Hajui ndoo maana humu ndan Kuna watu inatakiwa wapewe elimu Kwanza maana hata tunavosema halimashauri ya mji ,manispaa na jiji hawajui wanajua gorofa ndo sifaJamaa hajielewi huyo😂 analeta data za hovyo , hajui hata radius ya mji
Hajui ndoo maana humu ndan Kuna watu inatakiwa wapewe elimu Kwanza maana hata tunavosema halimashauri ya mji ,manispaa na jiji hawajui wanajua gorofa ndo sifaJamaa hajielewi huyo😂 analeta data za hovyo , hajui hata radius ya mji
Hajui ndoo maana humu ndan Kuna watu inatakiwa wapewe elimu Kwanza maana hata tunavosema halimashauri ya mji ,manispaa na jiji hawajui wanajua gorofa ndo sifa
Hata akili huna,slums ni makazi holela sasa kwa akili yako kuna makazi holela kwenye hiyo video?View attachment 1701207
Mkuu mbna umepost mandhari ya slums tupu hatujakataa au Kwa vile nyani haoni kundulehyo mandhari ya Kahama Safi Sana mkuu, we Baki na stendi yako ya vibasi viwili vitatu na coaster , wakat Kahama ndo wilaya pekee nje ya makao makuu ya mkoa yenye route za mabasi ya mikoani almost kila mkoa ,
Njoo taratibu naona umeshiba matembele umekuja umefura ...Hata akili huna,slums ni makazi holela sasa kwa akili yako kuna makazi holela kwenye hiyo video?
Slums ziko huko kwenu mnakoishi bila mpangilio
Achana nae huyo kachanganyikiwa baada ya kupewa nyundo na NjombeMbeya haitafikia kwa vipi. Kutoka Uyole hadi Mbalizi ni kilometa 30, hapo sijasema Igawilo-Mbalizi. Acheni kujipa ujiko usiostahili
Wapuuzi hao ,Hadi sasa wameshindwa ku justify Manispaa uchwara dhidi ya Nchi ya ahadi NjombeMtu analeta Prototype hizo ziko nyingi kila mji na iko miradi mingi ya hivyo haijatekelezwa kwa couple of years now.
Ko kutoka Inyala Hadi Airport Songwe ni km ngapi? ,Njombe imekutoa makamasi Mbeya hutoiweza size yake ni MwanzaMbona unakuwa mkali.. kwa hiyo unataka kusema catchment ya jiji la mbeya ni kilomita 80!? Maana Hata Dar Haifiki hiyo!
Ko kwa akili yako finyu ,mipango ni kujenga stand afu ndio mwisho wa maendeleo auIpo miji mingi miji ipi hyo? Jombe washajenga stend yao , Kahama inajengwa na eneo lishatengwa , Jiwe kasema ni manispaa now hatutegemei delay Kwa huo mradi, na eneo tayar lishatengwa cse Kahama recently haina stend kabisa , istoshe Kahama ina route nyingi za mabasi ya Mikoani kuliko jombe , ....
Mradi wa hospital unaendelea na picha za mchoro tumeweka na construction site jengo la OPD tumeweka ...
We kil-aza kwel kama hujaelewa concept unaulizaKo kwa akili yako finyu ,mipango ni kujenga stand afu ndio mwisho wa maendeleo au
Weka vitu on progress au already completed and operational sio kuleta stori za kufikirikaKwa hyo ulitaka stendi itokee Tu angani![]()
Hiyo ni shule, Kahama nzima hakuna ukiipata nitagVijumba kamoja kamoja kama hv ndo mnajivunia![]()
Zinajengwa kwa awamu bossView attachment 1701364
hapa ni stendi ya Njombe kabla ya kukamilika kwake lakini sasa ni almost 80%imekamilka na inatumika.siyo kwamba ni mbaya ila kuna structure moja ya Gorofa nne haijajengwa bado kama origional plan inavyoonesha
Porojo tupu. Kwani mji haungalii view nzuri? Mji kama kila mahali is not organised, hakuna hata sehemu ya mfano, huo unakua ni mji wa wachuuzi ama wa WANA APPOLO ambao huwa ni wengi,lakini wanaenda kutumia mjini, mfano (Mererani na Arusha)!Mkuu tunaangalia view au tunaangalia huduma ? Mbna kama umeishiwa chief , kila mara mnapost picha Ile ile na mafilter kibao....kesho mtatuletea mmepiga aerial eneo lile lile
Angalia Kwanza huduma za kibenki mjini Kahama , na nakukumbusha Tu Kahama ndo mji wenye matawi mengi zaidi ya benki kuliko Njombe na Mafinga Combined together
View attachment 1701393
Watoe wapi kwenye hivyo vijiji vya wachuuzi.View attachment 1701381
Mji mwema Njombe.Wote wa kahama na mzee wa makambako mkiniletea the best view kuizidi hii nahitimisha kuchangia kwenye hii battle
Nakupa Challenge, kama upo DSM, washa gari Bunju(DSM/Bagamoyo Boarder) halafu pita njia yoyote ile uijuayo hadi Mvuti, uone kama hutapata 80+Umeelewa nachokwambia ..au umeenda full kubishana mode.
