Kahama VS Njombe/Mafinga


Lakini yapasa umfahamishe tu kuwa, ingawa kusini zipo mbili yaani kusini na nyanda za juu kusini, lakini zina vitu inavyounganishwa navyo ambacho ni Mtwara Development Corridor ambapo Bandar ya Mtwara iko tayari, bado SGR kutoka Mtwara kwenda kwenye migodi ya makaa ya mawe Liganga na Mchuchuma(kanda ya Nyanda za juu kusini), SGR hiyo pesa za upembuzi zimeshatolewa na SADC. Nilikua nasherehesha tu kuonesha Kanda hiyo ina utajiri mkuba.
 

Jeuri ya kuita Mbeya porini huna. Nimezunguka Tanzania, mimi siyo mzaliwa au mtu mwenye asili ya Nyanda za juu ila huwa ni mkweli. Ukiondoa Jiji la Mwanza, maeneo mengi ya Kanda ya ziwa hayawez kushindanishwa na Mikoa ya nyanda za juu kwa resource za kilimo na fertile land, though Kagera nako kuna rutuba. Ama kuhusu vijijini, Bukoba iko juu kwani vijijini kuna nyumba za maana sawa na kule uchagani.
 
Ni hivi kwetu Kusini zote ziko relatively untapped na ukitaka kujua ukweli Halmashauri za Mikoa ya Kusini zinafanya vizuri kwenye mapato kuliko huko Kaskazini ambako bila dhahabu hakuna kitu.

Ukikuta tuu kuna mapato ujue ni mgodi kuanzia Tarime hadi Geita, Halmashauri ambazo hakuna mgodi mkubwa wanagawana umaskini tuu kitu ambacho hakipo Kusini,only miundombinu tuu ndio ilikuwa changamoto.Lakini saizi inavyofunguliwa kuanzia barabara,migodi mikubwa ya Madini adimu na bandari za kwenye maziwa na bahari plus planned sgr kutakuwa hakukamatiki.

Miaka michache ijayo watahama huko jangwani kuja kuhemea Kusini kama walivyofanya kwenye ng'ombe.
 
Sumbawanga ndio size yenu Bkb,nimepost lami kibao nikiomba unijibu huna,kuanzia dual carriage ziko 2,lami za mjini kwenu hakuna sasa kwenye lami asilimia 80 au 100 huko BK ni wapi? Wapi Tzn hii kuna lami asilimia hata 50%?

Kijiji kizima cha Bukoba ukinionyesha barabara kali kama hii hapa Swax nafunga Uzi👇👇
Yaani mimi nifunge safari kwenda Vijijini Ili nikuletee wewe picha? Sina huo ujinga,nimekwambia nyumba kila sehemu zipo ndio matumizi ya pesa tunazopata.

Kusini kusahaulika 😆😆😆😆.Ukipata dual carriage roads kama hizi huko Vijijini kwenu Kagera yote nitag👇👇









 
Nyumba unazoita za maana zimejengwa na wasomi walioko mjini hawaishi huko wala hawafanyi uwekezaji kubadili maisha ya waliowaa huko pengine ni kwa sababu hakuna tija.

Sasa hata ujenge bangalow la kufikia huko katerere kwenu la mamilioni na mimi niwe na pagala hata hapo Katoro au Rujewa maeneo ya Mjini,pagale langu ni more valuable kuliko hilo bangalow lako la kupigia picha.

Nyumba zetu za kufikia Vijijini kwetu zipo ila sie sio watu wa sifa za kijinga na kupoteza rasilimali kwa kujenga majumba ya gharama Vijijini.Kwanza Ili iwe nini labda?
 
Kima yeyote anaweza sema hayo ya ooh sijui xy ni daktari au pz ni mmiliki mwenza wa hospital ya Mt.Consolata Ili kujifariji.

Taja wewe hospital yoyote unayoijua huko Kanda ya Ziwa mnakoshindia Michembe ambayo inaweza kukaribia ya Ikonda.

Sio tuu hospital onyesha japo mkeka mkali wa asphalt road uliopo Kanda ya Ziwa popote kama mkeka ulioukuta kusini hadi unafika Ikonda.

Kwa hiyo unatuthibitishia kwamba baba yako aliona dada zake wa ukanda huo ni maboga ndio akaja kuoa vichwa na wapambanaji kutoka Kusini? 😆😆😆😆
 
Hao Serikali wenyewe ni masikini, na juzi wamepokea chanjo za msaada kutoka kwa matajiri. Masikini anaweza kusema jambo la maana!
Waliotufikisha huko ni nyie pimbi wa Kaskazini,mnazaa hovyo hakuna mnachozalisha na mnaipa serikali mzigo wa kuwahudumia kwa sababu kula na tiba ni haki yenu.

Tukigawana fito mtaishije nyie washamba?
 
Hapo haijajaanza kuvunwa Iron from Liganga Mchuchuma na Hélium toka lake Rukwa
Kwa mujibu wa Msigwa wanamalizana na mchina mda sio mrefu tayari kwa kuanza ujenzi maana kumbe migodi mingi ambayo ilikuwa ianze ilikwama kutokana na mabadiliko ya sera ya Madini Kuhusu umiliki mpya wa hisa za serikali na mambo ya local content kwa hiyo michakato ya mazungumzo ilianza upya.

