Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Unakosea sana kulinganisha Halmashauri ya Mji wa Makambako na Kijiji kilichochangamka Cha manamba wa Madini Cha Katoro.

Katoro size yake ni kina Majimoto,Chimala,Laela,Shelui etc.

Haiwezi fika hata Kwa Kibaigwa so weka picha tuu ila sio.kulinganisha.
Si rudii Tena kwakwel
Unakosea sana kulinganisha Halmashauri ya Mji wa Makambako na Kijiji kilichochangamka Cha manamba wa Madini Cha Katoro.

Katoro size yake ni kina Majimoto,Chimala,Laela,Shelui etc.

Haiwezi fika hata Kwa Kibaigwa so weka picha tuu ila sio.kulinganisha.
NI kwel
 
Geita ina mgodi unaodhalisha dhahabu ambayo thamani yake ni zaidi ya mara5 ya budget yenu ya serikali, lakini kwa ubinafisi wa viongozi kadhaa wakasaini mkataba wa hovyo, then unaniletea takwimu za hivi unataka nikuelewe 🤔!

Geita peke yake inaweza kuendesha Budget ya serikali kama viongozi watangulizi wangekuwa wazalendo wa nchi hii, lakini kwa vile walikua na akili kama zako ndio waliotufikisha hapa.

Hizo takwimu za GDP ya mkoa wa Geita, ukiona umeziamini, basi huna sifa ya kuwa kiongozi anayestahili kuiongoza nchi hii na tukatoka hapa tulipo kwenda mbele zaidi
Povu 😁😁

Wilaya inayoongoza Kwa Kuzalisha Dhahabu hapa Tanzania ni Chunya,kama unabisha sema 😁😁

Labda mjumlishe maeneo yenu yoote ya uzalishaji ndani ya Mkoa wa Geita kuanzia huko Mbogwe Hadi Geita ndio mtazidi Chunya-Mbeya.

Zingatia haya maelezo hapo chini 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DJ2PU8pORbM/?igsh=MXdnbmx6cTVsazBmcg==
 
FB_IMG_17473166744631345.jpg
 
Hizo NI picha za muda mrefu ilembula ilishabadika zaidi ya hapo NI sawa na igwachanya watu wanashusha majengo fika eneo husika ndo utapata uhalisia Google map huwa hawa fanyi update mara kwa mara mzee
Always maneno ya kwenye kanga. Hizo empty talk zako unalazimisha niamini bila ushahidi? Changes kila sehemu zipo, kwenye google Earth Ilembula imechukuliwa kukiwa hakuna lami, hiyo picha on the ground kuna lami, Ilembula bado ni kijiji
Screenshot_20250520-192134.png
1747770174345.jpg
481779112_1057050519773073_3711507578119594872_n.jpg
 
Umejiandaa kuaibika au Bado unakomaa kama juzi? 😁😁

Kilaza soma hiyoo 👇 👇 View attachment 3340648

Niongee dozi au umerudhika? 🤣🤣
Unazani mapato ya GGM utayapata tanzania 😂😂😂
Kila siku nakuambia mnaishi gizani mmejichimbia kusini huko mnatakiwa mjitambue mjue na nchi yenu inaendaje 🤗😂
Umeona kuna Chunya hapa 👇 💥 👇
Screenshot_20250521-072220.png
 
Takwimu zenyewe zinakuaibisha 😂😂, ivi uliona wapi mgodi wa dhahabu Dar es salaam?
Acha kujiaibisha 🤗😂😂😂
Unatapatapa.Unahiu hizo Dhahabu za Dar Zinatoka wapi?

Kawaambie Tume ya Madini wa compile data Kwa mujibu wa wewe inavyotaka 😁😁

Niongeze dozi au umetosheka?
Screenshot_20240501-114636.jpg
Screenshot_20250503-002518.jpg


Screenshot_20240503-111333.jpg

Screenshot_20250521-093241.jpg
 
Unatapatapa.Unahiu hizo Dhahabu za Dar Zinatoka wapi?

Kawaambie Tume ya Madini wa compile data Kwa mujibu wa wewe inavyotaka 😁😁

Niongeze dozi au umetosheka?
View attachment 3340701View attachment 3340702

View attachment 3340703
View attachment 3340704
Geita Gold Mine (GGM) wana uwanja wao wa ndege mgodini, wanabeba dhahabu hao wanapeleka Nje mambele huko, kwa akili zako unatarajia takwimu zao uzikute kwenye mauzo ya masoko ya ndani?
Wanaouzia kwenye masoko ya ndani ni wachimbaji wadogo wadogo na mapato yanapatikana hayo, sasa kwa akili zako fupi ukazani hizo data zitakusaidia kuonyesha kwa Chunya inaizidi Geita uzalishaji wa dhahabu 🤗🤭
 
Yaani niumie kwenye Yako kakijiji kalikojaa ufukara?

Hivi taa za barabarani ni za kulingishia miaka hii kweli? Kila Kijiji na Mji zimetungwa na mwaka huu Samia anaguna zingine zaidi ya 4,000.

Tafuta hoja wewe mbumbumbu wa Kijiji Cha Katoro.
🔨🔨🤭🤭😂😂 Kama huna akili fupi kweli ebu post hapa picha ya Makambako au Njombe ikiwa imejaa full namna hii👇👇ili upime hiyo akili yako, kazi kuleta maneno ya kwenye kanga na matusi
1747563026041.jpg
1727157280400.jpg
 
Back
Top Bottom