Wewe umeleta Data ... Sijui utopolo gani uko km 40 kutoka mjini NJOMBE..
Ndio nakwambia kwa sense ya mji.. huwezi kwenda pemba mnazi ukasema uko mjini..
Kilometa 80 catchment ni Sehemu kubwa sana... Nje ya Dsm hakuna ..na hata DSM yenyewe hakuna.. kutoka Bunju mpaka kongowe haifiki km 80 fikiria tena. Na huo ni mwanzo wa jiji mpaka mwisho wa jiji.
We mburula useme mi sijui radius ya mji, ila wewe ndo unajua, are you serious?Jamaa hajielewi huyoanaleta data za hovyo , hajui hata radius ya mji
Njombe kuna watu wenye pesa sio sawa na hivyo vijiji vyenu ,,itajengwa kama zilivyojengwa zingine na zinatumika.Ujenge we structure ya ghorofa nne ili uifanyie nn..!? Kupiga picha!? NHC mtwara huko tena mjini kuliko NJOMBE wanafugia kuku majengo yao.. poor planning

Usiwe kiazi hesabu hapo chini idadi ya ghorofa afu uje kunionyesha za KahamaJamaa wamekalili ghorofa Lao moja , Lina picha za angle tofaut tofaut na filter tofaut tofaut ,.... Mpak nikawaambia jaman tunaangalia huduma au view tofaut ya jengo la ghorofa![]()
🤪🤪🤪🤪 Picha namba mbili na namba tano ni Ile ile , picha namba kumi ni mchoro 🤪, picha namba sita inachekesha Sana hvyo vijumba japo kuna kigorofa , alaf picha ni zile zile tangu mwanzo wa threadUsiwe kiazi hesabu hapo chini idadi ya ghorofa afu uje kunionyesha za Kahama
Hizi ni baadhi tu Kati ya nyingi zilizoko Njombe,pitia uzi utaonaView attachment 1701525View attachment 1701526View attachment 1701527View attachment 1701528View attachment 1701529View attachment 1701530View attachment 1701531View attachment 1701532View attachment 1701533View attachment 1701534View attachment 1701535View attachment 1701536View attachment 1701537View attachment 1701538
Jiji linaanzia mlimanyoka dampo Hadi iyunga jiran na daraja la tren mbalizi inyara Ni mbeya vijijini na kutoka uyole Hadi darajani Ni km 24Ko kutoka Inyala Hadi Airport Songwe ni km ngapi? ,Njombe imekutoa makamasi Mbeya hutoiweza size yake ni Mwanza
Watoe wapi kwenye hivyo vijiji vya wachuuzi.
Yule wa Makambako nimekwambia barabara ya Ifakara ikitoboa tu Njombe kale kakijiji kao katapauka hatari maana wachuuzi wenzio watahamia Njombe
Kale kamji kao kanategemea zaidi wateja kutoka mlimba,Ifakara,na miji mingine ya Kilombero
Kwa taarifa yako makambako haitegemei hko hapa Ni Ni centre baba watu wanaotoka sehemu mbalimbali sio hko mashambaniWatoe wapi kwenye hivyo vijiji vya wachuuzi.
Yule wa Makambako nimekwambia barabara ya Ifakara ikitoboa tu Njombe kale kakijiji kao katapauka hatari maana wachuuzi wenzio watahamia Njombe
Kale kamji kao kanategemea zaidi wateja kutoka mlimba,Ifakara,na miji mingine ya Kilombero