Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Yani agreement umeweka picha zaidi ya nne usije ukawa mshabik hata njombe huijui cku ya kwenda ndo utajua tunacho maanisha
 
🤪🤪🤪🤪 Picha namba mbili na namba tano ni Ile ile , picha namba kumi ni mchoro 🤪, picha namba sita inachekesha Sana hvyo vijumba japo kuna kigorofa , alaf picha ni zile zile tangu mwanzo wa thread
Yan huyo Ni mshabik tu kwaatarifa yko njombe mji mzima una gorofa za kuanzia tatu 11 tu maana zote nazifaham vizur sio huyo mshabiki haha ndo maana nilikwambia kahama ipo mbali ndo maana wameipandisha hadhi na Hawa lazima makambako tuwatangulie t
 
Yan huyo Ni mshabik tu kwaatarifa yko njombe mji mzima una gorofa za kuanzia tatu 11 tu maana zote nazifaham vizur sio huyo mshabiki haha ndo maana nilikwambia kahama ipo mbali ndo maana wameipandisha hadhi na Hawa lazima makambako tuwatangulie t
Sa hvi ameenda kunywa mbege akirudi amejaa sumu , amefura full kutukana 😂😂
 
Yani agreement umeamua urudie Mara nne hahaha hapo si hotel moja mjomba
Mp
Mpake rangi bati hizo
FB_IMG_16130641871778510.jpg
 
CHAZA
Achana na kuwasha gari nenda Google maps.. kutoka Bunju sokoni mpaka Mkuranga dc offices ni km 79

Na kutoka Vikindu mpaka Mkuranga ni km 34.. so kutoka Bunju mpaka Mbagala ni km 45 tuu..

Mti wa catchment ya km 80 yaani unaradius ya km 40 ni mji mkubwa sana hapa Afrika mashariki ukitoa DSM haupo mwingine.

Na usilete sijui wamedeclare mipaka ya mji .. hiyo declaration huwa sio base na utaalamu it's more political..ndio maana unakuta kuna vijiji mjini..

Mfano case ya Njox 🙂
 
Kahama Mmunicipal to Mbogwe District 55 Km Kahama to Isaka ICD 44KM via Isaka Rusumo road
1613237085384.png
 
Yan huyo Ni mshabik tu kwaatarifa yko njombe mji mzima una gorofa za kuanzia tatu 11 tu maana zote nazifaham vizur sio huyo mshabiki haha ndo maana nilikwambia kahama ipo mbali ndo maana wameipandisha hadhi na Hawa lazima makambako tuwatangulie t
Makambako na Kahama soma hiyoo
JamiiForums-73874710.jpg
JamiiForums-1301224861.jpg
JamiiForums-1820582629.jpg
JamiiForums-419762948.jpg
JamiiForums945299046.jpg
JamiiForums-227588315.jpg
JamiiForums1287982065.jpg
JamiiForums-1716180383.jpg
Njombe-sec.jpg
 

Attachments

  • JamiiForums-1820582629.jpg
    JamiiForums-1820582629.jpg
    16.6 KB · Views: 5
Jiji linaanzia mlimanyoka dampo Hadi iyunga jiran na daraja la tren mbalizi inyara Ni mbeya vijijini na kutoka uyole Hadi darajani Ni km 24



Kwa taarifa yako makambako haitegemei hko hapa Ni Ni centre baba watu wanaotoka sehemu mbalimbali sio hko mashambaniView attachment 1701607
Soma hiyoo
 
Jiji linaanzia mlimanyoka dampo Hadi iyunga jiran na daraja la tren mbalizi inyara Ni mbeya vijijini na kutoka uyole Hadi darajani Ni km 24



Kwa taarifa yako makambako haitegemei hko hapa Ni Ni centre baba watu wanaotoka sehemu mbalimbali sio hko mashambani
Ule mji Ni kituko
Nje ya mji 80 Km, Ahahahaaaaa Njombe ya kipekee sana
 
Back
Top Bottom