Mapovu mengi makambako lazima iwaonyeshe bomoen milima au mkamwombe Queen Elizabeth awaachie ile tambaraleKasi ya ujenzi ni pesa na kila sehemu kuna kasi,kijiji cha Makambako ni kama kinabalehe sasa huwezi linganisha na matured town kama Njombe mkuu.
Kazaneni labda mtaweza japo kuifikia Tunduma ila Njombe bado saaaana

