Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Haya na kwenye thread hii Ni battle kati ya KAHAMA vs _____?
#TAKWIMU: Kwa mujibu wa Takwimu za Sensa ya Watu na Makazi 2022 mkoa wa Njombe na Kilimanjaro inaongoza kwa kuwa na Makazi bora nchini kutokana na kuwa na idadi kubwa ya nyumba zilizo ezekwa kwa Bati.

Katika Takwimu hizo Asilimia 91.2 (%) ya nyumba zimeezekwa kwa Bati sawa na mkoa wa Kilimanjaro ikifuatiwa na Mkoa wa Dar Es Salaam 89.3%, Kagera 89.3%, na Iringa 84.3%.

Mikoa inayoongoza kwa kuwa na idadi ndogo ya nyumba zilizoezekwa kwa Bati nchini ni Tabora 55.6%, Lindi 60.2, Mtwara 66.8, Rukwa 68.9% na Katavi 72.0%.

Unadhani nini kinachangia Njombe kufanya vizuri kati ubora wa Makazi?

#jisikiemfalme #njombe #kingsfmradio #2025imenogailembaya #tanzania
FB_IMG_17515621199744194.jpg
 
#TAKWIMU: Kwa mujibu wa Takwimu za Sensa ya Watu na Makazi 2022 mkoa wa Njombe na Kilimanjaro inaongoza kwa kuwa na Makazi bora nchini kutokana na kuwa na idadi kubwa ya nyumba zilizo ezekwa kwa Bati.

Katika Takwimu hizo Asilimia 91.2 (%) ya nyumba zimeezekwa kwa Bati sawa na mkoa wa Kilimanjaro ikifuatiwa na Mkoa wa Dar Es Salaam 89.3%, Kagera 89.3%, na Iringa 84.3%.

Mikoa inayoongoza kwa kuwa na idadi ndogo ya nyumba zilizoezekwa kwa Bati nchini ni Tabora 55.6%, Lindi 60.2, Mtwara 66.8, Rukwa 68.9% na Katavi 72.0%.

Unadhani nini kinachangia Njombe kufanya vizuri kati ubora wa Makazi?

#jisikiemfalme #njombe #kingsfmradio #2025imenogailembaya #tanzaniaView attachment 3392963
Afuadhali Kilimanjaro ina majengo laki 6, sasa Njombe yenye majengo laki 2 si bora ukae kimya tu, 😂 😂 😂 😂 😂
Twende kwenye hoja yako ya msingi iko hivi 👇
1. Kwa upande wa kanda ya ziwa kwanza tambua bado kuna extended families, hata kwenye familia za kawaida vijijini asilimia kubwa kwenye familia hata kama nyumba zingine zote ni za bati, jiko litaezekwa kwa nyasi, au slope
2. Kuna vijumba vya kupumzikia mchana muda wa jua kali vinajengwa kwa nyasi na miti bila kukandia udongo ( hawa wajinga wanakata sana miti ko kijumba ni mbadala wa miti😂😄😄😄)
3. Waganga wa kienyeji ni wengi sana 🤗 🤗 na mila zao nyumba za nyasi ni lazima ziwepo ( usishangae kukuta wanganga karibia 20 kwenye eneo la 3km²) hasa maeneo miji ya migodini)
4. Kuna vijiji vinakuwa na wafugaji na ng'ombe zao wanaita LUBAGA hujenga nyumba za nyasi temporarily
5. Kuna very few ni maskini uwezo unaishia kujenga kijumba cha slope au nyasi

Kutokana na sababu namba 1 hadi 3 usitegemee nyumba za nyasi kutoweka kanda ya ziwa sio leo wala kesho kwa sababu kuna mila za watu wa jamii za huko zinachangia na kuendeleza uwepo wa numba za nyasi japo zonapungua kwa kasi sana
 
#TAKWIMU: Kwa mujibu wa Takwimu za Sensa ya Watu na Makazi 2022 mkoa wa Njombe na Kilimanjaro inaongoza kwa kuwa na Makazi bora nchini kutokana na kuwa na idadi kubwa ya nyumba zilizo ezekwa kwa Bati.

Katika Takwimu hizo Asilimia 91.2 (%) ya nyumba zimeezekwa kwa Bati sawa na mkoa wa Kilimanjaro ikifuatiwa na Mkoa wa Dar Es Salaam 89.3%, Kagera 89.3%, na Iringa 84.3%.

Mikoa inayoongoza kwa kuwa na idadi ndogo ya nyumba zilizoezekwa kwa Bati nchini ni Tabora 55.6%, Lindi 60.2, Mtwara 66.8, Rukwa 68.9% na Katavi 72.0%.

Unadhani nini kinachangia Njombe kufanya vizuri kati ubora wa Makazi?

