Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Hoja ijibiwe kwa hoja Kama huna punguza maneno twendelee kukuonyesha kazi zinazoendelea mzee
Hoja na ushahidi viko hapa👇😁🤭
Yaani Makambako yako hiyo ni kijiji tu kilichochangamka na fujo ya hela wala sio mji wa kutamba nao yaani huu uchafu 👇😂😁🤭🤭
FB_IMG_1757002423346.jpg
FB_IMG_1757002404455.jpg
 
Hoja na ushahidi viko hapa👇😁🤭
Yaani Makambako yako hiyo ni kijiji tu kilichochangamka na fujo ya hela wala sio mji wa kutamba nao yaani huu uchafu 👇😂😁🤭🤭
View attachment 3465954View attachment 3465955
Ushahidi gani ya unachuku block moja et ndo CBD Kama hujui mipango miji kaa kwa kutulia tuendelee kukupa dose maana mambo mengi hujui ndo maana huwa unatuletea mapaa ya Kijiji chako
 
Hoja ijibiwe kwa hoja Kama huna punguza maneno twendelee kukuonyesha kazi zinazoendelea mzee
Hata kama hazitoshi kichwani hapa 👇 mtu unahitaji hata D mbili kweli kuelewa upi mji utakao kuja kuwa kivutio ?
Katoro
FB_IMG_1756881590010.jpg
Screenshot_20250811-164153.jpg

Makambako sasa😂🤣🤣🤣🤣👇
FB_IMG_1757002423346.jpg
FB_IMG_1757002404455.jpg
 
Acha kurukaruka Kama maharage
Ulikuwa unakwepa kwepa kuleta picha za makambako zenye ujazo unatafutiza jengo moja moja sasa nimeshazipata tena current kabisa za September 2025🤭🤣🤣 nyingine hiyo👇
FB_IMG_1757002418299.jpg

Yani kijiji bila kupingwa hapo ndio nje ya mji kwa ukuaji gani huo sasa 😂😂😂😂
 
Ulikuwa unakwepa kwepa kuleta picha za makambako zenye ujazo unatafutiza jengo moja moja sasa nimeshazipata tena current kabisa za September 2025🤭🤣🤣 nyingine hiyo👇View attachment 3465966
Yani kijiji bila kupingwa hapo ndio nje ya mji kwa ukuaji gani huo sasa 😂😂😂😂
Sasa unajua NI km ngap kuto CBD au unajitekenya na kucheka mwenyewe tulikwambia acha kukaa migodini Kama panya tembea
 
Sasa unajua NI km ngap kuto CBD au unajitekenya na kucheka mwenyewe tulikwambia acha kukaa migodini Kama panya tembea
Hapa sio CBD 🤭🤣🤣🤣🤣🤣👇
FB_IMG_1757002423346.jpg
FB_IMG_1757002404455.jpg

Nje ya CBD hutoa taswira ya either hicho ni kijiji au mji wa maana
 
Yan unarusha eneo moja mara kumi asee 😂😂😂😂 unachekesha tembea uone utahahangaika Sana na picha za Eddy tz ukajua ndo alichukua makambako nzima haaaaa poleeee sana
Kwani si ndio Makambako lakini 🤭🤭🤭🤣🤣🤣🤣
 
Yan unarusha eneo moja mara kumi asee 😂😂😂😂 unachekesha tembea uone utahahangaika Sana na picha za Eddy tz ukajua ndo alichukua makambako nzima haaaaa poleeee sana
Na kile kighorofa cha njano kipo hapa 👇kimezungukwa na uchafu 😂😂😂🤣🤣🤣
Screenshot_20250905-192051.jpg
 
Kwani si ndio Makambako lakini 🤭🤭🤭🤣🤣🤣🤣
Tulisha kwambia makambako CBD watu wanavunja nyumba za kawaida vitu vinashushwa ko mwambie Eddy tz apige picha kuanzia round about Hadi stendi ya njombe uone vitu vinavyo pangana ndo maana nilikwambia hizo picha unajifurahisha tu
IMG_20250903_120922~3.jpg
FB_IMG_17562806843220008~3.jpg
FB_IMG_17569511880842466.jpg
FB_IMG_17480619331867642.jpg
FB_IMG_17480612128123611.jpg
 
Hapa sio CBD 🤭🤣🤣🤣🤣🤣👇
View attachment 3465991View attachment 3465992
Nje ya CBD hutoa taswira ya either hicho ni kijiji au mji wa maana
Tulisha kwambia Hilo NI eneo la soko kuu ambalo soon linavunjwa na kujengwa soko la gorofa kupitia mradi wa tactics na tulisha rusha Hadi video za eneo Hilo acha kuhangaika leta project za mitaan za geita uliahidi leo na eneo hili la stendi linavunjwa lote ko huna hoja mzee na hii ndo stendi inayo vunjwa na kujengwa upya na mradi wa tactics imesha zungukwa na magorofa SI jui  unaongea nini tulisha kwambia makambako NI junction uwe unaelewa
FB_IMG_17428112012396188~2.jpg
FB_IMG_17570919445285510.jpg
FB_IMG_17570918364394377.jpg
 
Tulisha kwambia Hilo NI eneo la soko kuu ambalo soon linavunjwa na kujengwa soko la gorofa kupitia mradi wa tactics na tulisha rusha Hadi video za eneo Hilo acha kuhangaika leta project za mitaan za geita uliahidi leo na eneo hili la stendi linavunjwa lote ko huna hoja mzee na hii ndo stendi inayo vunjwa na kujengwa upya na mradi wa tactics imesha zungukwa na magorofa SI jui  unaongea nini tulisha kwambia makambako NI junction uwe unaelewaView attachment 3466020View attachment 3466028View attachment 3466030
Eneo lote hili 👇linavunjwa?🤣🤣
FB_IMG_1757002423346.jpg

Unazani wote humu ni mapunguani ya kuyapanga unavyotaka 😂
Wewe unakusumbua ushamba tu wa kutokujua best towns zinakuwaje
 
Back
Top Bottom