Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Hako ni ka village town nothing else
Kashura hills bukoba tz
kach.PNG
 
Mbeya ni Jiji kubwa wewe la Uchumi Kanda ya Nyanda za Juu Kusini,fm radios ziko kama zote,twende Kazi

Gmcl fm radio,
Must fm,
Dream fm,
Big star fm ,
Rock fm,
Generation fm,
Baraka fm radio,
Bomba fm Radio,
Mbeya Highlands fm radio(Dar&Mbeya),
Radio Furaha fm,
Access fm,
Adonai fm,
Mbeya City fm,
Ushindi fm.

Hizo ni baadhi tuu ziko nyingi sana huwezi kuzimaliza kuanzia Mkuu. Currently we are working for TV stations.

View attachment 1887007
Weka redio zinazosikika nchi nzima, hizo local hata mbinga na karagwe zipo. Unazungumzia TV?! Kanda ya ziwa TV ipo kwa air toka mwaka 2000 miaka 20 nyuma, lakini leo Miaka 20 baadae huko ndo mnafanyia kazi suala la TV station, TV station na vijijini wapi na wapi!
 
Yaani Njombe ya humu Jamii forum ni kama Dubai tu, kasoro bahari.
wakati kule panajulikana ni pabaya hata kwa wale ambao hawajawahi kufika, Yaani kuna hizi sehemu zina sifa ya ubaya nchi hii hata kwa wale ambao hawajawahi kufika; mikoa ya kusini na Kigoma watanzania wanajua huko ni kama jehanamu.
 
wakati kule panajulikana ni pabaya hata kwa wale ambao hawajawahi kufika, Yaani kuna hizi sehemu zina sifa ya ubaya nchi hii hata kwa wale ambao hawajawahi kufika; mikoa ya kusini na Kigoma watanzania wanajua huko ni kama jehanamu.
Pole Sana mkuu
 
Made in Mwanza from the scratch, investments kama hizi Mwanza ni za billon dollars kitu ambacho hata Chugga hawana...
View attachment 1887009

View attachment 1887011
View attachment 1887010

View attachment 1887012View attachment 1887013View attachment 1887014View attachment 1887015View attachment 1887016View attachment 1887017View attachment 1887018View attachment 1887020View attachment 1887021View attachment 1887022View attachment 1887023View attachment 1887027

Bado kuna Mwali Mpya Mv, Mwanza II Hapa kazi tu, billion 82

View attachment 1887030

Wakizindua Mv. Mwanza inakuja tena nyingine ferry wagon tonne 3000, the largest in the great lakes kabla hamja poa
Mapanki upo hapo?👇👇

Screenshot_20210813-225514.png


Screenshot_20210814-095545.png
 
Back
Top Bottom