbuka unaangalia uchum wa prof hujaangalia jamii nzima ilivo zama kwenye dimbwi zito la umaskinKwa hiyo kuwa na vyuo vingi ndo kipimo Cha maendeleo sio![]()
![]()
Au kuwa na sheli nyingi![]()
![]()
![]()
Elimu ni kitu Cha msingi watu wa njombe na kusini someni vijana.
Au toa siku mtembelee vijiji vya wahaya huko bukoba ndo mjue elimu Inafanya kazi gani
Huwezi linganisha professor na mkulima viazi wa huko njombe kijana
Bora tuache kubishana kabisa.Huna lolote mji 2002 happy Kuna picha za current mzee acha kujitetea Kaz mnayo mzee town limedumaa
Wazee wa masifa kila kitu mnapigwa mkajipange miaka elfu moja ndo mlete mada na nyanda za juu kusin






Unavoongelea mkoa was njombe unawasomi wengi sio Kijiji Kama bukoba mzee utamtambia Nani kila mtu huku anapesa mzee Hayo mambo ya kujisifu yapo hko kwenuBora tuache kubishana kabisa.
Maana hatuendani .
Wew hujui chochote na huna facts.
Facts ulizo nazo ni uongo.
Kwa hiyo professor mgaya akijaga huko njombe anasema ndo mkuu wa UDSM
Wakati ni ka professor ka kawaida Hadi professor tibaijuka anamzidi![]()
Bora hata jamii ya kihaya Ina maprofesa,maengineer,madokta,wanasheria kibao kuliko huko njombe jamii nzima wakulima viazi.Nyu
Nyumba ya mkulima wa viaz njombe Hana na kumbuka unaangalia uchum wa prof hujaangalia jamii nzima ilivo zama kwenye dimbwi zito la umaskin
Unavoongelea mkoa was njombe unawasomi wengi sio Kijiji Kama bukoba mzee utamtambia Nani kila mtu huku anapesa mzee Hayo mambo ya kujisifu yapo hko kweBora tuache kubishana kabisa.
Maana hatuendani .
Wew hujui chochote na huna facts.
Facts ulizo nazo ni uongo.
Kwa hiyo professor mgaya akijaga huko njombe anasema ndo mkuu wa UDSM
Wakati ni ka professor ka kawaida Hadi professor tibaijuka anamzidi![]()
Kama mna pesa hebu zunguka kusini nzima niletee Tajiri anayeweza kufikia hata robo ya huyu Tajiri wa kihaya.Unavoongelea mkoa was njombe unawasomi wengi sio Kijiji Kama bukoba mzee utamtambia Nani kila mtu huku anapesa mzee Hayo mambo ya kujisifu yapo hko kwenu
Ameisaidia nn bukoba inayoandamwa na umasikini ulio topeaBora hata jamii ya kihaya Ina maprofesa,maengineer,madokta,wanasheria kibao kuliko huko njombe jamii nzima wakulima viazi.
Sio tu wahaya ni wasomi Bali ni wafanyabiashara biashara wakubwa.
Hebu huko kusini niletee Tajiri anayeweza kufikia hata robo ya Tajiri huyu mmojaView attachment 1914961
Jamani ehh Leo nabishana na machinga wa makambako.Unavoongelea mkoa was njombe unawasomi wengi sio Kijiji Kama bukoba mzee utamtambia Nani kila mtu huku anapesa mzee Hayo mambo ya kujisifu yapo hko kweView attachment 1914965
Nyu
Nyumba ya mkulima wa viaz njombe Hana na kumbuka unaangalia uchum wa prof hujaangalia jamii nzima ilivo zama kwenye dimbwi zito la umaskin
Hiyo ni miundo mbinu inayotenga plot za shamba kulingana na aina ya matunda acha ushamba na wwJamani ehh Leo nabishana na machinga wa makambako.
Naona aibu kubishana na wew.
Yaan huna hata exposure yaan bure kabisa.
Hiyo picha uliyopost tazama barabara ilivyojaa vumbi na mvua ikinyesha probably ni matope matupu.
Elimu ni kitu Cha msingi sana
Tuanzie nyumbani kwake kwanza huko bukobaAmeisaidia nn bukoba inayoandamwa na umasikini ulio topea
Kwa hiyo kufanya uchuuzi kariakoo ndo kuwa na pesaNimekwambia nyanda za juu kusini watu wana Pesa hawana majisifa Kama ya hko huku ni mwendo wa uwekezaji ukitaka kujua zaidi nenda kariakoo ndo utajua kwanini tunakwambia nyanda za juu kusin wanapesa



