Dar na Arusha hakunaga matamasha unless Fiesta ambayo huwa ni karibu kila mkoaNdiooo ndioooo washamba tu kama ilivyo Dsm/ Arusha na Mwz![]()
Nice pic, Kahama na Makambako wakipost picha kali kama hii uni tag
Ahahahaaa, hata Fiesta huijui, Huwezi kutaja miji Fiesta inafanya vizuri Tanzania ukaacha mji wa KahamaDar na Arusha hakunaga matamasha unless Fiesta ambayo huwa ni karibu kila mkoa
Nipo Mlimba hapa, nimeambiwa kuna treni ya Kipisi mpaka Makambako. Siku moja nitafika nile bata hapo mjini MkuuAgost mwakan tutapata majibu nani ni Nan maneno mengi mno kama ni ujenzi gorofa kwote wanajenga ndipo tutajua wap ni kijiji
Haya mambo ya vitongoji vijiji vikubwa mara cjui nini ukweli utabaki pale pale kutangulia sio kufika ile njombe toka 2007 ipate kuwa mji kamili leo hii miji iloyoanza 2012 imesha ipita tuliwambia jiografia ya mji nayo inasaidia sio milimatu kila Kona ona Sasa mmeiga kuweka round about ruhuji imeshindikana hadi mmepeleka ramadhani na safarii hii makambako lazima iwaonyeshe Sasa project ya garden katikat ya mji imeiva lazima watu wafurah na mji waoSasa idadi ya bajaj 2000 ni sifa?
Mji hauna town trip za daladala za hapo utajivunia kuwa ni mji mkubwa au ni kitongoji kilichochangamka?
Yan jiografia ya makambako na kasi ya ushindani ya ujenzi makambako kwa Sasa na wapongeza wafanyabiashara walio amua kuhamisha watu barabarani hususa ni songea road na kuanza kuwekeza shell na gorofa za biashara hakika hili Jambo linawatesa watu wa njombe wanavopita na kuona madhari inabadilika kila siku na bado mtaendelea kushuhudia sana maana hata ukipanda gari saiz imekuwa story hyo kila unapoanza centre ya mji wa mk kiukweli makambako wanacheza vizuri na jiografia ya mji suala la mapato ni muda tu yatabadili zaida maana uwekezaji ni mkubwa mno pia naona na mipango miji wameamua kudrafti mtaa wa mfano mkoa wa njombe ambao upo makambako kwa kuweka barabara zake lami kitu ambacho njombe hakipo walizoea kuona lami maeneo ya biashara tu pia wame design garden katikati ya mji kitu ambacho njombe hakipo muda unaongea tutashuhudia vingi kelele zita kataKila siku nawaambia Makambako ni kijiji cha wachuuzi tuu hamna kitu hapo.Mabajaji yanavyoleta uchafu na usumbufu mjini ndio mtu eti anajisifia.
Makambako fikeni level ya Tunduma kwanza ndio uje kushindana na Njombe TC
mji gani umeipita njombe? habari ya kuweka roundabout Ruhuji ni mambo mkanadarasiHaya mambo ya vitongoji vijiji vikubwa mara cjui nini ukweli utabaki pale pale kutangulia sio kufika ile njombe toka 2007 ipate kuwa mji kamili leo hii miji iloyoanza 2012 imesha ipita tuliwambia jiografia ya mji nayo inasaidia sio milimatu kila Kona ona Sasa mmeiga kuweka round about ruhuji imeshindikana hadi mmepeleka ramadhani na safarii hii makambako lazima iwaonyeshe Sasa project ya garden katikat ya mji imeiva lazima watu wafurah na mji.
