Mwalo Chibya
JF-Expert Member
- Dec 18, 2019
- 1,350
- 1,005
Weka vitu sasa maneno ya kwenye kanga ya nini πππ mji wa kiselikari GeitaUcha ungese hivi unajua NI mkoa gani usiwe na ofisi hizo acha USHAMBA
Weka vitu sasa maneno ya kwenye kanga ya nini πππ mji wa kiselikari GeitaUcha ungese hivi unajua NI mkoa gani usiwe na ofisi hizo acha USHAMBA
Shida sio kuwa na office hizo, issue ni ziko wapi? Ndio maana Miji mipya kama Dodoma ziko sehemu inaitwa mji wa kiselikari πππ π huwezi weka office za serikali masankuloni hukoUcha ungese hivi unajua NI mkoa gani usiwe na ofisi hizo acha USHAMBA
Ndo maana tumekwambia hivyo viofisi viwekuweua akili ukiwa njombe fika lunyanywi ndo utaelewa kuwa ofisi zote za serikali zipo pale ko umeamua ukopy kwa dodoma mtumba wanaita mji wa serikari ko na geita gaita Safari bado mbichi tembelea lunyanyu njombe au ingia Google map uone kulivopangiliwa sio unaropoka ukajua hizo project zpo geita tu hata ukifika mkoa was songwe NI hivohivo kwa Hilo huna jipyaShida sio kuwa na office hizo, issue ni ziko wapi? Ndio maana Miji mipya kama Dodoma ziko sehemu inaitwa mji wa kiselikari πππ π huwezi weka office za serikali masankuloni huko
Kama kwenye miji yenu mipango mji ni mbovu ndio hivyo sasa hamtakuwa na modern city kama Dodoma.
Geita inafata nyayo za Dodoma, ko ni makosa kuifananisha na miji ya masankuloni kama Njombe π π π π
Kwani huogopi π₯π₯πβοΈβοΈπ¨
View attachment 3343128View attachment 3343129View attachment 3343130View attachment 3343139
Hakuna lolote π π€ π€ π€ Nitembee kwenda wapi πππ¨π¨Ndo maana tumekwambia hivyo viofisi viwekuweua akili ukiwa njombe fika lunyanywi ndo utaelewa kuwa ofisi zote za serikali zipo pale ko umeamua ukopy kwa dodoma mtumba wanaita mji wa serikari ko na geita gaita Safari bado mbichi tembelea lunyanyu njombe au ingia Google map uone kulivopangiliwa sio unaropoka ukajua hizo project zpo geita tu hata ukifika mkoa was songwe NI hivohivo kwa Hilo huna jipya
Ndani ya mji wa kiselikari Geita π π¨π¨Ndo maana tumekwambia hivyo viofisi viwekuweua akili ukiwa njombe fika lunyanywi ndo utaelewa kuwa ofisi zote za serikali zipo pale ko umeamua ukopy kwa dodoma mtumba wanaita mji wa serikari ko na geita gaita Safari bado mbichi tembelea lunyanyu njombe au ingia Google map uone kulivopangiliwa sio unaropoka ukajua hizo project zpo geita tu hata ukifika mkoa was songwe NI hivohivo kwa Hilo huna jipya
Makambako ni mji kamili sio mji mdogo.Ni wilaya ya Njombe,wilaya ya Njombe ina halmashauri tatu,Njombe DC,Njombe mjini,Mji mdogo makambako
Malalamiko mengi ya nini π π πNdo maana tumekwambia hivyo viofisi viwekuweua akili ukiwa njombe fika lunyanywi ndo utaelewa kuwa ofisi zote za serikali zipo pale ko umeamua ukopy kwa dodoma mtumba wanaita mji wa serikari ko na geita gaita Safari bado mbichi tembelea lunyanyu njombe au ingia Google map uone kulivopangiliwa sio unaropoka ukajua hizo project zpo geita tu hata ukifika mkoa was songwe NI hivohivo kwa Hilo huna jipya
Hizo Nyumba zimejengwa ukiwa pengine primary nenda pembezoni unakutane msouth na corrugated settlements za kutosha.Maana naona unadhani Niombe ni katikati ya mji tu.Hayo mabati ya zamani hata kariakoo yapoKwa nini unaogopa kupost hizi ππpicha za kwenu mashambani huko
View attachment 3340926
Kila mji kwenye maeneo ya zamani kutu zipo, lakini Njombe hapana imezidi π€π€Hizo Nyumba zimejengwa ukiwa pengine primary nenda pembezoni unakutane msouth na corrugated settlements za kutosha.Maana naona unadhani Niombe ni katikati ya mji tu.Hayo mabati ya zamani hata kariakoo yapo
NjombeShida sio kuwa na office hizo, issue ni ziko wapi? Ndio maana Miji mipya kama Dodoma ziko sehemu inaitwa mji wa kiselikari πππ π huwezi weka office za serikali masankuloni huko
Kama kwenye miji yenu mipango mji ni mbovu ndio hivyo sasa hamtakuwa na modern city kama Dodoma.
Geita inafata nyayo za Dodoma, ko ni makosa kuifananisha na miji ya masankuloni kama Njombe π π π π
Kwani huogopi π₯π₯πβοΈβοΈπ¨
View attachment 3343128View attachment 3343129View attachment 3343130View attachment 3343139
Afike eneo hili aone na gorofa za serikali zilivo panga anatuletea mtaa wenye ofisi za serikali et mji wa serikali
Leta zingineVitu vya mtaani sasa π π€ π π π msije mkakimbia uzi, sema mkiniudhi nawapeleka msiko kutaka ππ
View attachment 3343292View attachment 3343293
Mkoa was njombe una viwanja viwili vya mpira vilisha jengwa toka miaka hiyo ko hilo sio Jambo gen Tena Kuna sabasaba njombe TC na amani makambako hivyo vilisha jengwa una jipyaMalalamiko mengi ya nini π π π
View attachment 3343273
Bright future for Geta Municipalπ₯
Ujenzi wa shule za gorofa mkoa wa njombe unaendeleaVitu vya mtaani sasa π π€ π π π msije mkakimbia uzi, sema mkiniudhi nawapeleka msiko kutaka ππ
MakambakoHakuna lolote π π€ π€ π€ Nitembee kwenda wapi πππ¨π¨
Weka picha hapa
Makambako againVitu vya mtaani sasa π π€ π π π msije mkakimbia uzi, sema mkiniudhi nawapeleka msiko kutaka ππ
View attachment 3343292View attachment 3343293
Twende na kazi za mitaan mzee wa geita makambako again na mwisho wa siku utwambie lami za tarura mitaan NI km ngapiVitu vya mtaani sasa π π€ π π π msije mkakimbia uzi, sema mkiniudhi nawapeleka msiko kutaka ππ
View attachment 3343292View attachment 3343293