Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Katoro ni mjii wa kisiasa ?

Umemaanisha nini kusema hivi?

Katoro hii hii iliyojengwa hovyo hovyo?

Pita mitaa ya shule ya Msingi Kilimani endelea mbele uone huo usasa
Huu hapa mfano wa miji iliyopangwa 👇Kasulu 💥 angalau walijitahidi sio uozo ulioko hapo Makambako
Screenshot_20250521-173616.png
Screenshot_20250521-173605.png
 
Post soko la makambako sasa 😂😂😂😂😂😂 kama hakuna ujue makambako si kitu mbele ya Katoro
Hatuna muda wa kulinganisha Kijiji na mji tumekwambia hiyo project ya soko NI sawa na project ya mtu binafsi makambako Kama una bisha angalia hapo Tena kawa zidi ana fremu za kutosha zaidi ya 100 na kumbi
FB_IMG_17428112012396188~2.jpg
 
Hii 👇 makambako ndio imepangwa sio 😂 🤗 🤗 wewe ni kichaa, mipango miji ni tatizo la nchi nzima,
View attachment 3341178View attachment 3341179View attachment 3341180
View attachment 3341187View attachment 3341189
Punguza mawenge bila facts hapa utakula 🔨🔨🔨
Naona tayari Kuna fyuzi imeshaanza kupoteza mawasiliano tulia hatulinganishi Kijiji na mji na Kama umetambua kuwa NI tatizo la nchi nzima Sasa tunakwambia makambako pana zaidi ya mitaa 50 ambayo haipo kwenye mpangilio mzuri haizidi mitano
 
Nasubiri uyaweke hayo makazi bora ya makambako, kama huwezi kuyaweka hapa usilete rubbish zako hapa
Hatuna muda wa kubaki unapiga picha makazi Soma taarifa nbs wameeleza kila kitu Kama huamini tembelea eneo husika
 
Bado hujasema 🔨🔨 , makambako na Njombe 90% nyumba ni magofu na vibanda vya kale vilivyojaa kutu 😂 😂 😂
Una la kusema tena au niweke picha 🤔
Njombe ndio Mkoa wa matajiri wanaotegemewa hapa Tanzania.

Ushamba unakusumbua,umetembea sana ni hapo Kijijini kwenu Masumbwe na Katoro 😁😁
 
Angekuwepo JPM angekuchapa makofi.

Yeye mwenyewe kwa kauli yake alishangazwa na ubora wa makazi Makambako
Haelewi angalie hotuba za jpm alivokuwa anatembelea mikoan alivofika mkoa wa NJOMBE mkutano wa makambako aliongea Nini
 
Back
Top Bottom