we nawe mshamba kabisa,Lengo ilikua ni kuona kama kun uwezekano lakini uwepo wa mto imekua.Mkandarasi si ndo alitoa ushauri kuwa hapo jiografia ni mbovu ila viongozi wenu wali plan hicho kitu lengo kwa sababu makambako ipo pale junction wasi zingatie jiografia ya mji husika na eneo
japo wewe nakushangaa sana maendeleo ya Njombe yanakufaidisha bado hutaki Njombe mjini iendelee wakati kule ndio kuna abundant weather for human life,Mji ambao kwa nature yake hauhifadhi uchafu ndio maana is clean all the time.We kubali tu kua kuna wakati fulani hususani miaka ya 2006 kurudi nyuma kweli makambako ilichangamka kuliko Njombe lakini kwa sasa hapana aisee.Hpo ni ushamba wa viongoz wako wanataka kuforce mambo yasiyo wezekana jiografia inabana baba
Kwa baridi la kupaua njombe ndo useme weather ipo good iringa wasemaje ss bora hata makambako wameboresha miundo mbinu saiz kupo good no vumbi upepo umepungu kutokana namajengo kuongezeka furu raha na wagen wengi saiz hawakutaki njombe baridi ni kali mno na ule udongo mwekundu ukichafuka ndo balaa Makambako haijawiai kupoa na haitakuja itokee kwa centre ilipo njombe mnajifariji na chinga walio chafua barabarani makambako wenzenu chinga wapo mitaani na kwenye masokojapo wewe nakushangaa sana maendeleo ya Njombe yanakufaidisha bado hutaki Njombe mjini iendelee wakati kule ndio kuna abundant weather for human life,Mji ambao kwa nature yake hauhifadhi uchafu ndio maana is clean all the time.We kubali tu kua kuna wakati fulani hususani miaka ya 2006 kurudi nyuma kweli makambako ilichangamka kuliko Njombe lakini kwa sasa hapana aisee.
unaishi Mkoa wa Mkoa wa Njombe?Hali ya hewa nzuri haina uhusiano wa joto kali au baridi bali ni utulivu wa anga,hewa safi,usafi wa mji,na jiografia,Makambako haina utulivu kwa kua ilijengwa kwenye kipito cha upepo mkali japo sio kwamba hapafai kuishi hapa lakini ukilinganisha na Njombe Njombe ni zaidi ndio maana kuna vutia hata kua na hoteli za kitalii kuliko makambako.Makambako panafaa kwa kilimo cha mahindi kwa kuwa na tambalale nzuri hata ukiingiza Trekta linalima sehemu kubwa.Kwa baridi la kupaua njombe ndo useme weather ipo good iringa wasemaje ss bora hata makambako wameboresha miundo mbinu saiz kupo good no vumbi upepo umepungu kutokana namajengo kuongezeka furu raha na wagen wengi saiz hawakutaki njombe baridi ni kali mno na ule udongo mwekundu ukichafuka ndo balaa Makambako haijawiai kupoa na haitakuja itokee kwa centre ilipo njombe mnajifariji na chinga walio chafua barabarani makambako wenzenu chinga wapo mitaani na kwenye masoko
Hayo n maneno tu kuna utulivu gan njombe na barid ilivo kali kipindi cha mvua napo ni shida tupu hoteli za kitalii zinajengwa popote mzee na makambako Ina mazinira mazuri ya kujenga hoteli za kitalii zenye viwanja hadi vya michezo subiri waamshe soko la kimataifa utaiona hiyo project endelea kujifariji na vihotel vidogovidogo hivyounaishi Mkoa wa Mkoa wa Njombe?Hali ya hewa nzuri haina uhusiano wa joto kali au baridi bali ni utulivu wa anga,hewa safi,usafi wa mji,na jiografia,Makambako haina utulivu kwa kua ilijengwa kwenye kipito cha upepo mkali japo sio kwamba hapafai kuishi hapa lakini ukilinganisha na Njombe Njombe ni zaidi ndio maana kuna vutia hata kua na hoteli za kitalii kuliko makambako.Makambako panafaa kwa kilimo cha mahindi kwa kuwa na tambalale nzuri hata ukiingiza Trekta linalima sehemu kubwa.
Sasa na ww hii inatofauti gani na kibadamo hotel na subir amalizie na mall pale stend utaelewaView attachment 1796985
Njombe town hiyo haya linganisha na Makambako.
Sasa na ww hii inatofauti gani na kibadamo hotel na subir amalizie na mall pale stend utaelewaView attachment 1796985
Njombe town hiyo haya linganisha na Makambako.
usichokijua ni kwamba mtu anachuma makambako anajenga na kuwekeza Njombe mjini.Njombe mjini kwa sasa hotel na biashara zinalipa,population inaongezeka kwa kasi zaidi,Kilimo cha parachichi na Vanila kinawaleta wageni wengi kila siku hivyo mzunguko wa fedha unakua mkubwa,Waafanyabiashara wengi wanaotoka mkoa wa Njombe sasa wameanza kuwekeza Njombe Mjini.Hayo n maneno tu kuna utulivu gan njombe na barid ilivo kali kipindi cha mvua napo ni shida tupu hoteli za kitalii zinajengwa popote mzee na makambako Ina mazinira mazuri ya kujenga hoteli za kitalii zenye viwanja hadi vya michezo subiri waamshe soko la kimataifa utaiona hiyo project endelea kujifariji na vihotel vidogovidogo hivyo