Mwalo Chibya
JF-Expert Member
- Dec 18, 2019
- 1,350
- 1,005
Majengo ni yale yale 😂😂😂, yakiisha sijui utapost nini?Uwe una elewe tumekwambia hizo fremu kwa makambako ni sawa na project ya mtu binafsi haya nyingine hiyo View attachment 3341315
Makambako haina soko
Katoro ina soko
Ni kichaa pekee ndio anaweza kusema makambako ni mji wa maana,
Kama hujaleta soko kuu la makambako hapa kuanzia leo jua makambako si chochote mbele ya Katoro, yaani haitoboi 🔨🔨 💥💥👇