Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Kipind cha kikwete michoro ilikuwa inabadrika hovyo hovyo ndo mana mlijenga stendi la hovyoo, la kupaki coaster , huo mchoro wa kahama ni wa 2018 na umefanyiwa marekebisho baada ya amri ya Jiwe kuwa Kahama iwe manispaa....
Sababu Kahama ipo busy na route nyingi za mabasi inatarajiwa mchoro kuongezewa ukubwa na majengo ya ghorofa ...
Hakuna aliyesema ni stendi ya ovyo bali baadhi ya structure zimebadilishwa na 80%ya stendi imekamilishwa kipindi hiki cha mjomba
 
Mbona unakuwa mkali.. kwa hiyo unataka kusema catchment ya jiji la mbeya ni kilomita 80!? Maana Hata Dar Haifiki hiyo!
Utakua unaota wewe, nani kakuambia Dar haifiki hiyo?
Kutoka Bunju mpakani hadi Mjini ni kilometa 40, na Mjini hadi Chanika Kilometa 30, na Chanika Mvuti Kilometa 8 ukienda Chamazi tayari ni kilometa 20, hizo tayari unapata karibu 80.
Pia ferry hadi Kimbiji ni kilometa 35, Ferry Kibaha mpakani kilometa 35, hizo tayari ni 70+km. Ferry Kongowe ni kilometa 36 hizo tayari ni 71+km.
Hapo sijagusa Mbondole, Dar es Salaam Zoo, Minaki mpakani na Kisarawe, Tundwi Songani, Pemba mnazi(hii ni kilometa 65 kutoka ferry, ingawa hii iko mashambani kwa muktadha wa mji kama DSM ulivyo)
Kwa hiyo, siyo kweli kua Mbeya itafanana na DSM
 
Ipo miji mingi miji ipi hyo? Jombe washajenga stend yao , Kahama inajengwa na eneo lishatengwa , Jiwe kasema ni manispaa now hatutegemei delay Kwa huo mradi, na eneo tayar lishatengwa cse Kahama recently haina stend kabisa , istoshe Kahama ina route nyingi za mabasi ya Mikoani kuliko jombe , ....

Mradi wa hospital unaendelea na picha za mchoro tumeweka na construction site jengo la OPD tumeweka ...
Kwanza, prototype unaijua?
 
1613210019281.png


hapa ni stendi ya Njombe kabla ya kukamilika kwake lakini sasa ni almost 80%imekamilka na inatumika.siyo kwamba ni mbaya ila kuna structure moja ya Gorofa nne haijajengwa bado kama origional plan inavyoonesha
 
Utakua unaota wewe, nani kakuambia Dar haifiki hiyo?
Kutoka Bunju mpakani hadi Mjini ni kilometa 40, na Mjini hadi Chanika Kilometa 30, na Chanika Mvuti Kilometa 8 ukienda Chamazi tayari ni kilometa 20, hizo tayari unapata karibu 80.
Pia ferry hadi Kimbiji ni kilometa 35, Ferry Kibaha mpakani kilometa 35, hizo tayari ni 70+km. Ferry Kongowe ni kilometa 36 hizo tayari ni 71+km.
Hapo sijagusa Mbondole, Dar es Salaam Zoo, Minaki mpakani na Kisarawe, Tundwi Songani, Pemba mnazi(hii ni kilometa 65 kutoka ferry, ingawa hii iko mashambani kwa muktadha wa mji kama DSM ulivyo)
Kwa hiyo, siyo kweli kua Mbeya itafanana na DSM
Jamaa umevurugwa 🤣🤣
 
1613211487793.png


Mji mwema Njombe.Wote wa kahama na mzee wa makambako mkiniletea the best view kuizidi hii nahitimisha kuchangia kwenye hii battle
 
Mkuu tunaangalia view au tunaangalia huduma ? Mbna kama umeishiwa chief , kila mara mnapost picha Ile ile na mafilter kibao....kesho mtatuletea mmepiga aerial eneo lile lile🤣

