ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,092
- 84,983
- Thread starter
- #20,821
Mkoa wa kuigopa kwenye Uchumi huko Kanda ya Ziwa ni Geita ndio inakuja Kwa kasi na imeingia top 10 ya Mikoa yenye GDP kubwa,hakuna Cha Kahama na Shinyanga yake Wala nini.Hahahahaha,kwamba kama hakuna nini? Mi nimeongea kiushabiki kwa nachokijua, wachambuzi wazuri wenye takwimu watasaidia hapa kueleza vigezo vya kuipaisha.