Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

One of the blessed lands of Tanzania
Katoro 🤩
FB_IMG_1753522066674.jpg
FB_IMG_1753522053374.jpg
 
Osha macho kwanza maana umezoea kuona kutu na vumbi kwenye mkoa wenu huo wa vumbistan 😂😂😂👇
View attachment 3419129View attachment 3419130
Unahangaika kutuletea mapaa hapa wenzenu wanatekekeleza miradi ambayo kwa mara ya Kwanza ilikuwa inatekelezwa kwenye majiji tu Sasa tayari IPO zone hii mfano mradi huu wa maji utahudumumia wakazi zaidi ya lakitano kwenye miji ya makambako ,rujewa na wangingombe zaidi ya billion 132 zimemwagwa na nilikwambia eneo hili lipo Kasi sana miradi Kama hii inatekelezwa jiji la dodoma na , Mbeya 👇👇👇
 
Aweso aagiza mradi wa Kiwira ukamilike kwa haraka

Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amemuagiza mkandarasi anayejenga mradi wa maji kutoka chanzo cha mto Kiwira mkoani Mbeya kampuni ya China Railway Construction Engineering Group kuharakisha utekelezaji wa mradi huo.

Mradi wa Kiwira unatarajia kuzalisha lita milioni 117 kwa siku zitakazowezesha Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mbeya kuzalisha lita milioni 190 kutoka lita milioni 74,240 za sasa.

Chanzo hicho kitatosheleza maji katika jiji la Mbeya na mji wa Mbalizi hadi mwaka 2045 ambapo miji hiyo inatarajiwa kuwa na wakazi zaidi ya milioni moja nukta tank.

Waziri Aweso amesema mradi huo unabeba matumaini makubwa kwa wananchi wa Mbeya kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye anatambua changamoto wanayopitia akina mama mkoani hapo.

Amesema anaridhishwa na kasi ya utekelezaji katika eneo la chanzo lakini bado upo umuhimu wa kuongeza kasi ili mradi huo ukamilike Desemba 2025 kama ilivyoainishwa katika mkataba.

Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoani Mbeya, Langael Akyoo amesema CCMi mkoani inaridhihwa na jitihada zinazofanywa na serikali kuhakikisha huduma ya maji inawafikia wananchi. Amesema wataendelea kushirikiana kwa karibu na Wizara ya Maji ili kuhakikisha mradi unakamilika kwa wakati.

Waziri Aweso pamoja na Katibu Mkuu Wizara ya Maji Mhandisi Mwajuma Wazjiri wako katika ziara ya kukagua miradi ya maji katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini.
 
Unahangaika kutuletea mapaa hapa wenzenu wanatekekeleza miradi ambayo kwa mara ya Kwanza ilikuwa inatekelezwa kwenye majiji tu Sasa tayari IPO zone hii mfano mradi huu wa maji utahudumumia wakazi zaidi ya lakitano kwenye miji ya makambako ,rujewa na wangingombe zaidi ya billion 132 zimemwagwa na nilikwambia eneo hili lipo Kasi sana miradi Kama hii inatekelezwa jiji la dodoma na , Mbeya 👇👇👇
Karne hii unazungumzia maji!😀😀😀😂
Watu wapo kwenye nyumba za kisasa nyie mnarudi kwenye maji Karne ya 21🤣🤣🤣
 
Karne hii unazungumzia maji!😀😀😀😂
Watu wapo kwenye nyumba za kisasa nyie mnarudi kwenye maji Karne ya 21🤣🤣🤣
Huko tulisha toka zaman mzee ndo maana njombe inaongoza kwa makazi Bora ko huku NI swala la kawaida Sana mliozoea kuishi kwenye tembe ndo maana mnabaki mnashangaa kila siku kupost mapaa
 
Karne hii unazungumzia maji!😀😀😀😂
Watu wapo kwenye nyumba za kisasa nyie mnarudi kwenye maji Karne ya 21🤣🤣🤣
Maji si unadai mnayo huu mradi wa nn 👇👇👇👇AWESO AKAGUA MRADI WA BILIONI 124 USIKU - GEITA

Bilioni 124 kumaliza uhaba wa huduma ya majisafi Geita.

Wakazi wa Mji wa Geita wanatarajia kuondokana na uhaba wa huduma ya majisafi na salama baada ya kukamilika kwa mradi mkubwa wa maji wa miji 28 unaotekelezwa kwa gharama ya Shilingi Bilioni 124.

Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amekagua mradi huo na kuagiza utekelezaji ufanyike kwa haraka ili wananchi waanze kufaidi matunda ya uwekezaji mkubwa wa serikali.

Amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anatambua uhaba wa huduma ya majisafi wanayopitia wakazi wa Geita na amekuwa akisisitiza mradi huo ukamilike.

Kukamilika kwa mradi huo kutaiwezesha Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Geita (GEUWASA) kuongeza uwezo wa uzalishaji maji hadi kufika lita milioni 43 kwa siku kiasi kinachozidi mahitaji ya sasa. Mahitaji ya maji kwa sasa ni lita milioni 22 kwa siku, na uzalishaji ukiwa ni lita milioni tisa.
 
Maji si unadai mnayo huu mradi wa nn 👇👇👇👇AWESO AKAGUA MRADI WA BILIONI 124 USIKU - GEITA

Bilioni 124 kumaliza uhaba wa huduma ya majisafi Geita.

Wakazi wa Mji wa Geita wanatarajia kuondokana na uhaba wa huduma ya majisafi na salama baada ya kukamilika kwa mradi mkubwa wa maji wa miji 28 unaotekelezwa kwa gharama ya Shilingi Bilioni 124.

Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amekagua mradi huo na kuagiza utekelezaji ufanyike kwa haraka ili wananchi waanze kufaidi matunda ya uwekezaji mkubwa wa serikali.

Amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anatambua uhaba wa huduma ya majisafi wanayopitia wakazi wa Geita na amekuwa akisisitiza mradi huo ukamilike.

Kukamilika kwa mradi huo kutaiwezesha Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Geita (GEUWASA) kuongeza uwezo wa uzalishaji maji hadi kufika lita milioni 43 kwa siku kiasi kinachozidi mahitaji ya sasa. Mahitaji ya maji kwa sasa ni lita milioni 22 kwa siku, na uzalishaji ukiwa ni lita milioni tisa.
Hii ni nyongeza tu ya ya maji kulingana na kuendelea kukua kwa Manispaa na mahitaji kuongezeka
 
Hii ni nyongeza tu ya ya maji kulingana na kuendelea kukua kwa Manispaa na mahitaji kuongezeka
Ebu uwe unasoma na taarifa NI ya lini usijibu kwa hisia zako wakati bado Kuna shida ya maji hili eneo nalo Lina maji KULINGANA na ukuaji wa miji hii ya eneo hili imewalazimu wa design kwa mifumo Kama walivyo fanya kwenye majiji ya dodoma ,Mbeya , dsm , nk ndo maana waziri kakwambia mradi Kama walikuwa wanajenga kwenye majiji tu NI eneo linalo kua kwa Kasi
 
Back
Top Bottom