Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Njombe Town


182,127 Population [2022] – Census

3,536 km² Area

51.51/km² Population Density [2022]
Kwamba Njombe inaizidi hadi Dar?
Data zinaonyesha Njombe mji ni 3. 536km²
Screenshot_20250626-202329.png

Acha kudanganya kama wakenya
 
Kwamba Njombe inaizidi hadi Dar?
Data zinaonyesha Njombe mji ni 3. 536km²
View attachment 3384845
Acha kudanganya kama wakenya
Ndo maana tunakwambia unavotaka kujifunza kitu NI vizur muda mwingine kutembelea unaweza dhani eneo lako limetanuka sana kumbe bado ndo maana tulikwambia makambako to njombe km 60 full makaz umetenganisha msitu wa tanwat tu na unapita halmashauri zote nne na bado unakuja makambako ilembula na makambako igwachanya ndo eneo kwa mkoa wa njombe lenye wakaz wengi na makaz yameungana WILAYA zilizo mbali NI makete na ludewa tu
 
U
Wanging'ombe


191,506 Population [2022] – Census

3,437 km² Area

55.72/km² Population Density [2022]

1.7% Annual Population Change [2012 → 2022
Uko nje ya Mada, weka ukubwa wa eneo ambalo limeunganishwa ukiwa unatoka Njombe to makambako lakini lipo ndani ya halmashauri ya Wanging'ombe ,
 
😂😂😂 yaani Dar es salaam iwe na 1,600km² halafu Njombe iwe na 3,000km2😄😄😂😂😂
 
Kaa kwa kutulia njombe dc hii hapa 👇👇👇
Njombe Rural


109,311 Population [2022] – Census

3,454 km² Area

31.65/km² Population Density [2022]

2.5% Annual Population Change [2012 →
Kuna mtu ameomba data za vijiji hapa
 
U

Uko nje ya Mada, weka ukubwa wa eneo ambalo limeunganishwa ukiwa unatoka Njombe to makambako lakini lipo ndani ya halmashauri ya Wanging'ombe ,
Ukitoka njombe to makambako NI km 60 na unapita kwenye halmashauri zote nne na ulitaka ukubwa wa eneo tumesha kuonyesha wa kila halmashauri in short hiz halmashauri makaz yameungana kumbuka kabla mkoa wa njombe kutangazwa ilikuwa WILAYA moja ilitwa njombe wakiwa hawajatengana na iringa
FB_IMG_17452264038881503.jpg
 
Ukitoka njombe to makambako NI km 60 na unapita kwenye halmashauri zote nne na ulitaka ukubwa wa eneo tumesha kuonyesha wa kila halmashauri in short hiz halmashauri makaz yameungana kumbuka kabla mkoa wa njombe kutangazwa ilikuwa WILAYA moja ilitwa njombe wakiwa hawajatengana na iringaView attachment 3384880
Hayo maeneo ya njiani chukua km² zilizomjengwa maana ni makazi yaliyofuata barabara upana haizidi hata mita 200 ,in short ukitafuta square kilometer haziwezi kuvuka 30km² average, tunatarajia eneo kuwa litapatikana Njombe mjini na Makambako mjini
Hesabu unafeli wapi sijui
 
Hayo maeneo ya njiani chukua km² zilizomjengwa maana ni makazi yaliyofuata barabara upana haizidi hata mita 200 ,in short ukitafuta square kilometer haziwezi kuvuka 30km² average, tunatarajia eneo kuwa litapatikana Njombe mjini na Makambako mjini
Hesabu unafeli wapi sijui
Tumesha kwambia hili eneo halijajengwa kwa linear Kama unavofikilia wewe ndo maana tumekupa na Raman we Cha kufanya jumlisha makazi ya halmashauri zote nne ndo utapata picha
FB_IMG_17509606982683972.jpg
FB_IMG_17508500590996898.jpg
 
Tumesha kwambia hili eneo halijajengwa kwa linear Kama unavofikilia wewe ndo maana tumekupa na Raman we Cha kufanya jumlisha makazi ya halmashauri zote nne ndo utapata picha
Wewe unajielewa kweli!🤔
Mfano picha hii uliyopost 👇 upana wa haya makazi ni mita ngapi?
FB_IMG_17508500590996898.jpg

Assume pako hivi kutoka Njombe hadi Makambako, sasa tafuta square kilometer, urefu ni 60km kama ulivyosema, upana ni tuweke 500m (0.5km) yaani mita 250 kulia na 250 kushoto
Total area= urefu ×upana
= 60km×0.5km
= 30km²
Baada ya hapo jumlisha eneo la mji wa Makambako na eneo la mji wa Njombe
Wenye akili za kuelewa watakuwa wamenipata
 
Kahama
Haya 👇ni majengo mawili tofauti mtu asichanganye maana yanataka kufanana
Screenshot_20250626-213226.png
Screenshot_20250626-213244.png

