Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,504
- 8,253
Resistance za kipumbavu! Wasukuma na wanakanda ya ziwa hawawezi kufanya undezi wa namna hiyo, kanda ya ziwa ni akili kubwaz huwezi kuta resistance za kibwege namna za risasi kugeuka maji huku mkiendelea kufaNataka nione sukuma resistance sio kuongea Sana kama yatima hapa.Nyerere mwenyewe tulimpa maarifa wenyewe na tukamlea.
Huko machimboni hakuna shule au taasisi hata moja iliyotoa viongozi zaidi ya viazi kama wewe hapo.


We kichwa nazi, kanda ya ziwa imetoa marais wawili wa nchi hii, na baba wa taifa hili ni mkanda ya ziwa, huko nyanda za juu kusini mmetoa marais wangapi vile?!





