Kahama VS Njombe/Mafinga

Achana nao hao..ambao hawajawahi fika bkb.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hapo unachoongea wewe ni hivi," kwetu kuna ziwa kwenu halipo" sasa wewe una akili? Unaweza badili nature? Kwamba Songoro marine aweke kampuni huku kwetu ambako usafiri wa maziwani ni kama hautumiki Ili apate nini? By the way Songoro mwenyewe ni damu ya Kusini.

Sisi Kusini tunashindana na Kanda ya Pwani
 
Nyumba kali tunaachaje kuwa nazo ikiwa tunapata pesa? Sema hivi hiyo Kazi ya kuingia mitaani kupiga picha ni hobby za watu wenye blogs za picha.

Ila baadhi yake ni kama hizi ,Swax moja πŸ‘‡πŸ‘‡

























 
Kusini Kuna kampuni ya kuunda meli? Kusini Kuna tv na radio station kama startv na RFA za kanda ya ziwa?
 
Ila hiyo hifadhi inanufaisha zaidi Arusha kuliko Simiyu au Mara,sasa hapo mnajivunia kwa lipi?
Serengeti ya kanda ya ziwa ndo inaongoza Tanzania na ndo hifadhi bora duniani, kwa kifupi hifadhi bora duniani iko kanda za ziwa.
 
Serengeti ya kanda ya ziwa ndo inaongoza Tanzania na ndo hifadhi bora duniani, kwa kifupi hifadhi bora duniani iko kanda za ziwa.
Inaongoza kwa lipi? Pesa za hifadhi anafaidi nani? Hakuna airport,hakuna hotel mumeishia kuongoza mdomoni afu pesa wanakula Arusha
 
Radio na tv za ndani ya mikoa ziko nyingi sana
Hata pale karagwe Kuna radio inaitwa fadeco fm, tuonyeshe tv iliyoko kusini yenye coverage nchi nzima, na radio pia ya namna hiyo.
Kanda ya ziwa kuna startv, RFA, na Kiss FM tangu mwaka 1996. Haya tuonyeshe za kusini kama zipo.
 
Inaongoza kwa lipi? Pesa za hifadhi anafaidi nani? Hakuna airport,hakuna hotel mumeishia kuongoza mdomoni afu pesa wanakula Arusha
Pesa zinaenda hazina, na katika mikoa inayofaidi pesa za hazina ni pamoja na kanda ya ziwa, serikali haijawahi kututenga kama ilivyoitenga kusini, na ndo maana Rais juzijuzi tu kazindua ujenzi wa SGR kanda ya ziwa kwanza kabla ya kusini make kipaumbele cha nchi hii ni pwani na kanda ya ziwa kwanza afu wengine ndo wanafuata, na wa mwisho kabisa ni kusini.
 
Hata pale karagwe Kuna radio inaitwa fadeco fm, tuonyeshe tv iliyoko kusini yenye coverage nchi nzima, na radio pia ya namna hiyo.
Kanda ya ziwa kuna startv, RFA, na Kiss FM tangu mwaka 1996. Haya tuonyeshe za kusini kama zipo.
Umesahau Barmedas TV Mwanza (Start imes)

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…