Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 7,149
- 7,966
Kuna mwana mmoja alipangwa huko kikazi mbona alikimbia na kuacha kazi.Ni kweli, tukiingiza Mwanza itakuwa Kama tunaua Mende kwa nyundo, tutawaonea hawa wachimba viazi.
Kuna mwana mmoja alipangwa huko kikazi mbona alikimbia na kuacha kazi.Ni kweli, tukiingiza Mwanza itakuwa Kama tunaua Mende kwa nyundo, tutawaonea hawa wachimba viazi.
We hujawahi kutembelea miji ya Greece na Turkey au Rio de janeiro.Mnaishi kwenye mapango na mawe kama nguchiro,vicheche au nyoka ..Tokeni huko achieni viumbe hai wengine.
Huko kote nyumba zote zinafikika kwa barabara za lami, utajulia wapi we mchimba viazi, toka huko mavumbini ujinusuru na funza.Mnaishi kwenye mapango na mawe kama nguchiro,vicheche au nyoka ..Tokeni huko achieni viumbe hai wengine.
3/4 ya Mwanza ni mabanda ya nguruwe kuanzia national kule,kirumba,mabatini ndio kabisaa na opposite na Mwanza west,kule soko la dagaa,Bugando yaani wapi ambako hakuna uswazi hapo Mwanza zaidi ya CBD? 😁😁😁😁Umeona utafute eneo bovu kuliko lote ndio huje upost hapa, hao wapo magorofani bwege wewe unasema wapo kwenye vibanda
Rio ni uswahili mwingi ila Greece kuna nyumba za zamani but sio mabanda ya nguruwe ambayo hata hayafikikiWe hujawahi kutembelea miji ya Greece na Turkey au Rio de janeiro.
Watu wameacha majumba ya maana huko mbeya, Iringa, sumbawanga wanakimbilia MWANZA kwenye hayo mabanda fungua akili yako kijana ni bora kuishi kwenye nyumba ya udongo Mwanza kuliko kuishi kwenye gorofa huko njombe.Rio ni uswahili mwingi ila Greece kuna nyumba za zamani but sio mabanda ya nguruwe ambayo hata hayafikiki
Acha ujinga dingi yaani uache majumba ya maana uende jangwani kufanya nini huko?Watu wameacha majumba ya maana huko mbeya, Iringa, sumbawanga wanakimbilia MWANZA kwenye hayo mabanda fungua akili yako kijana ni bora kuishi kwenye nyumba ya udongo Mwanza kuliko kuishi kwenye gorofa huko njombe.
Kaja kulima viazi na mpunga akipata ngawila lazima harudi Mwanza huko ni kama sehemu ya mashamba alafu Mwanza ni sehemu ya kuishi baada ya kuvuna pesa kutoka huko mashambani(njombe, mbeya etc)Acha ujinga dingi yaani uache majumba ya maana uende jangwani kufanya nini huko?
Mbona gwambina yuko huku na mashine yake ya mipunga na mastoo? Ana mapabu kibao majimoto pale kwa nini hakubaki huko kwao Mwanza?
Kuishi sehemu ya hovyo kama Mwanza yataka moyo binafsi siwezi ,kuna mashamba na sehemu za kuishi kama Ulaya mashariki sasa huko dry zone hakuishikiKaja kulima viazi na mpunga akipata ngawila lazima harudi Mwanza huko ni kama sehemu ya mashamba alafu Mwanza ni sehemu ya kuishi baada ya kuvuna pesa kutoka huko mashambani(njombe, mbeya etc)
3/4 ya Mwanza ni mabanda ya nguruwe kuanzia national kule,kirumba,mabatini ndio kabisaa na opposite na Mwanza west,kule soko la dagaa,Bugando yaani wapi ambako hakuna uswazi hapo Mwanza zaidi ya CBD?![]()
Dry Zone maji yako ndani ya majumba yetu, nyie mnaonyeshewa mvua maji mnafuata kwenye vidimbwiKuishi sehemu ya hovyo kama Mwanza yataka moyo binafsi siwezi ,kuna mashamba na sehemu za kuishi kama Ulaya mashariki sasa huko dry zone hakuishiki


Aliogopa kuteseka, kuishi kule ni mateso, yaani ni nusu jela.Kuna mwana mmoja alipangwa huko kikazi mbona alikimbia na kuacha kazi.
Majumba wapi nyie mnakunywa vinyesi na mercury tupu? Ziwa lenyewe uvuvi wa madawa na mabaruti,hiyo zone watu Wana kansa na Wana vimba miguu,magonjwa ya ubongo na mifupa in addition kuoza meno kama wameru.Dry Zone maji yako ndani ya majumba yetu, nyie mnaonyeshewa mvua maji mnafuata kwenye vidimbwi![]()
Inategemeana alikopangwa sasa wewe unapangwa sehemu kama Sengerema sijui kwimba, Misungwi utaacha kukimbia? Kama ni mwalimu au nesi alitaka apangwe wapi na hizo Kazi za watoto wa maskini ni za kijijini alitakaje huyo ndugu yako?Aliogopa kuteseka, kuishi kule ni mateso, yaani ni nusu jela.
Sengerema sio kusini wewe mchimba viazi, watumishi hushukuru sana wanapopangiwa sengerema.Inategemeana alikopangwa sasa wewe unapangwa sehemu kama Sengerema sijui kwimba, Misungwi utaacha kukimbia? Kama ni mwalimu au nesi alitaka apangwe wapi na hizo Kazi za watoto wa maskini ni za kijijini alitakaje huyo ndugu yako?
Vinyesi mnakunywa kusini mnaochota maji kwenye vidimbwiMajumba wapi nyie mnakunywa vinyesi na mercury tupu? Ziwa lenyewe uvuvi wa madawa na mabaruti,hiyo zone watu Wana kansa na Wana vimba miguu,magonjwa ya ubongo na mifupa in addition kuoza meno kama wameru.
Siwezi ishi huko hata siku moja
Usiwe pimbi wewe kwani kwimba ni Kusini? Nimetaja maeneo ya hovyo huko Kanda ya Ziwa,Serengeti huko unaona ni sehemu za kuishi hizo? Wilaya zote za Simiyu hamna kituSengerema sio kusini wewe mchimba viazi, watumishi hushukuru sana wanapopangiwa sengerema.
Huku tuna mito wewe kima madimbwi na malambo yako huko dry zone kwenu..tuna mvua za kuzidi ..umewahi sikia lini kuna ukame huku Kusini?Vinyesi mnakunywa kusini mnaochota maji kwenye vidimbwi
We mbwa, usilinganishe kwimba na ujinga wa huko kusini.Usiwe pimbi wewe kwani kwimba ni Kusini? Nimetaja maeneo ya hovyo huko Kanda ya Ziwa,Serengeti huko unaona ni sehemu za kuishi hizo? Wilaya zote za Simiyu hamna kitu
Mvua zikinyesha zinasomba vinyesi vinatengeneza vidimbwi na nyie mbwa mnachota mnakunywaHuku tuna mito wewe kima madimbwi na malambo yako huko dry zone kwenu..tuna mvua za kuzidi ..umewahi sikia lini kuna ukame huku Kusini?