Mind you migodi ya huku sio ya mil.20 au sijui bil.2 ni mining industry za matilioni ndio maana hutosikia habari za eti wachimbaji wadogo na migogoro kama ya huko Kanda ya Ziwa.
 
Kijana yaan hiyo sumbawanga yako unalinganisha na vijiji vya wahaya huko bukoba


Mimi mji wa bukoba sijaugusa.


Mimi niko vijijini tu.Tanzania hakuna mkoa wenye makazi Bora vijijini Kama Kagera labda kidogo Moshi wanajitahidi.
 
Eti wanajenga nyumba halafu hawaishi huko.


Hiv unajua kagera ni mkoa wa tatu nchi kwa population na population density.


Kagera population ni 3.2 million Mara ya 10 ya njombe yenye watu laki 9
Nyuma ya dar na mwanza tu

Kagera Ina population density ya 124 people per square nyuma ya dar, mwanza na Kilimanjaro tu.


Kijana kajenge kwenu? Hio ndo nguvu ya pesa Mambo ya kumiliki nyumba kariakoo tu huku kwenu Kuna matope huo ni upumbavu wa wakinga




Ndo maana route ya ndege ya bukoba haikosi wateja watu wanarudi vijijini kwao Mara kwa Mara.


 
Hoja hii sikubaliani na wewe mkuu.Kwanza niwakumbushe Njombe ya Sasa sio ile ya Zamani.vjijini Kuna nyumba za Maana Sana ambapo zimejengwa na wakazi wa kudumu na watafutaji zikichagizwa zaidi na wafanyabiashara,wasomi wetu wamelala lakini wafanyabiashara wako vema Sana na wanawekeza Njombe kisawasawa.Kwa Sasa ukiiondoa Kilimanjaro Dar huenda mkoa unafuata kwa Makazi na nyumba Bora ni Njombe/Morogoro japo Moro kwa asilimia itazidiwa na Njombe kwa kuwa ina vijiji vingi viko duni Sana na bado havina access ya huduma za jamii.Ifikapo 2035 Njombe itakua imeipiku mikoa yote Tanzania kwa makazi bora labda yatokee majanga.Kumbuka kwa Upande wa vyoo bado tunaongoza.Njombe inapepea mkuu.Nimetoka Ludewa last week huwezi amini Kuna makazi bora Sana huko.
 
Yaaa Kanda ya ziwa mwanza ndo ikoo vizuri kila sector at least bukoba vijijini ikoo poa nayooo ilaa sehemu nyingi bado Kuna changamoto nyingi tuuu japo kwa sahivi kila sehemu au kila mjii unajitaidi kimaendeleoo na kila mjii unafulsa nyingi tuu ni wemwenyewe kuwa mbunifu,
 
Waliotufikisha huko ni nyie pimbi wa Kaskazini,mnazaa hovyo hakuna mnachozalisha na mnaipa serikali mzigo wa kuwahudumia kwa sababu kula na tiba ni haki yenu.

Tukigawana fito mtaishije nyie washamba?
Mgawane fito na nani nyie mapimbi?! Nchi hi Ni yenu? Nyie ndo mliikomboa kutoka kwa mkoloni?! Kipindi tunakomboa nchi nyie si mlikuwa busy kutoleana funza kwenye hizo kwato zenu! Tena mshukuru sana tunawabebabeba tu ingawa hamjawahi kuchangia msaada wowote katika nchi, ebu waulize mtwara walipo jaribu kuzuia gesi kilichowatokea!
Au walipojaribu kuleta fyoko kuhusu korosho
, Tutapiga hadi shangazi zenu.
 

We pimbi, Kuna mkeka gani kwenda huko polini ikonda, kwa huko ikonda ndo mnaona ni bonge la hospitali lakini kwa huku hako ni kakituo ka Afya tu.
 
Hiyo Mwanza unayoizungumzia ni jiji la Mwanza lakini sio Kama Dar Mwanza ni mkoa mkubwa kuna wilaya nyingine Kama sengerema,kwimba,Misungwi huko maisha ya shida.Ukitaka nilinganishe mbeya na Mwanza kwa maendeleo ya mkoa nje na majiji mbeya inaiacha mwanza.Hata kwa per capital income Kuna Gap kubwa sana.
 
Hivi DAR na wenyewe mnauonaga ni mji bado????
 
Unasema baada ya dar na Kilimanjaro vijijini kunafata njombe????


Kijana Mimi naposema mkatembelee vijijini huko bukoba mkaone elimu mijengo na majengo muwe mnaelewa

Hiyo Kilimanjaro ukichunguza unaweza inazidiwa na kagera kwa makazi Bora vijijini maana ni sehemu ya wachaga yenye nyumba Bora lakin kwa kagera sio wahaya au wanyambo wa karagwe Wana nyumba nzr

Baadhi ya vijiji huko bukoba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…