Sasa huko kusini kuna Jiji lolote 😂😂😂😂 hii mikoa yote uliyoitaja ina majiji ambayo ndio highest level of urbanization na maendeleo kwa ujumla ndio maana utaona kama sehemu zingine hazijaendelea ndani ya mkoa husika but sio guarantee ya nyanda za juu kusini kuyazidi kimaendeleoKumbe unafahamu kwamba huo Mkoa wenu maendeleo yapo hapo mjini tuu Wilaya zingine zote ni hovyo kabisa 😆😆
Sifa hizo za hovyo ziko Mwanza,Dodoma,Arusha na Tanga.
Hakuna upuuzi kama huo Mikoa yote ya Nyanda za Juu Kusini ndio maana tunaongoza kwenye per Capita income maana Kila Wilaya Ina maendeleo tofauti na huko kwenu kulikojaa vijumba vya tembe.
Mwisho Usagara haihamishwi ndio inategemewa kimapato na Misungwi na pale Hungumalwa
Tumewazidi Kimaendeleo,hakuna Kijiji Utaenda Nyanda za Juu ukakuta vijumba vya tembe au matope kama huko kwenu isipokuwa Iringa Kuna tembe Baadhi ya Wilaya kame.Sasa huko kusini kuna Jiji lolote 😂😂😂😂 hii mikoa yote uliyoitaja ina majiji ambayo ndio highest level of urbanization na maendeleo kwa ujumla ndio maana utaona kama sehemu zingine hazijaendelea ndani ya mkoa husika but sio guarantee ya nyanda za juu kusini kuyazidi kimaendeleo
Halafu Hungumalwa ni Kwimba sio Misungwi.
Sasa kwa mfano mkoa wa Njombe hauna hata Manispaa moja 😂 😂 huoni kuna tatizo 🤔🤔
Huko hakuna waganga sio 😂😂😂Tumewazidi Kimaendeleo,hakuna Kijiji Utaenda Nyanda za Juu ukakuta vijumba vya tembe au matope kama huko kwenu isipokuwa Iringa Kuna tembe Baadhi ya Wilaya kame.
Acha kuweuka Hilo NI soko la mbao ulitaka liwe na rangi ganiNyanda za juu kusini miji yenu inakaa kama nchi za mavumbini Chad huko 😂 🤗
Makambako ona ilivyopauka 😂😂👇👇ðŸ¤ðŸ¤
View attachment 3411075