Angalia Kwanza huduma za kibenki mjini Kahama , na nakukumbusha Tu Kahama ndo mji wenye matawi mengi zaidi ya benki kuliko Njombe na Mafinga Combined together

27.jpg
 
Utakua unaota wewe, nani kakuambia Dar haifiki hiyo?
Kutoka Bunju mpakani hadi Mjini ni kilometa 40, na Mjini hadi Chanika Kilometa 30, na Chanika Mvuti Kilometa 8 ukienda Chamazi tayari ni kilometa 20, hizo tayari unapata karibu 80.
Pia ferry hadi Kimbiji ni kilometa 35, Ferry Kibaha mpakani kilometa 35, hizo tayari ni 70+km. Ferry Kongowe ni kilometa 36 hizo tayari ni 71+km.
Hapo sijagusa Mbondole, Dar es Salaam Zoo, Minaki mpakani na Kisarawe, Tundwi Songani, Pemba mnazi(hii ni kilometa 65 kutoka ferry, ingawa hii iko mashambani kwa muktadha wa mji kama DSM ulivyo)
Kwa hiyo, siyo kweli kua Mbeya itafanana na DSM
Umeelewa nachokwambia ..au umeenda full kubishana mode.

Wewe umeleta Data ... Sijui utopolo gani uko km 40 kutoka mjini NJOMBE..

Ndio nakwambia kwa sense ya mji.. huwezi kwenda pemba mnazi ukasema uko mjini..

Kilometa 80 catchment ni Sehemu kubwa sana... Nje ya Dsm hakuna ..na hata DSM yenyewe hakuna.. kutoka Bunju mpaka kongowe haifiki km 80 fikiria tena. Na huo ni mwanzo wa jiji mpaka mwisho wa jiji.
 
View attachment 1701364

hapa ni stendi ya Njombe kabla ya kukamilika kwake lakini sasa ni almost 80%imekamilka na inatumika.siyo kwamba ni mbaya ila kuna structure moja ya Gorofa nne haijajengwa bado kama origional plan inavyoonesha
Ujenge we structure ya ghorofa nne ili uifanyie nn..!? Kupiga picha!? NHC mtwara huko tena mjini kuliko NJOMBE wanafugia kuku majengo yao.. poor planning
 
Ujenge we structure ya ghorofa nne ili uifanyie nn..!? Kupiga picha!? NHC mtwara huko tena mjini kuliko NJOMBE wanafugia kuku majengo yao.. poor planning
Hislside hotel in gorofa nane mbona hawajafugia kuku inategemeana matumizi yaliyopangwa before
 
Umeelewa nachokwambia ..au umeenda full kubishana mode.

Wewe umeleta Data ... Sijui utopolo gani uko km 40 kutoka mjini NJOMBE..

Ndio nakwambia kwa sense ya mji.. huwezi kwenda pemba mnazi ukasema uko mjini..

Kilometa 80 catchment ni Sehemu kubwa sana... Nje ya Dsm hakuna ..na hata DSM yenyewe hakuna.. kutoka Bunju mpaka kongowe haifiki km 80 fikiria tena. Na huo ni mwanzo wa jiji mpaka mwisho wa jiji.
Ndo maana Kuna vijiji vingi njombe
 
Umeelewa nachokwambia ..au umeenda full kubishana mode.

Wewe umeleta Data ... Sijui utopolo gani uko km 40 kutoka mjini NJOMBE..

Ndio nakwambia kwa sense ya mji.. huwezi kwenda pemba mnazi ukasema uko mjini..

Kilometa 80 catchment ni Sehemu kubwa sana... Nje ya Dsm hakuna ..na hata DSM yenyewe hakuna.. kutoka Bunju mpaka kongowe haifiki km 80 fikiria tena. Na huo ni mwanzo wa jiji mpaka mwisho wa jiji.
Jamaa hajielewi huyo😂 analeta data za hovyo , hajui hata radius ya mji
 
Back
Top Bottom