#jisikiemfalme #njombe #kingsfmradio #2025imenogailembaya #tanzaniaView attachment 3392963
Halafu kwenye hoja yako usiseme kuwa Njombe na Kilimanjaro zinaongoza kwa kuwa na IDADI KUBWA ya nyumba bora,
Sio idadi kubwa bali ni ASILIMIA KUBWA ya nyumba zimeezekwa kwa Bati
Njombe ina nyumba laki 2 tu na sabini, hakifikii hata nusu ya Geita
 
Halafu kwenye hoja yako usiseme kuwa Njombe na Kilimanjaro zinaongoza kwa kuwa na IDADI KUBWA ya nyumba bora,
Sio idadi kubwa bali ni ASILIMIA KUBWA ya nyumba zimeezekwa kwa Bati
Njombe ina nyumba laki 2 tu na sabini, hakifikii hata nusu ya Geita
FB_IMG_17516181673216272.jpg
FB_IMG_17516181890587102.jpg
 
Halafu kwenye hoja yako usiseme kuwa Njombe na Kilimanjaro zinaongoza kwa kuwa na IDADI KUBWA ya nyumba bora,
Sio idadi kubwa bali ni ASILIMIA KUBWA ya nyumba zimeezekwa kwa Bati
Njombe ina nyumba laki 2 tu na sabini, hakifikii hata nusu ya Geita
We jamaa njombe itakusumbua sana huku watu wanapesa mzee hawategemei kwenye migodi ya wazungu kichwa kimejieleza unaanza kuongea idadi ya makazi inahusiana nini
 
We jamaa njombe itakusumbua sana huku watu wanapesa mzee hawategemei kwenye migodi ya wazungu kichwa kimejieleza unaanza kuongea idadi ya makazi inahusiana nini
Wewe tatizo lako ni uelewa mdogo na uwezo wako wa kuchambua data pia ni mdogo

Takwimu ni za majengo, na Mkoa wa Njombe ni miongoni mwa mikoa yenye idadi ndogo zaidi ya majengo ikiwa na majengo laki 2 na elf70 . Makazi bora yanahesabika yale yaliyoezekwa kwa bati na kuta za block au choma,
Kwa namna yoyote ile Ukilinganisha mkoa wa Geita na Njombe iko 👇👇
1. Mkoa wa Geita unakuwa na idadi kubwa ya nyumba bora ikiwa 8% ya 620000=51000 ni nyumba za nyasi na nyumba Zaidi ya 560, 000 ambayo ni 82.9% zimeezekwa kwa Bati idadi ambayo ni zaidi ya mara mbili ya nyumba zote za mkoa wa Njombe

Kwa mkoa wa Njombe nyumba zilizoezekwa kwa bati idadi yake ukitoa nyumba za nyasi ambayo ni 3.4% ya 270000=9000, ko nyumba zilizoezekwa kwa bati tutabaki na idadi ya laki mbili na 60 idadi ambayo haifiki hata nusu ya idadi ya nyumba za mkoa Geita zilizoezekwa kwa bati
Lakini ukiangalia asilimia sasa ya majengo kwa kila mkoa Njombe inakuwa na asilimia kubwa ya nyumba bora ambayo ni 91.2% ya 270000+

Jifunze kudadafua data upanue uelewa wako au hesabu ilikupiga chenga 😂😂😂😂
Humu sio Facebook
 
We jamaa njombe itakusumbua sana huku watu wanapesa mzee hawategemei kwenye migodi ya wazungu kichwa kimejieleza unaanza kuongea idadi ya makazi inahusiana nini
Mkoa wa Geita unauzidi mkoa wa Njombe kwa kila kitu
1. Wingi wa matajiri na
2. Wingi wa maskini
Kama ulishindwa kupata hata D mbili shuleni huwezi kuelewa
 
Mkoa wa Geita unauzidi mkoa wa Njombe kwa kila kitu
1. Wingi wa matajiri na
2. Wingi wa maskini
Kama ulishindwa kupata hata D mbili shuleni huwezi kuelewa
Wewe tatizo lako ni uelewa mdogo na uwezo wako wa kuchambua data pia ni mdogo

Takwimu ni za majengo, na Mkoa wa Njombe ni miongoni mwa mikoa yenye idadi ndogo zaidi ya majengo ikiwa na majengo laki 2 na elf70 . Makazi bora yanahesabika yale yaliyoezekwa kwa bati na kuta za block au choma,
Kwa namna yoyote ile Ukilinganisha mkoa wa Geita na Njombe iko 👇👇
1. Mkoa wa Geita unakuwa na idadi kubwa ya nyumba bora ikiwa 8% ya 620000=51000 ni nyumba za nyasi na nyumba Zaidi ya 560, 000 ambayo ni 82.9% zimeezekwa kwa Bati idadi ambayo ni zaidi ya mara mbili ya nyumba zote za mkoa wa Njombe

Kwa mkoa wa Njombe nyumba zilizoezekwa kwa bati idadi yake ukitoa nyumba za nyasi ambayo ni 3.4% ya 270000=9000, ko nyumba zilizoezekwa kwa bati tutabaki na idadi ya laki mbili na 60 idadi ambayo haifiki hata nusu ya idadi ya nyumba za mkoa Geita zilizoezekwa kwa bati
Lakini ukiangalia asilimia sasa ya majengo kwa kila mkoa Njombe inakuwa na asilimia kubwa ya nyumba bora ambayo ni 91.2% ya 270000+

Jifunze kudadafua data upanue uelewa wako au hesabu ilikupiga chenga 😂😂😂😂
Humu sio Facebook
Acha kupotosha uma Nan hazijui hizo data Kama mkoa WAKO upo nyuma elimisheni hao wafugaji wajenge nyumba Bora maana naokuona unavohangaika kuwatetea unajiona ndo mchambuzi wa data jitahidi sensa nyingine NI 2032
 
Mkoa wa Geita unauzidi mkoa wa Njombe kwa kila kitu
1. Wingi wa matajiri na
2. Wingi wa maskini
Kama ulishindwa kupata hata D mbili shuleni huwezi kuelewa
Maskini tu huko moja ya indicator ya Maisha Bora NI makazi
 
Back
Top Bottom