Picha ya kwanza ndio hilo 👇liko peke yake
images (20).jpeg
 
Hi

Hizo picha zilisha wekwa miaka mingi na wakalala mbele wenzio baada ya kuishiwa project naona na we unaturudisha huko angalia uzi ulianza lini
Walilala mbele wao sio mimi, hapa wewe ndio Italia mbele
 
Wewe unajielewa kweli!🤔
Mfano picha hii uliyopost 👇 upana wa haya makazi ni mita ngapi?
View attachment 3384893
Assume pako hivi kutoka Njombe hadi Makambako, sasa tafuta square kilometer, urefu ni 60km kama ulivyosema, upana ni tuweke 500m (0.5km) yaani mita 250 kulia na 250 kushoto
Total area= urefu ×upana
= 60km×0.5km
= 30km²
Baada ya hapo jumlisha eneo la mji wa Makambako na eneo la mji wa Njombe
Wenye akili za kuelewa watakuwa wamenipata
Yan we jamaa Yan hapo ndo unaona umeweza hesabu kumbuka hicho kipande Cha picha NI kaeneo ka Kijiji Cha ilunda kilichopo kata ya mtwango na hili eneo Lina kata 58 na Kuna barabara nyingi za KUTOKA sehemu moja kwenda nyingine ko uwe unaelewa ndo maana tulikwambia hili eneo NI flat land kilicho tenganisha NI msitu wa tanwat tu na njombe tc ila ukiwa makambako imeungana na njombe dc na wangingombe dc na Kuna barabara za kutosha zinazo link hii ya njombe makambako tulikupa mfano tu saiz Kuna lami ya mtwango itulahumba , igwachanya Hadi ilembula inaunganisha na Mbeya road afu bado Kuna mtwango kichiwa , igongolo , mahongole Hadi nyigo inaunganisha na iringa road hii imesha ombewa lami ,bado ya nyigo ,saja,uhenga ,Hadi ilembula inaunga na Mbeya road hizi zote zipo kwenye hatua ya kuwekewa lami na hii ni ring road ilisha planiwa toka miaka ya nyuma iri gari za mizigo zipite huko Kuna ramadhani njombe tc ,igwachanya Hadi iyai hii nayo lami inaendelea kumbuka mara ya Kwanza tulikuonyesha mfano wa barabara moja tu ndo maana tukakupa na historia kua ilikuwa WILAYA moja ndo maana makaz yamekutana na njia za KUTOKA eneo moja kwenda jingine NI nyingi NI chaguo lako tu
FB_IMG_17488816284265564.jpg
FB_IMG_17447811528668299.jpg
FB_IMG_17440173287267181.jpg
 
Yan we jamaa Yan hapo ndo unaona umeweza hesabu kumbuka hicho kipande Cha picha NI kaeneo ka Kijiji Cha ilunda kilichopo kata ya mtwango na hili eneo Lina kata 58 na Kuna barabara nyingi za KUTOKA sehemu moja kwenda nyingine ko uwe unaelewa ndo maana tulikwambia hili eneo NI flat land kilicho tenganisha NI msitu wa tanwat tu na njombe tc ila ukiwa makambako imeungana na njombe dc na wangingombe dc na Kuna barabara za kutosha zinazo link hii ya njombe makambako tulikupa mfano tu saiz Kuna lami ya mtwango itulahumba , igwachanya Hadi ilembula inaunganisha na Mbeya road afu bado Kuna mtwango kichiwa , igongolo , mahongole Hadi nyigo inaunganisha na iringa road hii imesha ombewa lami ,bado ya nyigo ,saja,uhenga ,Hadi ilembula inaunga na Mbeya road hizi zote zipo kwenye hatua ya kuwekewa lami na hii ni ring road ilisha planiwa toka miaka ya nyuma iri gari za mizigo zipite huko Kuna ramadhani njombe tc ,igwachanya Hadi iyai hii nayo lami inaendelea kumbuka mara ya Kwanza tulikuonyesha mfano wa barabara moja tu ndo maana tukakupa na historia kua ilikuwa WILAYA moja ndo maana makaz yamekutana na njia za KUTOKA eneo moja kwenda jingine NI nyingi NI chaguo lako tu View attachment 3385221View attachment 3385222View attachment 3385223
Mbona unatapatapa sana na maelezo yako yasiyo eleweka 🤔😂!
Maana ni blabla tu ndio unaleta hapa
 
Tupo toka ,2019
Shida huna evidence zimazoeleweka, huku evidence nyingi za kitaifa zinaonyesha Kahama iko mbele sana huku Njombe mji haionekani
Na ili Njombe uilinganishe na Kahama inabidi uiunganishe na Makambako na hivyo vitongoji vyako unavyovizungumzia
Kwenye data hizi 👇 unaona kuna Njombe? Au unazani ni lini Njombe mji inaweza kuingia kwenye hili kundi
Screenshot_20250626-062556.png

Tangu miaka 10 nyuma huko Kahama ipo kwenye kundi la wakubwa
 
Back
Top Bottom